Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


OFISI YA MAKAMU WA RAIS YAANDAA SEMINA YA MABADILIKO WA TABIA NCHI KWA WADAU

Sehemu ya Washiriki wa semina ya mabadiliko ya Tabia Nchi inayofanyika mjini Morogoro. Semina hiyo imeandaliwa na Ofisi ya Makamu wa RaisMgeni Rasmi ambaye ni Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais,Bwana Sazi Salula akifungua semina hiyo ya mabadiliko ya tabia Nchi.

Mtoa mada katika semina hiyo ya mabadiliko ya tabia nchi Dkt. Yohanna Shaghude akiwasilisha mada kwa Washiriki waliohudhuria semina hiyoMgeni Rasmi ambaye ni Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Bwana Sazi Salula akiwa katika picha...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

OFISI YA WAZIRI MKUU NA WADAU WA MABADILIKO TABIA NCHI WAJADILI UBORESHAJI WA MIFUMO YA UTOAJI TAHADHARI ZA AWALI

of1Mkurugenzi Idara ya Uratibu wa Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu, Brigedia Jenerali, Mbazi Msuya akieleza jambo wakati wa Warsha ya Wadau wa Mabadiliko ya Tabia nchi na Uboreshaji wa Mifumo ya utolewaji Tahadhari za awali leo, tarehe, 20 Agosti, 2015, Jijini Dar esalam. of2Mtaalam wa Mabadiliko ya Tabia nchi UNDP, Abbas Kitogo akieleza jambo wakati wa Warsha ya Wadau wa Mabadiliko ya Tabia nchi na Uboreshaji wa Mifumo ya utolewaji Tahadhari za awali leo, tarehe, 20 Agosti, 2015, Jijini Dar esalam,...

 

9 years ago

Michuzi

OFISI YA WAZIRI MKUU NA WADAU WA MABADILIKO TABIA NCHI WAJADILI UBORESHAJI WA MIFUMO YA UTOAJI TAHADHARI ZA AWALI

Mkurugenzi Idara ya Uratibu wa Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu, Brigedia Jenerali, Mbazi Msuya akieleza jambo wakati wa Warsha ya Wadau wa Mabadiliko ya Tabia nchi na Uboreshaji wa Mifumo ya utolewaji Tahadhari za awali leo, tarehe, 20 Agosti, 2015, Jijini Dar esalam. Mtaalam wa Mabadiliko ya Tabia nchi UNDP, Abbas Kitogo akieleza jambo wakati wa Warsha ya Wadau wa Mabadiliko ya Tabia nchi na Uboreshaji wa Mifumo ya utolewaji Tahadhari za awali leo, tarehe, 20 Agosti, 2015, Jijini Dar esalam,...

 

11 years ago

Michuzi

Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa Rais Dkt Mahenge azindua tovuti ya mabadliko ya tabia nchi.

Mheshimiwa      Eng  Dkt. Binirithi S.  Mahenge  (mbunge)  Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa  Rais (mazingira) azindua tovuti ya mabadiliko ya tabia  nchi. Katika hotuba yake fupi ya uzinduzi wa tovuti hiyo, aliyoandaliwa kwa ufadhili wa serikali ya Denmark Mh. Binirithi  Mhenge amesema kuwa mabadiliko ya tabia ya nchi huangaliwa kwa muda wa miaka 30 hivyo kwa kipindi hiki chote kumekuwa na madhara mengi yatokanayo na athari za mabadiliko ya tabia Nchi ikiwa ongezeko la joto, kina cha bahari...

 

10 years ago

Dewji Blog

Forum CC yakabidhi mapendekezo ya Asasi za kiraia kwa Ofisi ya Makamu wa Rais kuelekea mkutano wa kimataifa wa Tabia Nchi

IMG_6881

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Binilith Sanato Mhenge (kusshoto) akipokea mapendekezo ya asasi za kiraia kuelekea mkutano wa kimataifa wa Tabia Nchi kutoka kwa mwenyekiti wa bodi wa Forum CC Euster Kibona ofisini kwake jijini Dar es salaam.

IMG_6880

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira na Naibu wake Ummy Ali Mwalimu wakimsikiliza Meneja mwezeshaji wa Taasisi ya Forum CC Rebeca Muna wakati wakipokea mapendekezo ya asasi za kiraia kuelekea mkutano wa kimataifa wa Tabia...

