Afande Prisca Komba atwaa Tuzo ya Mwanamke mwenye Mafanikio Tanzania 2014
Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni anayesimamia Dawati la Jinsia, Inspekta Prisca Komba (pichani), ameibuka mshindi wa Tuzo ya Mwanamke mwenye Mafanikio Tanzania kwa mwaka 2014. Inspekta Komba, alishinda pia Tuzo ya Mwanamke wa Mwenye Mafanikio katika Sekta ya Umma.
Wengine waliopata tuzo mbalimbali ni pamoja na Debora Mwenda, aliyepata tuzo ya Mwanamke mwenye mafanikio ya maisha, Penina Mlama, alipata tuzo ya Utamaduni na Sanaa, Mary Gitanho, Tuzo ya Ustawi wa Jamii.
...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog09 Mar
TWAA yamtunukia Tuzo ya Mafanikio Mwanamke wa Mwaka, Inspekta Prisca Komba
Rais wa TWAA, Irene Kiwia akiongea jambo mara baaada ya kutangaza washindi.
..Mama Debora Mwenda atwaa tuzo ya ‘Lifetime Achievement Award’
Na Andrew Chale wa modewjiblog
Taasisi ya Shirika la kijamii Tanzania Women of Achievement Awards (TWAA), wamewatunukia tuzo Wanawake mbali mbali Nchini kwa mafanikio yao katika tuzo za Wanawake wenye MafanikioTanzania zilizofanyika leo Machi 7, katika Hoteli ya Serena, jijini Dar es Salaam, ambazo mwaka huu zinafanyika kwa mwaka wa Saba, mfululizo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4O6eIqcn6-5JyIr5680AowG*f52hX4d4xiFN4DoXp462sQ-2z5VmfRBUvJ-RJmBS7XQbfUv6D7xNzFGTH3QSQRoRq1yUbmCY/DAVIDO.png)
TUZO ZA BET 2014: DAVIDO ATWAA TUZO YA BEST AFRICAN ACT
10 years ago
TheCitizen14 Mar
Inspector Prisca Komba: Strong-willed woman
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dbDz8bz8Q7mkse8tbbUQi-Lt8omAj15g0GA8T9IhR7*2voN0Q-50kYc4tmW3ZZfxVnfv3j*RY2AhxgilQERoNyCrfMN2tP4l/jk2.jpg?width=650)
MWANAFUNZI WA TANZANIA ATWAA TUZO YA INSHA NCHI ZA SADC
9 years ago
BBCSwahili23 Nov
Mbunge mwanamke mwenye umri mdogo Tanzania
11 years ago
GPLUSIKU WA UTOAJI TUZO YA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/2014
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Dy9ynGgwNlQix8gYlXT*181j-yqQkKAHdGTfSIqi1-f72rOWR-ppDQ5ET9ND8gslO24mjCQqkZtCL-2Xkz2FrOye8ZHhyQc7/breakingnews.gif)
SITTI MTEMVU ATWAA TAJI LA MISS TANZANIA 2014
11 years ago
Michuzi28 Mar
TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2014 KUFANYIKA KESHO MJINI DODOMA
![](http://api.ning.com/files/omkt7cwbhXIGJdrSzYbl4b2JtZi7DuZX12GklObLgwfTpS4Kr3YxNXKnXl50sot8cThal3qFniL*GksSlX0LrzpJIyBDr6kt/chawote.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/zJhtpPf9KP0Z76i-sTOMjzyEKuJBSli2ds8UXOKO9bttC0o8bv4N7xNigMxKA6a3COdl0yBkdicERTKPPFXU-v7aJ7YKIpas/PINDA.jpg?width=650)
Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers, ambayo ndiyo iliyoratibu zoezi hilo, Eric Shigongo, amesema leo kwamba shughuli hiyo itakuwa ni hitimisho la kazi kubwa ya kupokea na kuchuja kura...
10 years ago
Tanzania Daima13 Oct
Sitti Mtemvu atwaa taji la Redd’s Miss Tanzania 2014
MREMBO Sitti Abbas Mtemvu kutoka Temeke, juzi usiku alitwaa taji la Redd’s Miss Tanzania 2014, baada ya kuibuka kidedea katika fainali za shindano hilo lililofanyika ukumbi wa Mlimani City, jijini...