YANGA YA KIMATAIFA YAPANDA PIPA KUELEKEA TUNISIA
Viungo wa Yanga Andrey Coutinho (kushoto) na Nizar Khalfan nao walikuwa sehem ya wachezaji waliosafiri kuelekea TunisiKocha mkuu wa timu hiyo Hans van der Pluijm amesema, hawana cha kupoteza kwenye mchezo huo hivyo wanahitaji kuibuka na ushindi ili kusonga mbele kwenye michuano hiyo ya pili kwa ukubwa kwa ngazi ya vilabu barani Afrika.
“Hatuna cha kupoteza kwenye mchezo huo, tulitoka sare ya kufungana goli 1-1 tukiwa nyumbani hivyo tunahitaji kupata ushindi au sare ya magoli kuanzia mawili...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-EJRfvjwK5PY/VN4hSJwAlPI/AAAAAAAHDlM/AumcKDriBdU/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
YAMOTO BAND KUKWEA PIPA TAREHE 17 KUELEKEA UK
![](http://2.bp.blogspot.com/-EJRfvjwK5PY/VN4hSJwAlPI/AAAAAAAHDlM/AumcKDriBdU/s1600/unnamed%2B(36).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lW0G2xCxdYw/U32xPjFSk3I/AAAAAAAFkag/lhaYIcn-GwA/s72-c/New+Picture+(1).png)
Washindi wa Mpira wa mezani (Heineken Foosball) wakwea pipa kuelekea Ibiza
![](http://1.bp.blogspot.com/-lW0G2xCxdYw/U32xPjFSk3I/AAAAAAAFkag/lhaYIcn-GwA/s1600/New+Picture+(1).png)
10 years ago
Mtanzania09 Apr
Yanga yatuma salamu Tunisia
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
WAWAKILISHI wa Tanzania katika michuano ya kimataifa, Yanga SC, jana waliendeleza wimbi la ushindi kwenye mechi za Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), baada ya kuifunga Coastal Union mabao 8-0, mchezo uliofanyika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam.
Matokeo hayo yameifanya Yanga kufikisha jumla ya pointi 43 na kuendelea kuongoza katika msimamo wa Ligi, wakiwaacha wapinzani wao, Azam, wenye pointi 36.
Mabao ya Yanga jana yalifungwa na Amis Tambwe (dk 9,...
10 years ago
BBCSwahili29 Apr
Yanga yaifuata Etoile du Sahel Tunisia
10 years ago
GPLYANGA INAVYOJIWINDA DHIDI YA WAARABU WA TUNISIA
10 years ago
BBCSwahili23 Feb
Yanga na Azam kuelekea Ughaibuni
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-bj6P4ypYdqM/VTJ6QgOE7wI/AAAAAAADi2s/ym6qVIMt-U0/s72-c/1.jpg)
MTANANGE WA YANGA NA ETOILE DU SAHEL YA TUNISIA UWANJA WA TAIFA
![](http://3.bp.blogspot.com/-bj6P4ypYdqM/VTJ6QgOE7wI/AAAAAAADi2s/ym6qVIMt-U0/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mxpxwUnDQRE/VTJo32JQWPI/AAAAAAAHR2A/ECgoVJ7jHHo/s640/MMGL0520.jpg)
Mchezaji wa Timu ya Etoile Du Sahel ya Tunisia, Bounedjah Baghdad akiangalia namna ya kuwatoka wachezaji wa Yanga, Mbuyu Twite na Amissi Tambwe wakati wa mchezo wa Kimataifa wa Kombe la Shirikisho unaoendelea kupigwa hivi sasa kwenye uwanja wa...
10 years ago
MichuziMASHIRIKA MATANO YA KITAIFA NA KIMATAIFA(FOS) YAUNGANA KWA PAMOJA KUTOA ELIMU KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2015
Umoja wa Mashirika Matano yanaounda ushirika wa Fahamu,Ongea Sikilizwa(FOS) ambayo ni Oxfam,BBC Media Auction, Legal and Human Rights Centre, Restless Development, and VSO leo wamekutana na waandishi wa Habari kwa ajili ya kuzungumzia mambo Mbalimbali yanayohusiana na Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2015 na kueleza malengo ya muungano huo.
Akizungumza Mkurugenzi Mkazi wa Oxfam Bi. Jane Foster ambao ndio waandaaji wa Mkutano huo na waandishi wa...
10 years ago
Dewji Blog04 Dec
Forum CC yakabidhi mapendekezo ya Asasi za kiraia kwa Ofisi ya Makamu wa Rais kuelekea mkutano wa kimataifa wa Tabia Nchi
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Binilith Sanato Mhenge (kusshoto) akipokea mapendekezo ya asasi za kiraia kuelekea mkutano wa kimataifa wa Tabia Nchi kutoka kwa mwenyekiti wa bodi wa Forum CC Euster Kibona ofisini kwake jijini Dar es salaam.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira na Naibu wake Ummy Ali Mwalimu wakimsikiliza Meneja mwezeshaji wa Taasisi ya Forum CC Rebeca Muna wakati wakipokea mapendekezo ya asasi za kiraia kuelekea mkutano wa kimataifa wa Tabia...