YANGA INAVYOJIWINDA DHIDI YA WAARABU WA TUNISIA
Kocha Pluijm (mwenye fulana ya njano) akitoa maelekezo kwa wachezaji wake. Wachezaji wakijiandaa kupiga mashuti. Kocha Pluijm akimuangalia Haruna Niyonzima anavyofuata maelekezo aliyompa.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lgc1mBk2ypmxjKGh3QOzdzNGP3i5s-N4-WnqVsGfziK6-TVH5APsNg*20cWxQUuIiF**JVGbiiym19pnhsZg-jVFCCwoW51n/1.gif?width=650)
Yanga SC yawaotea Waarabu
11 years ago
Tanzania Daima17 Feb
Yanga kuwasikilizia Waarabu Bagamoyo
WAWAKILISHI wa Tanzania katika Ligi ya Mabingwa Afrika, Yanga wanatarajiwa kuwasili nchini leo kutoka visiwani Comoro na watakwenda kujichimbia kambini Bagamoyo mkoani Pwani. Yanga juzi ilifanikiwa kusonga mbele baada ya...
10 years ago
Mwananchi13 Apr
Yanga jiandaeni mapema, Waarabu wepesi tu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qHkXSNTTQ9d1ti9UyDSjuTC228D2jqCoMqsemV-tjZQDiV5w-byN4b7LiR-fK2T4SKMnRjcZXfu82sTOm2HEv-GTmRRHPjPa/okwi.jpg?width=650)
Okwi awapa Yanga mambo matatu Waarabu wafe
10 years ago
BBCSwahili19 Mar
Tunisia yatangaza vita dhidi ya ugaidi
10 years ago
Mtanzania09 Apr
Yanga yatuma salamu Tunisia
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
WAWAKILISHI wa Tanzania katika michuano ya kimataifa, Yanga SC, jana waliendeleza wimbi la ushindi kwenye mechi za Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), baada ya kuifunga Coastal Union mabao 8-0, mchezo uliofanyika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam.
Matokeo hayo yameifanya Yanga kufikisha jumla ya pointi 43 na kuendelea kuongoza katika msimamo wa Ligi, wakiwaacha wapinzani wao, Azam, wenye pointi 36.
Mabao ya Yanga jana yalifungwa na Amis Tambwe (dk 9,...
10 years ago
BBCSwahili29 Apr
Yanga yaifuata Etoile du Sahel Tunisia