Tuzo za Mchezaji Bora Afrika… Samatta Kukwea Pipa Kesho Kwenda Nigeria
Mbwana Samatta
Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Mwesigwa Selestine kesho Jumatano anatarajiwa kuongozana na mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Tanzania na klabu ya TP Mazembe ya Congo DR, Mbwana Samatta kuelekea nchini Nigeria kwenye sherehe za utoaji wa tuzo kwa wachezaji bora barania Afrika.
Mbwana Samatta
Mwesigwa anatarajiwa kuondoka na Samatta kuelekea Nigeria katika mji wa Abuja ambapo sherehe za utoaji tuzo hizo zitafayika Alhamisi Januari 7, ambapo siku ya...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili12 Oct
Samatta kuwania tuzo ya mchezaji bora wa CAF
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/h2SvCI1KJvM-JBFChJX4FDCuZb484fiC31zxYbMViQF1W1jwO-LKoz70rhKnEXjgLwEYE6BY81lD9FnBz0gHdFHOSUC3xsm5/CHEKANAKITIME.jpg)
USHAWAHI KUKWEA PIPA?
11 years ago
Mwananchi02 Feb
Samatta mchezaji bora TP Mazembe
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-EJRfvjwK5PY/VN4hSJwAlPI/AAAAAAAHDlM/AumcKDriBdU/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
YAMOTO BAND KUKWEA PIPA TAREHE 17 KUELEKEA UK
![](http://2.bp.blogspot.com/-EJRfvjwK5PY/VN4hSJwAlPI/AAAAAAAHDlM/AumcKDriBdU/s1600/unnamed%2B(36).jpg)
10 years ago
Vijimambo07 Jan
DIAMOND NDANI YA LAGOS NCHINI NIGERIA, AKAGUA JUKWAA ATAKALOPAFOMU KESHO KWENYE TUZO ZA MWANASOKA BORA AFRIKA
![](http://api.ning.com/files/9nG191KtIdgRKtgNGUal5F5WF4SdbLY*BeOLx3u*qe3AutEKH3QpA6hQYIMYhhnwcPYrFnFVtFzW7PpxvbYUs8NH4*mxAed3/platnumz.jpg?width=650)
9 years ago
BBCSwahili06 Jan
Tuzo ya mchezaji bora Afrika.
10 years ago
BBCSwahili07 Nov
Tuzo la BBC la mchezaji bora Afrika
9 years ago
Habarileo04 Nov
Samatta awania tuzo ya Mwanasoka Bora Afrika
MSHAMBULIAJI wa timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars) na TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Mbwana Samatta ni miongoni mwa wachezaji 10 wanaowania tuzo ya Mchezaji Bora wa mwaka kwa wachezaji wanaocheza soka Afrika.
10 years ago
BBCSwahili10 Nov
Tuzo ya BBC ya mchezaji bora wa Afrika 2014