TUZO KWA WASANII BORA WA ZANZIBAR KUFANYIKA KESHO
![](http://api.ning.com:80/files/8KNI8B2SjT3cM-a-w8T3QQyOvy2FwCWcvH7x7mj6ScyDbq8Bz8ZIyGqBPLVgJsGVwjZOgSyF1C0pehjUXSH2iAGsI-nxmMpt/06.jpg?width=650)
Mbunge wa Jimbo la Uzini na Mkurugenzi wa redio ya Zenji Fm, Mohamed Seif Khatib, akimkabidhi Tuzo msanii, Rukia Ramadhan. Kampuni ya Zanzibar Media Corporation ambayo ni wamiliki wa Zenji Fm Radio na gazeti la Nipe Habari, kesho Ijumaa tarehe 27 February wanatarajia kutoa tuzo kwa wasanii bora wa Zanzibar. Akizungumza na gazeti hili Mratibu wa tuzo hizo Nd Said Khamis amesema jumla ya washiriki 76 wameshindania katika...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-g3QTUK2h7NQ/VMo967lPaaI/AAAAAAACy3o/I8PlhwyfFWQ/s72-c/unnamed.jpg)
Tuzo za bodi zenye uongozi bora kufanyika kesho
![](http://1.bp.blogspot.com/-g3QTUK2h7NQ/VMo967lPaaI/AAAAAAACy3o/I8PlhwyfFWQ/s1600/unnamed.jpg)
11 years ago
Michuzi28 Mar
TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2014 KUFANYIKA KESHO MJINI DODOMA
![](http://api.ning.com/files/omkt7cwbhXIGJdrSzYbl4b2JtZi7DuZX12GklObLgwfTpS4Kr3YxNXKnXl50sot8cThal3qFniL*GksSlX0LrzpJIyBDr6kt/chawote.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/zJhtpPf9KP0Z76i-sTOMjzyEKuJBSli2ds8UXOKO9bttC0o8bv4N7xNigMxKA6a3COdl0yBkdicERTKPPFXU-v7aJ7YKIpas/PINDA.jpg?width=650)
Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers, ambayo ndiyo iliyoratibu zoezi hilo, Eric Shigongo, amesema leo kwamba shughuli hiyo itakuwa ni hitimisho la kazi kubwa ya kupokea na kuchuja kura...
10 years ago
CloudsFM09 Feb
Tuzo za wasanii wa Zanzibar kufanyika Feb 27
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-m8_7P9qWSQk/VPFjHmDlawI/AAAAAAAHGbg/lG3ff_aN4zw/s72-c/unnamed.jpg)
TUZO ZA WASANII BORA WA MUZIKI WA ZANZIBAR MWAKA 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-m8_7P9qWSQk/VPFjHmDlawI/AAAAAAAHGbg/lG3ff_aN4zw/s1600/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-snHdalURuNk/VPFjCg8JaTI/AAAAAAAHGaY/g4Y3NYL8u7I/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-KgUMH0I5cGI/VPFjEPnCOWI/AAAAAAAHGas/dZIVjUoQAw0/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
10 years ago
Dewji Blog11 Dec
Dk. Shein kukabidhi Tuzo kwa Wanamichezo Bora Tanzania ndani ukumbi wa Diamond Jubilee hapo kesho
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohammed Shein.
MAANDALIZI kwa ajili ya Tuzo za Wanamichezo Bora Tanzania, zinazotolewa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo nchini (TASWA) yamekamilika.
Tuzo hizo zitatolewa kesho Ijumaa kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee Dar es Salaam, kuanzia saa 12 jioni, ambapo mgeni rasmi atakuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohammed Shein.
Wanamichezo mbalimbali wanatarajiwa kupewa tuzo hizo kutokana...
10 years ago
Habarileo29 Jan
Tuzo za BBLA kufanyika kesho
TUZO za Bodi za wakurugenzi yenye uongozi bora katika sekta ya kibenki na bima zijulikanazo kama Best Board Leadership (BBLA) zinatarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam kesho, ambapo taasisi saba zitashiriki katika tuzo hizo.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-m-QchTGB7H4/VJOor0uaikI/AAAAAAACwok/eQWqo7VKYec/s72-c/BBLA%2BPIX%2B1.jpg)
Tuzo za Bodi Bora Katika Sekta ya Kibenki na Bima kufanyika mwezi ujao
![](http://4.bp.blogspot.com/-m-QchTGB7H4/VJOor0uaikI/AAAAAAACwok/eQWqo7VKYec/s1600/BBLA%2BPIX%2B1.jpg)
10 years ago
Michuzi04 Jul
9 years ago
Global Publishers05 Jan
Tuzo za Mchezaji Bora Afrika… Samatta Kukwea Pipa Kesho Kwenda Nigeria
Mbwana Samatta
Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Mwesigwa Selestine kesho Jumatano anatarajiwa kuongozana na mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Tanzania na klabu ya TP Mazembe ya Congo DR, Mbwana Samatta kuelekea nchini Nigeria kwenye sherehe za utoaji wa tuzo kwa wachezaji bora barania Afrika.
Mbwana Samatta
Mwesigwa anatarajiwa kuondoka na Samatta kuelekea Nigeria katika mji wa Abuja ambapo sherehe za utoaji tuzo hizo zitafayika Alhamisi Januari 7, ambapo siku ya...