YAMOTO BAND KUKWEA PIPA TAREHE 17 KUELEKEA UK
![](http://2.bp.blogspot.com/-EJRfvjwK5PY/VN4hSJwAlPI/AAAAAAAHDlM/AumcKDriBdU/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
Mkurugezi wa Kundi hilo Mkubwa Fella kwanza alianza kwa kutoa shukran zake kwa Mwenyezi Mungu, Mashabiki, Wadu na vyombo vyote vya habari kwa kuweza kutoa sapoti kwa vijana hao tangu walipo toa Kazi yao ya kwanza kabisa mpaka kufikia Leo wamepata mualiko mkubwa kabisa wa kwenda kufanya show UK.Kwa upande wa Msemaji mkuu na Kiongozi wa Band Aslay Isihaka amesema kuwa wanafuraha sana kwa kupata mualiko huo lakini pia wanashukuru kwa mungu, mashabiki na wale wote wanaonyesha sapoti katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/h2SvCI1KJvM-JBFChJX4FDCuZb484fiC31zxYbMViQF1W1jwO-LKoz70rhKnEXjgLwEYE6BY81lD9FnBz0gHdFHOSUC3xsm5/CHEKANAKITIME.jpg)
USHAWAHI KUKWEA PIPA?
10 years ago
Dewji Blog15 Jun
Yamoto Band wakiondoka kuelekea SA kufanya Video na Godfather
Vijana wa Yamoto Band Leo wamekwea Pipa wakiongozana na Boss wao Saidi Fella kuelekea Afrika ya Kusini kwenda kufanya Video ya Wimbo wao Mpya Cheza kwa Madoido chini ya Director Godfadher.Picha zaidi HARAKATI ZA BONGO
9 years ago
Global Publishers05 Jan
Tuzo za Mchezaji Bora Afrika… Samatta Kukwea Pipa Kesho Kwenda Nigeria
Mbwana Samatta
Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Mwesigwa Selestine kesho Jumatano anatarajiwa kuongozana na mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Tanzania na klabu ya TP Mazembe ya Congo DR, Mbwana Samatta kuelekea nchini Nigeria kwenye sherehe za utoaji wa tuzo kwa wachezaji bora barania Afrika.
Mbwana Samatta
Mwesigwa anatarajiwa kuondoka na Samatta kuelekea Nigeria katika mji wa Abuja ambapo sherehe za utoaji tuzo hizo zitafayika Alhamisi Januari 7, ambapo siku ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-eMFQ2p1Xm5A/VNgd1TievOI/AAAAAAAC_YM/ByfRWP8CdYA/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-02-09%2Bat%2B02.36.13.png)
YAMOTO BAND WATEMBELEA ZURII HOUSE OF BEAUTY NA KUKABIDHIWA TICKET ZAO TAYARI KWA SAFARI YA KUELEKEA LONDON
![](http://2.bp.blogspot.com/-eMFQ2p1Xm5A/VNgd1TievOI/AAAAAAAC_YM/ByfRWP8CdYA/s1600/Screen%2BShot%2B2015-02-09%2Bat%2B02.36.13.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/--jhrAYOtREE/VNgd1SjCpbI/AAAAAAAC_YQ/zBwy-dq4IAc/s1600/Screen%2BShot%2B2015-02-09%2Bat%2B02.36.33.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DV_v4WL2a8I/VNgd1WnoVVI/AAAAAAAC_YI/FHchOgt4MT0/s1600/Screen%2BShot%2B2015-02-09%2Bat%2B02.37.13.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-AXWoZJd9sEs/VNgmItamckI/AAAAAAAC_Yw/I3_NJF0OPZQ/s1600/Screen%2BShot%2B2015-02-09%2Bat%2B02.37.51.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-l0PaIqI8f9g/VNgd3LmWXZI/AAAAAAAC_YY/tqCv5qSKU94/s1600/Screen%2BShot%2B2015-02-09%2Bat%2B02.37.30.png)
10 years ago
Vijimambo30 Apr
YANGA YA KIMATAIFA YAPANDA PIPA KUELEKEA TUNISIA
![](https://hivisasa.co.tz/wp-content/uploads/2015/04/DSC09473-e1430340805627.jpg)
“Hatuna cha kupoteza kwenye mchezo huo, tulitoka sare ya kufungana goli 1-1 tukiwa nyumbani hivyo tunahitaji kupata ushindi au sare ya magoli kuanzia mawili...
10 years ago
Dewji Blog04 Sep
Sauti Sol, Skylight Band na Yamoto Band wapagawisha wakazi wa Dar BEAUTY and MUSIC Night!
Kundi la muziki kutoka nchini Kenya Sauti Sol waking’ara kwenye Red Carpet mwishoni mwa juma kwenye BEAUTY and MUSIC Night uliofanyika kwenye fukwe za Escape One Mikocheni jijini Dar.
Petit Man (katikati) akishow love na wasanii wa bongo flava waliotumbuiza kwenye usiku huo maalum Kulia ni Mirror na Kushoto ni msanii wa bongo flava Jordan.
Mwanadada mrembo akishow love mbele ya camera yetu.
Petit Man Wakuache aking’ara kwenye Red Carpet.
Mirror na msanii mwenzake Jordan wakishow love...
10 years ago
Dewji Blog29 Aug
SautiSol, Yamoto Band, Skylight Band na wengine kibao kupamba BEAUTY & MUSIC NIGHT kesho Escape One
#LIPALA DANCE Itachezeka kisawa sawa hapo kesho!
Tiketi zinapatikana kwenye vituo vifuatavyo
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lW0G2xCxdYw/U32xPjFSk3I/AAAAAAAFkag/lhaYIcn-GwA/s72-c/New+Picture+(1).png)
Washindi wa Mpira wa mezani (Heineken Foosball) wakwea pipa kuelekea Ibiza
![](http://1.bp.blogspot.com/-lW0G2xCxdYw/U32xPjFSk3I/AAAAAAAFkag/lhaYIcn-GwA/s1600/New+Picture+(1).png)
10 years ago
Dewji Blog03 Oct
Skylight Band yakwea pipa kutumbuiza Oman, yawaomba radhi mashabiki wake Dar
Uongozi wa Skylight Band unawaomba radhi mashabiki wake wa Dar es Salaam kwa kutokuwepo nchini kwa ajili ya kutoa burudani jioni ya leo kwenye uwanja wao wa nyumbani Thai Village Masaki pamoja na siku ya Jumapili kwenye Skylight Sunday Bonanza katika kiota cha maraha Escape One kutokana na kupata mwaliko wa kutumbuiza nchini Oman.
Skylight Band watarejea nyumbani wiki ijayo na kuendelea na ratiba zao kama kawaida ambapo siku ya Ijumaa tarehe 10/10/2014 watakuwepo Thai Village pamoja na...