Forum CC yakabidhi mapendekezo ya Asasi za kiraia kwa Ofisi ya Makamu wa Rais kuelekea mkutano wa kimataifa wa Tabia Nchi
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Binilith Sanato Mhenge (kusshoto) akipokea mapendekezo ya asasi za kiraia kuelekea mkutano wa kimataifa wa Tabia Nchi kutoka kwa mwenyekiti wa bodi wa Forum CC Euster Kibona ofisini kwake jijini Dar es salaam.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira na Naibu wake Ummy Ali Mwalimu wakimsikiliza Meneja mwezeshaji wa Taasisi ya Forum CC Rebeca Muna wakati wakipokea mapendekezo ya asasi za kiraia kuelekea mkutano wa kimataifa wa Tabia...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboOFISI YA MAKAMU WA RAIS YAANDAA SEMINA YA MABADILIKO WA TABIA NCHI KWA WADAU
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zlW8cMMTuzo/VIflvKpGskI/AAAAAAAG2Ts/prU2wEwQqXY/s72-c/3.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AHUTUBIA KATIKA MKUTANO WA 20 WA KIMATAIFA KUHUSU MABADILIKO YA TABIA NCHI DUNIANI (COP 20) UNAOENDELEA JIJI LIMA NCHINI PERU
11 years ago
MichuziWaziri wa nchi ofisi ya Makamu wa Rais Dkt Mahenge azindua tovuti ya mabadliko ya tabia nchi.
9 years ago
MichuziBalozi Mulamula afungua Mkutano wa Asasi za Kiraia wa Nchi za Ukanda wa Maziwa Makuu
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-CYqE0xCwXUo/VaYlj1IyKBI/AAAAAAACfr8/EHfv3Jfp5Z8/s72-c/03.jpg)
MGOMBEA MWENZA, SAMIA SULUHU, WAZIRI WA NCHI, OFISI YA MAKAMU WA RAIS (MUUNGANO) AWAAGA NA KUWASHUKURU WAFANYAKAZI WENZAKE OFISI YA MAKAMU WA RAIS
![](http://4.bp.blogspot.com/-CYqE0xCwXUo/VaYlj1IyKBI/AAAAAAACfr8/EHfv3Jfp5Z8/s640/03.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HSnE6FiMaPA/VaYnvictEfI/AAAAAAACfvg/yEb7H3eNWx8/s640/01.jpg)
Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi, ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Samia Suluhu, akisoma...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-uCpAuOXcdLI/VQKcg9SRIkI/AAAAAAAHKCY/8q3VDQFqKqs/s72-c/unnamed%2B(8).jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWASILI SHARM EL SHEIKH KUHUDHURIA MKUTANO WA KIMATAIFA KUHUSU MAENDELE NA UCHUMI WA NCHI YA MISRI
![](http://4.bp.blogspot.com/-uCpAuOXcdLI/VQKcg9SRIkI/AAAAAAAHKCY/8q3VDQFqKqs/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-K6-IbHlBYsQ/VQKchbqnnGI/AAAAAAAHKCc/ZmbTuJuYy5A/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-q2Leo7KfYYs/VQKcfkEyNTI/AAAAAAAHKCQ/UOAasCM2gME/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-uCpAuOXcdLI/VQKcg9SRIkI/AAAAAAAHKCY/8q3VDQFqKqs/s72-c/unnamed%2B(8).jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWASILI SHARM EL SHEIKH KUHUDHURIA MKUTANO WA KIMATAIFA KUHUSU MAENDELE NA UCHUMI WA NCHI YA CAIRO MISRI
![](http://4.bp.blogspot.com/-uCpAuOXcdLI/VQKcg9SRIkI/AAAAAAAHKCY/8q3VDQFqKqs/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-K6-IbHlBYsQ/VQKchbqnnGI/AAAAAAAHKCc/ZmbTuJuYy5A/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-q2Leo7KfYYs/VQKcfkEyNTI/AAAAAAAHKCQ/UOAasCM2gME/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
9 years ago
MichuziBALOZI WA UTURUKI ATEMBELEA OFISI YA WAZIRI WA NCHI OFISI YA MAKAMU WA RAIS, MUUNGANO NA MAZINGIRA JIJINI DAR LEO.
Waziri wa Nchi ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mh .January Makamba akisisitiza jambo kwa Balozi wa Uturuki Ms.Yasemin Eralp,alipomtembelea Ofisini kwake Mapema hii leo kwa ajili ya...
10 years ago
Dewji Blog04 Oct
Makamu wa Rais aiwakilisha Tanzania katika kongamano la pili la kimataifa la biashara kwa nchi za Afrika Jijini Dubai
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika majadiliano kuhusu utengamano wa Afrika na Fursa za biashara na Uwekezaji Katibu na Jumuiya ya Afrika Mashariki, Balozi Richard Sezibera, wakati wakihojiwa na Mwandishi wa habari wa Kimataifa na Mkurugenzi wa Kampuni ya ‘Eddo Media’, Mark Eddo (kushoto). (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Oktoba Mosi, 2014 ameiwakilisha Tanzania katika...