Bendera atilia mkazo soka la vijana wakati wa uzinduzi wa mashindano ya Airtel Rising Stars mkoani morogoro
Mkuu wa Morogoro Joel Bendera akipiga mpira kuashiria uzinduzi wa Airtel Rising Stars mkoani Morogoro.
Mkuu wa mkoa wa Morogoro Joel Bendera akikagua timu wakati wa uzinduzi wa Airtel Rising Stars mkoani Morogoro.
Bendera atilia mkazo soka la vijana.Mkuu wa mkoa wa Morogoro Joel Bendera, atilia mkazo soka la vijana na kuwataka viongozi wa mpira wa miguu mkoa wa Morogoro na chama cha mpira wa miguu Tanzania kutilia mkazo program za vijana.
Kocha wa zamani wa timu ya Taifa – Taifa Stars atoa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SArOyutHoIk/VYK8AxA-B0I/AAAAAAAHg8E/GkCU6ETr81A/s72-c/unnamed%2B%252853%2529.jpg)
msimu wa tano wa mashindano ya soka kwa vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel Rising Stars wazinduliwa leo
10 years ago
TheCitizen03 Aug
Morogoro RC opens Airtel Rising Stars
10 years ago
MichuziMoro Kids bingwa Airtel Rising Stars Morogoro
Ushindi huo kwenye mchezo wa jana uliohudhuriwa na mashabiki wengi uliwawezesha Moro Kids kufikisha pointi sita wakifuatiwa na timu ya Tecfort iliyohitimisha mashindano hayo ya mkoa ikiwa na pointi tatu.
Wakati huo huo chama cha soka mkoani...
11 years ago
MichuziMASHINDANO YA VIJANA YA AIRTEL RISING STAR YAZINDULIWA JIJINI DAR
11 years ago
Michuzimashindano ya vijana ya Airtel Rising Star yazinduliwa jijini mwanza
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zMeyr59B6H0/VfnQNkaT9dI/AAAAAAAH5cA/gLkyzQYdXqA/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
Mwanza yaiadhibu Morogoro katika michuano ya Airtel Rising Stars
11 years ago
GPLAIRTEL YAENDESHA SEMINA ELEKEZI KWA VIONGOZI WA SOKA KWA AJILI YA KUJIANDAA NA MICHUANO YA AIRTEL RISING STARS 2014
11 years ago
MichuziKliniki ya soka ya Airtel Rising Stars yanoga Uwanja wa Azam Complex
Mafunzo hayo yalioanza Jumatano kwenye Uwanja wa Azam Complex chini ya kocha mkuu Neil Scott kutoka katika shule za Manchester United.
Akitoa mafunzo hayo, Scott alisema lengo la mafunzo hayo ni kumfanya...
11 years ago
GPL24 Apr
UZINDUZI WA MAFUNZO YA AIRTEL RISING STARS YANAYOONGOZWA NA MAKOCHA WA MANCHESTER UNITED YAFANA