Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasichana waongoza mapenzi umri mdogo

IDADI kubwa ya vijana hususan wa kike wenye umri kati ya miaka 15 hadi 24 wanaanza mapenzi katika umri mdogo hivyo kujiweka katika hatari ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU).

Hayo yamo katika mada kuhusu tabia hatarishi zinazochangia maambukizi mapya ya VVU kwa vijana katika warsha ya siku tatu ya Mradi wa SHUGA Redio inayofanyika katika Kituo cha Redio cha Nuru FM mjini Iringa.

Ofisa Mradi wa Elimu ya Afya na VVU/Ukimwi kutoka UNESCO, Herman Mathias, akiwasilisha mada hiyo amesema...

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Wasichana wa kifugaji waongoza kwa ufaulu

WASICHANA wa jamii ya kifugaji wa wilayani Mbulu mkoani Manyara, wameongoza ufaulu wa masomo ya Sayansi kwenye mtihani wa Kidato cha Nne hadi kusababisha shule ya sekondari ya Chief Sarwatt, kushika nafasi ya kwanza wilayani humo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Ngono umri mdogo inachangia saratani’

VITENDO vya ngono wakati wa umri ndogo vinachangia kwa kiasi kikubwa watoto wa kike kuwa na ugonjwa wa shingo ya kizazi. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri, Ofisi...

 

10 years ago

Mtanzania

20 Percent: Umri wangu ni mdogo kujihusisha na siasa

20%NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Abas Kinzasa ‘20 Percent’ amesema umri wake ni mdogo sana kujihusisha na masuala ya siasa kama ilivyo kwa rafiki yake, Afande Sele.
Akizungumza na MTANZANIA hivi karibuni, 20 Percent alisema kwa sasa anajipanga kurudi upya kwenye tasnia ya muziki, baada ya kuwa kimya kwa kipindi kirefu.
“Sijakaa kimya ili ni jihusishe na masuala ya siasa kama wengi wanavyofikiria, bali nina mipango yangu mingine kabisa,” alisema 20...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mbunge mwanamke mwenye umri mdogo Tanzania

Bi Halima Abdallah, 24, anayetoka Kagera ndiye mbunge mwanamke mwenye umri mdogo zaidi katika bunge la kumi na moja la Tanzania.

 

11 years ago

Bongo5

Ripoti: Wanaume wa Afrika Kusini waongoza duniani kwa kufanya mapenzi mara chache zaidi

Imebainika kuwa wanaume wa Afrika Kusini hufanya mapenzi nusu ya wanaume wengine duniani, kwa mujibu wa survey iliyofanyika na kutangazwa Jumanne hii nchini humo. Kwa mujibu wa survey iliyofanywa na kampuni ya madawa ya Pharma Dynamics, wanaume nchini humo hufanya mapenzi kwa takriban mara 52 tu kwa mwaka. Tafiti zinaonesha kuwa wanaume wengine duniani hufanya […]

 

10 years ago

Mwananchi

Kuzaa katika umri mdogo hakukunifanya nikate tamaa

Unapotaja orodha ya wanawake maarufu hapa nchini huwezi kulikosa jina la Rita Paulsen. Mama huyu anayefahamika zaidi kama Madam Rita ni miongoni mwa wanawake wenye mchango mkubwa katika maendeleo ya vijana.

 

10 years ago

Dewji Blog

Zaidi ya wasichana milioni 58 Duniani wameolewa wakiwa na umri wa chini ya miaka 18

IMG_2147

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akihutubia mkutano wa masuala ya elimu kwa vijana wa bara la Afrika ili waweze kufanya maamuzi sahihi ya kiafya. Mkutano huo  umeandaliwa na serikali ya Ujerumani na ulifanyika huko New York tarehe 22.9.2014. 

Na Anna Nkinda – Maelezo, New York

Zaidi ya wasichana milioni 58 Duniani wameolewa wakiwa na  umri wa chini ya  miaka 18  kati ya hao milioni 15 wana umri wa kati ya miaka 10 hadi 14 jambo linalowasababisha kupata maambukizi ya Ugonjwa wa Ukimwi na...

 

10 years ago

Vijimambo

MADAM RITA AFUNGUKA "NILIZAA KATIKA UMRI MDOGO SANA"

Mkurugenzi wa Benchmark Production, Rita Paulsen aka Madam Rita amesema yeye ni miongoni mwa wanawake waliopata ujauzito wakiwa na umri mdogo lakini alikuwa jasiri wa kukabiliana na hali hiyo hadi akafanikiwa.Kupitia Facebook, Madam Rita amewashauri wasichana wanaojikuta katika katika hali hiyo kutokata tamaa kwakuwa bado wanaweza kufanikiwa. “Jambo mmoja msilofahamu kuhusu mimi, Nilipata ujauzito nikiwa na umri mdogo sana. Kwa jamii yetu inayotuzunguka, ukizaa katika umri mdogo, watu huwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani