Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zaidi ya wasichana milioni 58 Duniani wameolewa wakiwa na umri wa chini ya miaka 18

IMG_2147

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akihutubia mkutano wa masuala ya elimu kwa vijana wa bara la Afrika ili waweze kufanya maamuzi sahihi ya kiafya. Mkutano huo  umeandaliwa na serikali ya Ujerumani na ulifanyika huko New York tarehe 22.9.2014. 

Na Anna Nkinda – Maelezo, New York

Zaidi ya wasichana milioni 58 Duniani wameolewa wakiwa na  umri wa chini ya  miaka 18  kati ya hao milioni 15 wana umri wa kati ya miaka 10 hadi 14 jambo linalowasababisha kupata maambukizi ya Ugonjwa wa Ukimwi na...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

ZAIDI YA WATOTO MILIONI 3.1 WENYE UMRI CHINI YA MIAKA MITANO HUFARIKI DUNIA KILA MWAKA HUKU WENGINE MILIONI 161 KUPATA MATATIZO YA KUDUMAA MWILI

 Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Michael John akizungumza juu ya Upungufu wa vitamini na Baadhi ya Madini muhimu kama Vitamini A, folate, Madini chuma Zinki na madini joto ni chazo cha vifo kwa Watoto chini ya miaka Mitano na chanzo kikubwa cha maradhi mbalimbali kote Duniani, kulia ni Mkurungenzi Mtendaji wa Taasisi ya Global Alliance for Iproved Nutrition (GAIN) ,Marc van Amerngen katika mkutano uliofanyika  leo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurungenzi Mtendaji wa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Zaidi ya wasichana milioni 130 hawaendi shule

Bi Julia Gillard anasema kuwa kuwekeza elimu ndio ufunguo wa kupunguza umasikini duniani.

 

10 years ago

Michuzi

WATOTO WENYE UMRI CHINI YA MIAKA MITANO KUSAJILIWA NA KUPEWA VYETI BURE MKOANI MWANZA

Mkuu wa wilaya ya Sengerema Mhe Zainab Rajabu Telack akiwahutubia Wananchi waliojitokeza katika Sherehe za uzinduzi wa Mkakati wa Uasajili na kutoa Vyeti vya kuzaliwa bure kwa Watoto wenye Umri chini ya miaka Mitano kwa kifupi (U5BRI) hafla iliyofanyika katika viwanja vya Kituo cha Afya Project wilayani Sengerema.
Mkuu wa wilaya hiyo akimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe Magesa Stanslaus Mulongo kama Mgeni rasmi katika Uzinduzi huo ametoa wito kwa wananchi kujitokeza kwa wingi katika...

 

10 years ago

Michuzi

msimu wa tano wa mashindano ya soka kwa vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel Rising Stars wazinduliwa leo

Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania leo imezindua rasmi msimu wa tano wa mashindano ya soka kwa vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel Rising Stars ambayo yataanza kutimua vumbi Agosti 8 katika ngazi ya awali na kuhitimishwa kwa fainali za Taifa jijini Dar es Salaam kuanzia Septemba 11 - 21 mwaka huu.  Akiongea na waandishi wa habari kwenye hafla ya uzinduzi jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel Tanzania Beatrice Singano amesema kampuni ya Airtel Tanzania ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wananchi watakiwa kujitokeza kwenye kambi ya kupima Afya bila malipo kwa watoto wenye umri chini ya miaka 5

DSCN9331

DSCN9215

Mkurugenzi Mtendaji wa Kliniki ya kimataifa ya afya ya uzazi kwa baba, mama, mtoto na vijana (AMM), Dk Ali Mzige (katikati) akizungumza na wandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya Kambi ya kupima afya bila malipo kwa watoto wadogo, itakayofanyika Jumapili ya Machi 8 mwaka huu. Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa umoja wa jamii ya watu kutoka India Bengali waliopo hapa Tanzania, BANGO SANGHO, Amit Nandy na kulia ni  mwakilishi wa shule ya Kibugumu, Mwalimu Mzamili Ally.

Na Andrew Chale modewji...

 

10 years ago

GPL

WANANCHI WATAKIWA KUJITOKEZA KWENYE KAMBI YA KUPIMA AFYA BILA MALIPO KWA WATOTO WENYE UMRI CHINI YA MIAKA 5‏

Mkurugenzi Mtendaji wa Kliniki ya kimataifa ya afya ya uzazi kwa baba, mama, mtoto na vijana (AMM), Dk Ali Mzige (katikati) akizungumza na wandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya Kambi ya kupima afya bila malipo kwa watoto wadogo, itakayofanyika Jumapili ya Machi 8 mwaka huu. Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa umoja wa jamii ya watu kutoka India Bengali waliopo hapa Tanzania, BANGO SANGHO, Amit Nandy na kulia ni mwakilishi wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Karibu robo ya wabunge wote ni wazee, wana umri kuanzia miaka 60 na zaidi

Serikali imesema asilimia 20 ya wabunge wote wa Bunge la Jamhuri ni wazee wenye wenye umri wa kati ya miaka 60 na kuendelea.

 

9 years ago

StarTV

Watoto 9,000 wenye umri zaidi ya miaka 11 warejeshwa shule kupitia Mradi Wa Tasaf

Wanawake wa Wilaya ya Chato wameamua kubadilika baada ya kuwezeshwa na Mradi wa TASAF kwa kuwarudisha watoto 9,000 wenye zaidi ya miaka 11 katika shule sitini ambao walikuwa hawasomi  na wengine kuacha shule kutokana na umbali na kukosa uwezo wa kuwanunulia vifaa mbalimbali vya shule.

Pamoja na kuwaanzisha shule sitiri bado baadhi ya wanawake wamekuwa wakinyang’anywa fedha wanazopatiwa na waume zao na kuwafanya baadhi yao kushindwa kutimiza lengo la kuhakikisha watoto wanasoma na kupelekwa...

 

10 years ago

CloudsFM

PICHA ZAIDI :MASOUD KIPANYA NA FINA MANGO WAKIWA LIVE KWENYE POWER BREAKFAST WAKIZUNGUMZIA MIAKA 15 YA CLOUDS FM

Masoud Kipanya,Fina Mango wakiwa na Husna Abdul 'Dahuu'.Waziri Njenje aka Babu Njenje naye alikuwepo mjengoni kwenye sherehe za miaka 15 ya Clouds fm.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani