Mbunge mwanamke mwenye umri mdogo Tanzania
Bi Halima Abdallah, 24, anayetoka Kagera ndiye mbunge mwanamke mwenye umri mdogo zaidi katika bunge la kumi na moja la Tanzania.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-2ltoysVEJOA/VViriN76QBI/AAAAAAADnLM/d2kfzcud0xE/s72-c/Daudi%2BMrindoko.jpg)
KIJANA DAUDI MRINDOKO MGOMBEA MWENYE UMRI MDOGO ZAIDI KILIMANJARO
![](http://3.bp.blogspot.com/-2ltoysVEJOA/VViriN76QBI/AAAAAAADnLM/d2kfzcud0xE/s640/Daudi%2BMrindoko.jpg)
Wakati tunahesabu miezi kuelekea uchaguzi mkuu 2015,mengi ya kufurahisha yanahibuka kama vile wananchi wa jimbo la Moshi Mjini kumshawishi mgombea waokijana Daudi Babu Mrindoko achukue fomu ya kugombea ubunge wa jimbo hilo 2015,na kumiminia sifa zote zinazofaa kijana huyo wa mjini Moshi achaguliwe.wakazi hao wa jimbo la Moshi Mjini kwa sasa wanadai kuwa kijana wao waliomshawishi achukue fomu ndiye Mgombea kijana mwenye umri mdogo kuliko wengine wote wenye nia ya kugombea...
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Kutana na Dj Mdogo mwenye umri wa miaka mitatu Afrika Kusini…(+Video)
Dj Arch Jnr ndiye Dj mdogo mwenye umri wa miaka mitatu ambaye makazi yake yapo Afrika Kusini kipaji chake kinawashangasha watu wengi kwa kucheza muziki wa aina tofauti akiwa kama DJ. Mtoto huyo alianza kuchukua headlines kabla ya kushinda kwenye shindano la S.A Got Talent 2015 baada ya kuwashinda washiriki sita kwenye fainali zilizofanyika Nov […]
The post Kutana na Dj Mdogo mwenye umri wa miaka mitatu Afrika Kusini…(+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-mr-Hv1gUsrk/U1ge3bVuCqI/AAAAAAAFckk/5XnKNPYk8l8/s72-c/unnamed+(68).jpg)
Mhe.Theddy Ladislaus Patrick mjumbe wa bunge la katiba mwenye umri mdogo kuliko wote mjengoni
![](http://2.bp.blogspot.com/-mr-Hv1gUsrk/U1ge3bVuCqI/AAAAAAAFckk/5XnKNPYk8l8/s1600/unnamed+(68).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-GmXzGs1RHLM/U1ge6_VQ2QI/AAAAAAAFcks/OQORe1MHq2A/s1600/unnamed+(69).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qpmwvfI2a80/U1ge7PZIV0I/AAAAAAAFckw/vxf0NkhLcN0/s1600/unnamed+(67).jpg)
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Abigail Chamungwana: Mwanamuziki mwenye umri mdogo aliye na ndoto ya kuwa Daktari bingwa wa upasuaji moyo wa watoto
10 years ago
MichuziAfande Prisca Komba atwaa Tuzo ya Mwanamke mwenye Mafanikio Tanzania 2014
Wengine waliopata tuzo mbalimbali ni pamoja na Debora Mwenda, aliyepata tuzo ya Mwanamke mwenye mafanikio ya maisha, Penina Mlama, alipata tuzo ya Utamaduni na Sanaa, Mary Gitanho, Tuzo ya Ustawi wa Jamii.
...
10 years ago
BBCSwahili22 May
Dj mwenye umri wa miaka 3
11 years ago
Habarileo26 Jul
Wasichana waongoza mapenzi umri mdogo
IDADI kubwa ya vijana hususan wa kike wenye umri kati ya miaka 15 hadi 24 wanaanza mapenzi katika umri mdogo hivyo kujiweka katika hatari ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU).
Hayo yamo katika mada kuhusu tabia hatarishi zinazochangia maambukizi mapya ya VVU kwa vijana katika warsha ya siku tatu ya Mradi wa SHUGA Redio inayofanyika katika Kituo cha Redio cha Nuru FM mjini Iringa.
Ofisa Mradi wa Elimu ya Afya na VVU/Ukimwi kutoka UNESCO, Herman Mathias, akiwasilisha mada hiyo amesema...
10 years ago
Tanzania Daima05 Nov
‘Ngono umri mdogo inachangia saratani’
VITENDO vya ngono wakati wa umri ndogo vinachangia kwa kiasi kikubwa watoto wa kike kuwa na ugonjwa wa shingo ya kizazi. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri, Ofisi...