 

10 years ago

Michuzi

MGOMBEA MWENZA, SAMIA SULUHU, WAZIRI WA NCHI, OFISI YA MAKAMU WA RAIS (MUUNGANO) AWAAGA NA KUWASHUKURU WAFANYAKAZI WENZAKE OFISI YA MAKAMU WA RAIS

 Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi, ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Samia Suluhu, akizungumza na Wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais, wakati  wa mkutano maalum wa kuwaaga na kuwashukuru  wafanyakazi wenzake.  uliofanyika leo kwenye Ukumbi wa mukutano wa Ofisi ya Makamu wa Rais, jijini Dar es Salaam.
Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi, ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Samia Suluhu, akisoma...

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AHUTUBIA KATIKA MKUTANO WA 20 WA KIMATAIFA KUHUSU MABADILIKO YA TABIA NCHI DUNIANI (COP 20) UNAOENDELEA JIJI LIMA NCHINI PERU

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal jana Desemba 09, 2014 amemuwakilisha Rais Jakaya Mrisho Kikwete ambaye ni Mwenyekiti Kamati ya Wakuu wa Nchi na Serikali Barani Afrika kuhusu Mabadiliko ya Tabia Nchi, kwenye mkutano wa Kimataifa wa Mazingira Duniani (Cop20) unaofanyika jijini Lima, Peru.Pamoja na shughuli nyingine ambazo zimemuhusisha Mheshimiwa Makamu wa Rais Dkt. Bilal katika Mkutano huo ikiwa pamoja na kuwa eneo la Mazingira nchini liko chini ya...

 

10 years ago

Michuzi

SIKU YA PILI YA WARSHA YA WADAU JUU YA MIPANGO YA KUHIMILI MABADILIKO YA TABIA NCHI

 Bwana Masinde Bwire kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais - Mazingira akiwasilisha mada juu ya mabadiliko ya Tabia Nchi kwenye warsha ya Wadau kuhusu mipango ya kuhimili mabadiliko ya tabianchi iliyoandaliwa na Ofisi ya Makamu wa Rais. Profesa Kangarawe akiwasilisha mada katika warsha hiyo mjini Bagamoyo. Sehemu ya Wadau waliohudhuria wrsha hiyo wakifuatilia kwa makini uwasilishaji mada juu ya mabadiliko ya Tabia Nchi. Wajumbe waWarsha hiyo wakiwa katika magrupu kwa ajili ya kujadili...

 

10 years ago

Michuzi

MAANDAMANO YA AMANI YA WADAU WA KUPAMBANA NA MABADILIKO YA TABIA YA NCHI YAFANYIKA LEO JIJINI DAR

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii IMEELEZWA kuwa nchi zilizoendelea ndio zinaongoza katika uharibifu wa mazingira kwa utumiaji wa Nuklia ,pamoja na uchimbaji wa Chuma hivyo zinawajibu kuwekeza katika mabadiliko tabia nchi kutokana na kuchangia hali hiyo .
Hayo ameyasema leo Mratibu wa Mtandao wa Mabadiliko ya Tabia Nchi Tanzania (CAN),Sixbaty Mwanga wakati wa matembezi ya amani ya Mabadiliko ya Tabia ya Nchi yaliyofanyika  viwanja vya Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam.
Amesema mabadiliko ya tabia...

 

9 years ago

Michuzi

BALOZI WA UTURUKI ATEMBELEA OFISI YA WAZIRI WA NCHI OFISI YA MAKAMU WA RAIS, MUUNGANO NA MAZINGIRA JIJINI DAR LEO.

 Waziri wa Nchi ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira , January Makamba akisisitiza jambo kwa Balozi wa Uturuki Ms.Yasemin Eralp,alipomtembelea Ofisini kwake Mapema hii leo kwa ajili  ya utambulisho pamoja na kujadili mambo Mengine yanayohusu Mahusiano kati ya Tanzania na Uturuki.
 Waziri wa Nchi ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira  Mh .January Makamba akisisitiza jambo kwa Balozi wa Uturuki Ms.Yasemin Eralp,alipomtembelea Ofisini kwake Mapema hii leo kwa ajili  ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani