TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2014 KUFANYIKA KESHO MJINI DODOMA
WAZIRI Mkuu Mhe. Mizengo Pinda kesho atakuwa mgeni rasmi katika hafla ya kukabidhi Tuzo ya Mwanamke Bora wa Mwaka 2013-14, itakayowakutanisha wanawake wanne itakayofanyika kesho katika Ukumbi wa The African Dream mjini Dodoma.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ndiye
atakuwa mgeni rasmi katika utoaji tuzo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers, ambayo ndiyo iliyoratibu zoezi hilo, Eric Shigongo, amesema leo kwamba shughuli hiyo itakuwa ni hitimisho la kazi kubwa ya kupokea na kuchuja kura...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL30 Mar
11 years ago
GPLUSIKU WA UTOAJI TUZO YA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/2014
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-g3QTUK2h7NQ/VMo967lPaaI/AAAAAAACy3o/I8PlhwyfFWQ/s72-c/unnamed.jpg)
Tuzo za bodi zenye uongozi bora kufanyika kesho
![](http://1.bp.blogspot.com/-g3QTUK2h7NQ/VMo967lPaaI/AAAAAAACy3o/I8PlhwyfFWQ/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KNI8B2SjT3cM-a-w8T3QQyOvy2FwCWcvH7x7mj6ScyDbq8Bz8ZIyGqBPLVgJsGVwjZOgSyF1C0pehjUXSH2iAGsI-nxmMpt/06.jpg?width=650)
TUZO KWA WASANII BORA WA ZANZIBAR KUFANYIKA KESHO
11 years ago
Michuzi27 Mar
FAINALI YA KUMTAFUTA ‘MWANAMKE WA MWAKA’ KUFANYIKA DODOMA JUMAMOSI
KAMPUNI ya Global Publishers Ltd ambao ni waandaaji wa shindano la kumtafuta mwanamke bora wa mwaka ambaye mchango wake wa maendeleo kwa jamii umewazidi wenzake, imethibitisha fainali hizo kufanyika keshokutwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/omkt7cwbhXIGJdrSzYbl4b2JtZi7DuZX12GklObLgwfTpS4Kr3YxNXKnXl50sot8cThal3qFniL*GksSlX0LrzpJIyBDr6kt/chawote.jpg?width=650)
MWANAMKE BORA WA MWAKA 2014
11 years ago
GPLFAINALI YA KUMTAFUTA ‘MWANAMKE WA MWAKA’ KUFANYIKA DODOMA JUMAMOSI
9 years ago
CCM Blog15 Nov
KIKAO CHA KAMATI KUU KUFANYIKA KESHO MJINI DODOMA
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM inatarajiwa kufanya kikao chake cha siku moja mjini Dodoma kesho Novemba 15, 2015 kujadili majina ya wana-CCM walioomba ridhaa ya kuteuliwa kugombea Uspika na Unaibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Taarifa Rasmi - Uspika
11 years ago
GPLDK. MARIA KAMM NDIYE MSHINDI WA TUZO YA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14