TWAA yamtunukia Tuzo ya Mafanikio Mwanamke wa Mwaka, Inspekta Prisca Komba
Rais wa TWAA, Irene Kiwia akiongea jambo mara baaada ya kutangaza washindi.
..Mama Debora Mwenda atwaa tuzo ya ‘Lifetime Achievement Award’
Na Andrew Chale wa modewjiblog
Taasisi ya Shirika la kijamii Tanzania Women of Achievement Awards (TWAA), wamewatunukia tuzo Wanawake mbali mbali Nchini kwa mafanikio yao katika tuzo za Wanawake wenye MafanikioTanzania zilizofanyika leo Machi 7, katika Hoteli ya Serena, jijini Dar es Salaam, ambazo mwaka huu zinafanyika kwa mwaka wa Saba, mfululizo...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziAfande Prisca Komba atwaa Tuzo ya Mwanamke mwenye Mafanikio Tanzania 2014
Wengine waliopata tuzo mbalimbali ni pamoja na Debora Mwenda, aliyepata tuzo ya Mwanamke mwenye mafanikio ya maisha, Penina Mlama, alipata tuzo ya Utamaduni na Sanaa, Mary Gitanho, Tuzo ya Ustawi wa Jamii.
...
10 years ago
Tanzania Daima06 Nov
Tuzo TWAA chachu ya mafanikio ya wanawake
KATIKA jamii inayotuzunguka kumejitokeza makundi, taasisi na wanaharakati mbalimbali ambao wanajitahidi kwa hali na mali kuhakikisha wanafanya vizuri katika kumkomboa mwanamke katika masuala mbalimbali. Yote hayo yanafanyika kwa nia njema,...
10 years ago
TheCitizen14 Mar
Inspector Prisca Komba: Strong-willed woman
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ja6gu*i0lR7ec7PJG2MrOmPTh82FgIxGtWNoDq*54I*HRMplIFOBriNGWVkOKIm96jlWWWCU1NudsM8uRLdBr7urutFZLqDY/001..jpg?width=650)
INSPEKTA PRICA KOMBA ATEMBELEA KAMBI YA WAKIMBIZI
11 years ago
GPL30 Mar
11 years ago
GPLUSIKU WA UTOAJI TUZO YA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/2014
11 years ago
Michuzi28 Mar
TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2014 KUFANYIKA KESHO MJINI DODOMA
![](http://api.ning.com/files/omkt7cwbhXIGJdrSzYbl4b2JtZi7DuZX12GklObLgwfTpS4Kr3YxNXKnXl50sot8cThal3qFniL*GksSlX0LrzpJIyBDr6kt/chawote.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/zJhtpPf9KP0Z76i-sTOMjzyEKuJBSli2ds8UXOKO9bttC0o8bv4N7xNigMxKA6a3COdl0yBkdicERTKPPFXU-v7aJ7YKIpas/PINDA.jpg?width=650)
Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers, ambayo ndiyo iliyoratibu zoezi hilo, Eric Shigongo, amesema leo kwamba shughuli hiyo itakuwa ni hitimisho la kazi kubwa ya kupokea na kuchuja kura...
11 years ago
GPLDK. MARIA KAMM NDIYE MSHINDI WA TUZO YA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14
11 years ago
GPLMAANDALIZI YA UTOAJI TUZO YA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 YAPAMBA MOTO