Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


YANGA YA KIMATAIFA YAPANDA PIPA KUELEKEA TUNISIA




Viungo wa Yanga Andrey Coutinho (kushoto) na Nizar Khalfan nao walikuwa sehem ya wachezaji waliosafiri kuelekea TunisiKocha mkuu wa timu hiyo Hans van der Pluijm amesema, hawana cha kupoteza kwenye mchezo huo hivyo wanahitaji kuibuka na ushindi ili kusonga mbele kwenye michuano hiyo ya pili kwa ukubwa kwa ngazi ya vilabu barani Afrika.
“Hatuna cha kupoteza kwenye mchezo huo, tulitoka sare ya kufungana goli 1-1 tukiwa nyumbani hivyo tunahitaji kupata ushindi au sare ya magoli kuanzia mawili...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

YAMOTO BAND KUKWEA PIPA TAREHE 17 KUELEKEA UK

Mkurugezi wa Kundi hilo Mkubwa Fella kwanza alianza kwa kutoa shukran zake kwa Mwenyezi Mungu, Mashabiki, Wadu na vyombo vyote vya habari kwa kuweza kutoa sapoti kwa vijana hao tangu walipo toa Kazi yao ya kwanza kabisa mpaka kufikia Leo wamepata mualiko mkubwa kabisa wa kwenda kufanya show UK.Kwa upande wa Msemaji mkuu na Kiongozi wa Band Aslay Isihaka amesema kuwa wanafuraha sana kwa kupata mualiko huo lakini pia wanashukuru kwa mungu, mashabiki na wale wote wanaonyesha sapoti katika...

 

11 years ago

Michuzi

Washindi wa Mpira wa mezani (Heineken Foosball) wakwea pipa kuelekea Ibiza

Washindi wa mpira wa mezani (Heineken Foosball ) Eric Ducan Lissa (Wa kwanza kushoto) na Ntoli Mwaikombo (wapili kulia) wakiwa na mizigo yao kabla kukaguliwa uwanjani JNIA tayari kwa safari ya Ibiza, hispania kuangalia live screen ya fainali za kombe la mabingwa ulaya kwenye sehemu maalum iliyotengwa na Heineken kwa ajili ya watu maalum. Wamesindikizwa na mliki wa bar ya Didi’s Bwana Hillary Mremi (wa pili kushoto) na Mwakilishi wa Heineken Tanzania Amon Theonest. Eric alitabiri ushindi wa...

 

10 years ago

Mtanzania

Yanga yatuma salamu Tunisia

NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
WAWAKILISHI wa Tanzania katika michuano ya kimataifa, Yanga SC, jana waliendeleza wimbi la ushindi kwenye mechi za Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), baada ya kuifunga Coastal Union mabao 8-0, mchezo uliofanyika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam.
Matokeo hayo yameifanya Yanga kufikisha jumla ya pointi 43 na kuendelea kuongoza katika msimamo wa Ligi, wakiwaacha wapinzani wao, Azam, wenye pointi 36.
Mabao ya Yanga jana yalifungwa na Amis Tambwe (dk 9,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Yanga yaifuata Etoile du Sahel Tunisia

Yanga ya Tanzania imeondoka Dar es Salaam kuelekea Tunisia kwa ajili ya mechi yao ya marudiano na Etoile du Sahel ,Jumamosi.

 

10 years ago

GPL

YANGA INAVYOJIWINDA DHIDI YA WAARABU WA TUNISIA

Kocha Pluijm (mwenye fulana ya njano) akitoa maelekezo kwa wachezaji wake. Wachezaji wakijiandaa kupiga mashuti. Kocha Pluijm akimuangalia Haruna Niyonzima anavyofuata maelekezo aliyompa.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Yanga na Azam kuelekea Ughaibuni

Wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya Ligi ya vilabu barani Afrika, Azam na Yanga wanaondoka wiki hii kuelekea ughaibuni kwa marudiano.

 

10 years ago

Vijimambo

MTANANGE WA YANGA NA ETOILE DU SAHEL YA TUNISIA UWANJA WA TAIFA


Goli la kwanza la Yanga katika DK ya 2 tu ya mchezo lilifungwa kwa njia ya penati baada ya Msuva kufanyiwa madhambi ndani ya 18. Na naodha wa Yanga Canavaro akakwamisha wavuni mpira huo kama unavyoona golikipa Etoile akipishana nao na kudaka upepo.

Mchezaji wa Timu ya Etoile Du Sahel ya Tunisia, Bounedjah Baghdad akiangalia namna ya kuwatoka wachezaji wa Yanga, Mbuyu Twite na Amissi Tambwe wakati wa mchezo wa Kimataifa wa Kombe la Shirikisho unaoendelea kupigwa hivi sasa kwenye uwanja wa...

 

10 years ago

Michuzi

MASHIRIKA MATANO YA KITAIFA NA KIMATAIFA(FOS) YAUNGANA KWA PAMOJA KUTOA ELIMU KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2015

Baadhi ya waandishi wa Habari wakiwa katika Mkutano huo.
Umoja wa Mashirika Matano yanaounda ushirika wa Fahamu,Ongea Sikilizwa(FOS) ambayo ni Oxfam,BBC Media Auction, Legal and Human Rights Centre, Restless Development, and VSO leo wamekutana na waandishi wa Habari kwa ajili ya kuzungumzia mambo Mbalimbali yanayohusiana na Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2015 na kueleza malengo ya muungano huo.

Akizungumza Mkurugenzi Mkazi wa Oxfam Bi. Jane Foster ambao ndio waandaaji wa Mkutano huo na waandishi wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Forum CC yakabidhi mapendekezo ya Asasi za kiraia kwa Ofisi ya Makamu wa Rais kuelekea mkutano wa kimataifa wa Tabia Nchi

IMG_6881

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Binilith Sanato Mhenge (kusshoto) akipokea mapendekezo ya asasi za kiraia kuelekea mkutano wa kimataifa wa Tabia Nchi kutoka kwa mwenyekiti wa bodi wa Forum CC Euster Kibona ofisini kwake jijini Dar es salaam.

IMG_6880

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira na Naibu wake Ummy Ali Mwalimu wakimsikiliza Meneja mwezeshaji wa Taasisi ya Forum CC Rebeca Muna wakati wakipokea mapendekezo ya asasi za kiraia kuelekea mkutano wa kimataifa wa Tabia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani