Yanga na Azam kuelekea Ughaibuni
Wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya Ligi ya vilabu barani Afrika, Azam na Yanga wanaondoka wiki hii kuelekea ughaibuni kwa marudiano.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili26 Feb
Azam, Yanga, kuelekea michuano ya CAF
10 years ago
Vijimambo10 years ago
Vijimambo30 Apr
YANGA YA KIMATAIFA YAPANDA PIPA KUELEKEA TUNISIA
Viungo wa Yanga Andrey Coutinho (kushoto) na Nizar Khalfan nao walikuwa sehem ya wachezaji waliosafiri kuelekea TunisiKocha mkuu wa timu hiyo Hans van der Pluijm amesema, hawana cha kupoteza kwenye mchezo huo hivyo wanahitaji kuibuka na ushindi ili kusonga mbele kwenye michuano hiyo ya pili kwa ukubwa kwa ngazi ya vilabu barani Afrika.
“Hatuna cha kupoteza kwenye mchezo huo, tulitoka sare ya kufungana goli 1-1 tukiwa nyumbani hivyo tunahitaji kupata ushindi au sare ya magoli kuanzia mawili...
10 years ago
Michuzikuelekea mtanange wa Simba na Yanga, mashabiki milioni 20 matumbo joto
Hakuna takwimu sahihi za mashabiki wa klabu kongwe nchini za Simba na Yanga ni wangapi, lakini si chini ya watu milioni 20, akili zao zitasimama kwa takriban dk 90 na kupata kiwewe cha huzuni au furaha wakati miamba hiyo itakapovaana hapo kesho Taifa.
Joto la mechi hiyo tayari limepanda Zaidi ya nyuzi 90 huku kukiwa na hisia tofauti zikiwemo za udanganyifu wa wachezaji kuwa majeruhi ili kuteka akili za wapinzani.
Tayari kuna taarifa Yanga itawakosa wachezaji wake muhimu akiwemo...
9 years ago
MillardAyo19 Dec
Kutoka Songea Pichaz 6 za maandalizi ya timu za Maji Maji FC na Azam FC kuelekea mchezo dhidi yao
Kuelekea mchezo wa Ligi Kuu soka Tanaznia bara kati ya Maji Maji FC ya Songea dhidi ya klabu ya Azam FC ya Dar Es Salaam, imenifikia ripoti ya mazoezi mwisho kutokea Songea. Huu unatajwa kuwa mchezo mgumu kiasi kwani wenyeji Maji Maji hawataki kurejea rekodi ya kufungwa idadi kubwa ya magoli. Pichaz sita za maandalizi […]
The post Kutoka Songea Pichaz 6 za maandalizi ya timu za Maji Maji FC na Azam FC kuelekea mchezo dhidi yao appeared first on TZA_MillardAyo.
5 years ago
CCM BlogDK MSHINDO MSOLLA AZINDUA KAMPENI YA KUELEKEA KWENYE MABADLIKO YA MFUMO WA UENDESHAJI YANGA SC
Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
MWENYEKTI wa Yanga SC, Dk. Mshindo Msolla amezindua Kampeni ya kuelekea kwenye mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji wa Klabu.
“Moja ya ajenda zangu wakati nagombea uongozi ilikuwa ni kuhakikisha tunaingia kwenye mabadiliko ya mfumo mpya wa uendeshaji wa Klabu yetu.
“Leo nina furaha kuzindua kampeni hii ambayo ni hatua muhimu kuelekea kwenye matukio makubwa ya mabadiliko tunayoyatarajia,” amesema.Amesema kampeni hiyo yenye Kaulimbiu ‘Twenzetu kwenye Mabadiliko’...
9 years ago
Habarileo03 Nov
Ni Yanga na Azam
MBIO za kukalia kiti cha uongozi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, sasa zimebaki kuwa za timu mbili za Yanga na Azam FC, ambao wamekuwa wakibadilishana katika nafasi ya kwanza na pili.
10 years ago
MichuziYANGA YAIFUNGA AZAM FC 3-0