Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Mkoa wa kipolisi Kinondoni anayesimamia Dawati la jinsia, Inspekta Prica Komba atembelea kambi ya wakimbizi

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Mkoa wa kipolisi Kinondoni anayesimamia Dawati la jinsia, Inspekta Prica Komba (kulia)alipotembelea kambi hiyo chini ya udhamini wa Vodacom Foundation kwenda kutathmini kama kuna unyanyasaji wa kijinsia miongoni mwa wakimbizi wa Burundi na Kongo waliopo katika kambi hiyo.
Baadhi ya watoto wanaoishi katika kambi ya wakimbizi iliyopo Nyarugusu wilaya ya Kasuru Mkoa wa Kigoma,wakifurahia jambo na Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Mkoa wa kipolisi Kinondoni anayesimamia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
INSPEKTA PRICA KOMBA ATEMBELEA KAMBI YA WAKIMBIZI
11 years ago
Michuzi.jpg)
NAIBU WAZIRI, DKT. PINDI CHANA ATEMBELEA DAWATI LA JINSIA LA POLISI LA WILAYA DODOMA
.jpg)
10 years ago
Dewji Blog04 Feb
Mke wa Rais wa Ujerumani, Bi Daniella Schadt atembelea Dawati la Jinsia na Watoto katika Kituo cha Polisi Temeke
FINAL_Press Release German First Lady Visit_03022015.docx by moblog
Mke wa Rais wa Ujerumani, Bi Daniella Schadt akisalimiana na maofisa wa Jeshi la Polisi wakati alipotembelea Dawati la Jinsia na Watoto katika Kituo cha Polisi Cha Temeke jana.
Mkuu wa Dawati la Jinsia na Watoto kutoka Jeshi la Polisi Tanzania, DCP Adolphina Chialo akitoa ripoti ya dawati la jinsia na watoto tokea kuanzishwa kwake wakati mke wa rais wa Ujerumani Bi Daniella Schadt alipotembelea dawati la jinsia na...
10 years ago
MichuziFirst lady wa Rais wa Ujerumani, Bi Daniella Schadt atembelea Dawati la Jinsia na Watoto katika Kituo cha Polisi Temeke leo.
11 years ago
Tanzania Daima13 Aug
Polisi wapiga msasa dawati la jinsia
JESHI la Polisi mkoani Dodoma, limeendesha semina ya mafunzo maalumu wilayani Kongwa, kwa askari wanaofanyakazi Dawati la Jinsia na Watoto juu ya namna sahihi ya kushughulikia makosa yote ya ukatili...
11 years ago
MichuziIGP MANGU AFUNGUA JENGO LA DAWATI LA JINSIA NA WATOTO MKOA WA KILIMANJARO
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
VijimamboKATIBU MKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI ATEMBELEA KAMBI YA WAKIMBIZI NYARUGUSU ILIYOKO WILAYANI KASULU MKOANI KIGOMA NA KUWATAKA WAKIMBIZI HAO WADUMISHE AMANI NA UTULIVU
10 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI ATEMBELEA KAMBI YA WAKIMBIZI NYARUGUSU.
9 years ago
Michuzi
WAZIRI MKUU, KASSIM MAJALIWA ATEMBELEA KAMBI YA WAKIMBIZI YA NYARUGUSU, MKOANI KIGOMA





Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10