Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Inspector Prisca Komba: Strong-willed woman

>The tears running down her cheek spoke volumes of her emotions and jubilation as she took to the dais to receive her award. And the two accolades she received epitomized her duty and mission of ensuring justice to women and children was not only served, but served at that right time.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

TWAA yamtunukia Tuzo ya Mafanikio Mwanamke wa Mwaka, Inspekta Prisca Komba

Rais wa TWAA Irene Kiwia akiongea jambo mara baaada ya kutangza mshindi

Rais wa TWAA, Irene Kiwia akiongea jambo mara baaada ya kutangaza washindi.

..Mama Debora Mwenda atwaa tuzo ya ‘Lifetime Achievement Award’

Na Andrew Chale wa modewjiblog

Taasisi ya Shirika la kijamii Tanzania Women of Achievement Awards (TWAA),  wamewatunukia tuzo Wanawake mbali mbali Nchini kwa mafanikio yao katika tuzo za Wanawake wenye MafanikioTanzania zilizofanyika leo Machi 7, katika Hoteli ya Serena, jijini Dar es Salaam,  ambazo mwaka huu zinafanyika kwa mwaka wa Saba, mfululizo...

 

10 years ago

Michuzi

Afande Prisca Komba atwaa Tuzo ya Mwanamke mwenye Mafanikio Tanzania 2014

 Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni anayesimamia Dawati la Jinsia, Inspekta Prisca Komba (pichani), ameibuka mshindi wa Tuzo ya Mwanamke mwenye Mafanikio Tanzania kwa mwaka 2014.  Inspekta Komba, alishinda pia Tuzo ya Mwanamke wa Mwenye Mafanikio katika Sekta ya Umma.
Wengine waliopata tuzo mbalimbali ni pamoja na Debora Mwenda, aliyepata tuzo ya Mwanamke mwenye mafanikio ya maisha, Penina Mlama, alipata tuzo ya Utamaduni na Sanaa, Mary Gitanho, Tuzo ya Ustawi wa Jamii.
...

 

10 years ago

TheCitizen

Police inspector wins 2015 Woman of the Year Award

If the government is to seriously address child abuse in the country, then it must first speed up cases already in court facing perpetrators of the acts.

 

9 years ago

TheCitizen

A strong chamber of commerce leads to a strong economy

Inscribed on Karl Marx’s grave in London in 1883, are these words: “The philosophers have only interpreted the world, in various ways. The point, however, is to change it.”

 

10 years ago

Vijimambo

BABY SHOWER YA PRISCA CAPITOL HEIGHTS, MARYLAND NCHINI MAREKANI

Prisca na Elius wakiwa katika picha ya pamoja na watoto katika sherehe ya utarajio ya mapacha ya Prisca iliyofanyika siku ya Jumamosi Januari 31, 2015 Capitol Heights, Maryland nchini Marekani na kuhudhuriwa na ndugu, jamaa na marafiki.Prisca na Elius wakipokea zawadi kwenye sherehe ya utarajio ya mapacha ya Prisca iliyofanyika siku ya Jumamosi Januari 31, 2015 Capitol Heights, Maryland.Elius na Prisca wakipata chakula.Prisca akipata ukodak moment na wageni wake.Watoto wakitoa baraka kwa...

 

10 years ago

GPL

INSPECTOR HAROUN, BABY MADAHA WANASWA KONA

Stori: Issa Mnali
Katika hali ya kushangaza, mastaa wawili wa muziki, Baby Madaha na Haroun Kahena ‘Inspector Haroun’ wamenaswa usiku wakila bata huku wakiwa kimahaba. Staa wa Bongo Fleva, Haroun Kahena ‘Inspector Haroun’ akigonga busu shavuni kwa Baby Madaha. Tukio hilo lilinaswa na kamera ya paparazi wetu hivi karibuni kwenye pub moja iliyopo maeneo ya Kijitonyama jijini Dar ambapo awali Inspector...

 

9 years ago

IPPmedia

Deputy Inspector General of Police (DIGP) Abdulrahmani Kaniki


IPPmedia
Deputy Inspector General of Police (DIGP) Abdulrahmani Kaniki
IPPmedia
More Tanzania Revenue Authority (TRA) officials and their accomplices from the private sector implicated in the 'missing containers' saga will be arrested and prosecuted in an 'ongoing' exercise to bring sanity to the tax office. Speaking to 'The ...

 

9 years ago

Bongo5

Inspector Haroun adai Bongo Flava inapoteza utambulisho wake

Msanii mkongwe, Inspector Haroun amesema muziki wa Bongo Flava unaenda ukipotea kutokana na wasanii kudokoa vionjo vya muziki wa nje. Hitmaker huyo wa Mtoto wa Geti Kali, alikiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio wiki iliyopita kuwa wasanii wanafanya vizuri kwa melody za kudokoa hivyo wanatakiwa kuchukua tahadhari. “Siku hizi vijana wanafanya vizuri, […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani