INSPEKTA PRICA KOMBA ATEMBELEA KAMBI YA WAKIMBIZI
![](http://api.ning.com:80/files/Ja6gu*i0lR7ec7PJG2MrOmPTh82FgIxGtWNoDq*54I*HRMplIFOBriNGWVkOKIm96jlWWWCU1NudsM8uRLdBr7urutFZLqDY/001..jpg?width=650)
Baadhi ya watoto wanaoishi katika kambi ya wakimbizi iliyopo Nyarugusu wilaya ya Kasuru Mkoa wa Kigoma,wakifurahia jambo na Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Mkoa wa kipolisi Kinondoni anayesimamia Dawati la jinsia, Inspekta Prica Komba (kulia)alipotembelea kambi hiyo chini ya udhamini wa Vodacom Foundation kwenda kutathmini kama kuna unyanyasaji wa kijinsia miongoni mwa wakimbizi wa Burundi na Kongo waliopo katika kambi hiyo. ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-k0mteghNzok/VaOKgF2YXDI/AAAAAAAHpTU/DufjGdF7g14/s72-c/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Mkoa wa kipolisi Kinondoni anayesimamia Dawati la jinsia, Inspekta Prica Komba atembelea kambi ya wakimbizi
![](http://3.bp.blogspot.com/-k0mteghNzok/VaOKgF2YXDI/AAAAAAAHpTU/DufjGdF7g14/s640/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jvMDZLwDBgE/VaOKfkUGXvI/AAAAAAAHpTM/zHCOm5C63QQ/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
9 years ago
VijimamboKATIBU MKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI ATEMBELEA KAMBI YA WAKIMBIZI NYARUGUSU ILIYOKO WILAYANI KASULU MKOANI KIGOMA NA KUWATAKA WAKIMBIZI HAO WADUMISHE AMANI NA UTULIVU
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI ATEMBELEA KAMBI YA WAKIMBIZI NYARUGUSU.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KNSQ_w4GEVg/VoJlhkfPqDI/AAAAAAAIPKE/8Sh17W3mdyU/s72-c/20151229022304.jpg)
WAZIRI MKUU, KASSIM MAJALIWA ATEMBELEA KAMBI YA WAKIMBIZI YA NYARUGUSU, MKOANI KIGOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-KNSQ_w4GEVg/VoJlhkfPqDI/AAAAAAAIPKE/8Sh17W3mdyU/s640/20151229022304.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-viPVHbjlVU4/VoJlgaGmmJI/AAAAAAAIPKA/0bFA8upGUog/s640/20151229022627.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-FratSDvW2Vc/VoJlh133gZI/AAAAAAAIPKM/-ItI7ykv_jc/s640/20151229023342.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZrHjL9Bdcmw/VoJlmhlOF6I/AAAAAAAIPKg/Xs2uYYbAfSQ/s640/20151229023247.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-rZWE5E8wG_4/VoJlkriOhNI/AAAAAAAIPKY/ZRgldKQ9wgw/s640/20151229023316.jpg)
9 years ago
MichuziWAZIRI MKUU AHITIMISHA ZIARA MKOANI KIGOMA,ATEMBELEA KAMBI ZA WAKIMBIZI, AWAONYA KUTOJIHUSISHA NA UHALIFU
9 years ago
Dewji Blog09 Sep
Idadi ya Wakimbizi wa Burundi wanaohifadhiwa katika kambi ya Wakimbizi ya Nyarugusu yaongezeka
Wakimbizi kutoka nchini Burundi walioko katika kambi ya Nyarugusu wakiwa wamebeba shehena ya unga wa mahindi jana, muda mfupi baada ya kugawiwa chakula hicho Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia chakula (WFP), lililoweka kituo chake katika kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu wilayani Kasulu, mkoani Kigoma.(PICHA ZOTE NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI, WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI).
Mkimbizi kutoka nchini Burundi, Jacqueline Elulu (mwenye mtoto), akisubiri kupata huduma ya...
9 years ago
MichuziZOEZI LA KUWAPOKEA WAKIMBIZI KUTOKA BURUNDI LAENDELEA VIZURI KATIKA KAMBI YA WAKIMBIZI NYARUGUSU MKOANI KIGOMA
10 years ago
Dewji Blog09 Mar
TWAA yamtunukia Tuzo ya Mafanikio Mwanamke wa Mwaka, Inspekta Prisca Komba
Rais wa TWAA, Irene Kiwia akiongea jambo mara baaada ya kutangaza washindi.
..Mama Debora Mwenda atwaa tuzo ya ‘Lifetime Achievement Award’
Na Andrew Chale wa modewjiblog
Taasisi ya Shirika la kijamii Tanzania Women of Achievement Awards (TWAA), wamewatunukia tuzo Wanawake mbali mbali Nchini kwa mafanikio yao katika tuzo za Wanawake wenye MafanikioTanzania zilizofanyika leo Machi 7, katika Hoteli ya Serena, jijini Dar es Salaam, ambazo mwaka huu zinafanyika kwa mwaka wa Saba, mfululizo...
10 years ago
BBCSwahili01 Apr
IS yadhibiti kambi ya wakimbizi Syria
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10