msimu wa tano wa mashindano ya soka kwa vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel Rising Stars wazinduliwa leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-SArOyutHoIk/VYK8AxA-B0I/AAAAAAAHg8E/GkCU6ETr81A/s72-c/unnamed%2B%252853%2529.jpg)
Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania leo imezindua rasmi msimu wa tano wa mashindano ya soka kwa vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel Rising Stars ambayo yataanza kutimua vumbi Agosti 8 katika ngazi ya awali na kuhitimishwa kwa fainali za Taifa jijini Dar es Salaam kuanzia Septemba 11 - 21 mwaka huu. Akiongea na waandishi wa habari kwenye hafla ya uzinduzi jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel Tanzania Beatrice Singano amesema kampuni ya Airtel Tanzania ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMSIMU WA TANO WA AIRTEL RISING STARS WAZINDULIWA LEO
11 years ago
MichuziBendera atilia mkazo soka la vijana wakati wa uzinduzi wa mashindano ya Airtel Rising Stars mkoani morogoro
Bendera atilia mkazo soka la vijana.Mkuu wa mkoa wa Morogoro Joel Bendera, atilia mkazo soka la vijana na kuwataka viongozi wa mpira wa miguu mkoa wa Morogoro na chama cha mpira wa miguu Tanzania kutilia mkazo program za vijana.
Kocha wa zamani wa timu ya Taifa – Taifa Stars atoa...
11 years ago
GPLAIRTEL YAENDESHA SEMINA ELEKEZI KWA VIONGOZI WA SOKA KWA AJILI YA KUJIANDAA NA MICHUANO YA AIRTEL RISING STARS 2014
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/at5DaH0Gs6k6iP7EtmtIVlOoCs62jrX*rRk2iWXNSSLFf-8uhGS0P-zgIV*XFWSgKNbT8T40YltDlQjh41IQsPZVHR7SsDMM/WorldBank.jpg?width=650)
MASHINDANO YA SANAA, KUCHORA KWA WATOTO NA VIJANA KATI YA UMRI WA MIAKA 7 HADI 15
11 years ago
MichuziMASHINDANO YA VIJANA YA AIRTEL RISING STAR YAZINDULIWA JIJINI DAR
11 years ago
Michuzimashindano ya vijana ya Airtel Rising Star yazinduliwa jijini mwanza
11 years ago
MichuziKliniki ya soka ya Airtel Rising Stars yanoga Uwanja wa Azam Complex
Mafunzo hayo yalioanza Jumatano kwenye Uwanja wa Azam Complex chini ya kocha mkuu Neil Scott kutoka katika shule za Manchester United.
Akitoa mafunzo hayo, Scott alisema lengo la mafunzo hayo ni kumfanya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/REqOXlBbGhj9IAzxES9y08N4AyJRU11DBrY42Z7mwZJiXG3HXS5DP8CB4OfSotflU8b9of8vRxjTQC78QwPQ0qU1c-1sg7E*/DSC_0586.jpg?width=650)
VIJANA WATAKIWA KUJITUMA AIRTEL RISING STARS
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-kr5CgqBcRjE/VfzUp3blfhI/AAAAAAAH6AI/HQ1CnZMQqTE/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
Timu ya soka ya wasichana ya Temeke yatinga Nusu fainali michuano ya Airtel Rising Stars
![](http://2.bp.blogspot.com/-kr5CgqBcRjE/VfzUp3blfhI/AAAAAAAH6AI/HQ1CnZMQqTE/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-NSsOsn7_sJg/VfzUphEmQHI/AAAAAAAH6AE/uq2q4SBiokg/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)