USHAWAHI KUKWEA PIPA?
![](http://api.ning.com:80/files/h2SvCI1KJvM-JBFChJX4FDCuZb484fiC31zxYbMViQF1W1jwO-LKoz70rhKnEXjgLwEYE6BY81lD9FnBz0gHdFHOSUC3xsm5/CHEKANAKITIME.jpg)
Kupanda ndege siyo mchezo ndugu yangu, kwanza ukianza kufikiria katika ukoo wenu watu wangapi wamepanda, ni wachache unaweza hata kuwataja kwa majina na tarehe walizopanda. Kuna wimbo wa kikwetu unamsifu jamaa mmoja toka kijijini kwetu aliyewahi kusafiri na ndege na kutua salama, na hii ni moja ya sifa ambazo ndugu wa ukoo wa jamaa yule huzitaja kama moja ya mafanikio makuu katika ukoo wao kila wanapokuwa wamelewa. Kwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-EJRfvjwK5PY/VN4hSJwAlPI/AAAAAAAHDlM/AumcKDriBdU/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
YAMOTO BAND KUKWEA PIPA TAREHE 17 KUELEKEA UK
![](http://2.bp.blogspot.com/-EJRfvjwK5PY/VN4hSJwAlPI/AAAAAAAHDlM/AumcKDriBdU/s1600/unnamed%2B(36).jpg)
9 years ago
Global Publishers05 Jan
Tuzo za Mchezaji Bora Afrika… Samatta Kukwea Pipa Kesho Kwenda Nigeria
Mbwana Samatta
Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Mwesigwa Selestine kesho Jumatano anatarajiwa kuongozana na mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Tanzania na klabu ya TP Mazembe ya Congo DR, Mbwana Samatta kuelekea nchini Nigeria kwenye sherehe za utoaji wa tuzo kwa wachezaji bora barania Afrika.
Mbwana Samatta
Mwesigwa anatarajiwa kuondoka na Samatta kuelekea Nigeria katika mji wa Abuja ambapo sherehe za utoaji tuzo hizo zitafayika Alhamisi Januari 7, ambapo siku ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/W8k9GghxLBuCiZNfmpZwNenzeMTvx18tlRo1ScYIZxEc-j1ImR05OuhsC8*ORyWdVBph2OjnbqLSeBqY6VX8WxxZB*CEsmsa/CHEKANAKITIME.jpg)
USHAWAHI MUONA PANYA PEDESHEE?
10 years ago
BBCSwahili02 Dec
Je ushawahi kulala chini ya bahari?
10 years ago
BBCSwahili11 Feb
Azam kukwea kilele cha ligi Tanzania?
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-BmtHAQrNKn0/VZ_Eg86fgLI/AAAAAAAAOZA/TiFMUdu3vWY/s72-c/Kikosi-cha-Simba.jpg)
Simba yakwea pipa 'kukwepa ndumba'
![](http://3.bp.blogspot.com/-BmtHAQrNKn0/VZ_Eg86fgLI/AAAAAAAAOZA/TiFMUdu3vWY/s640/Kikosi-cha-Simba.jpg)
Simba itawavaa African Sports kwenye Uwanja wa Mkwakwani Jumamosi, ikitokea moja kwa moja Unguja, Zanzibar ilikokuwa imeweka kambi.
Hata hivyo, habari zilizopatikana kutoka ndani ya klabu hiyo zimeeleza kuwa, maamuzi ya kuisafirisha timu hiyo kwa kutumia usafiri wa anga, ni kwa lengo la...
11 years ago
Mwananchi08 Jun
Mkazi wa Sinza Kwea Pipa na TBC
10 years ago
Vijimambo30 Apr
YANGA YA KIMATAIFA YAPANDA PIPA KUELEKEA TUNISIA
![](https://hivisasa.co.tz/wp-content/uploads/2015/04/DSC09473-e1430340805627.jpg)
“Hatuna cha kupoteza kwenye mchezo huo, tulitoka sare ya kufungana goli 1-1 tukiwa nyumbani hivyo tunahitaji kupata ushindi au sare ya magoli kuanzia mawili...