Morogoro RC opens Airtel Rising Stars
Morogoro Regional Commissioner honourable Rajabu Rutengwe opened the U-17 Airtel Rising Stars in Morogoro yesterday and called on regional football association and the Tanzania Football Federation (TFF) to pay special attention to youth programmes.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMoro Kids bingwa Airtel Rising Stars Morogoro
Timu ya Moro Kids imeukwaa uchampioni wa mashindano ya soka ya vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel Rising Stars mkoa wa Morogoro baada ya kuwafunga Kihonda 2-1 katika mchezo wa funga dimba uliopigwa jana kwenye uwanja wa Shujaa mjini Morogoro.
Ushindi huo kwenye mchezo wa jana uliohudhuriwa na mashabiki wengi uliwawezesha Moro Kids kufikisha pointi sita wakifuatiwa na timu ya Tecfort iliyohitimisha mashindano hayo ya mkoa ikiwa na pointi tatu.
Wakati huo huo chama cha soka mkoani...
Ushindi huo kwenye mchezo wa jana uliohudhuriwa na mashabiki wengi uliwawezesha Moro Kids kufikisha pointi sita wakifuatiwa na timu ya Tecfort iliyohitimisha mashindano hayo ya mkoa ikiwa na pointi tatu.
Wakati huo huo chama cha soka mkoani...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zMeyr59B6H0/VfnQNkaT9dI/AAAAAAAH5cA/gLkyzQYdXqA/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
Mwanza yaiadhibu Morogoro katika michuano ya Airtel Rising Stars
Patashika ya michuano ya vijana chini ya miaka 12 ya Airtel Rising Stars ngazi ya taifa, imeendelea kutimua vumbi katika dimba la Kumbukumbu ya Karume jijini Dar es Salaam, ambapo timu za Temeke na Mwanza zilipepetana kwa upande wa wasichana huku Mwanza na Morogoro walitifuana vikali kwa upande wa wavulana. Kwa kuanzia na mchezo ambao ulizikutanisha timu za wavulana, Mwanza waliwasambaratisha vibaya Morogoro kwa kuwashindilia magoli 3-1. Mwanza ambao walionekana kutakata kila idara,...
11 years ago
MichuziBendera atilia mkazo soka la vijana wakati wa uzinduzi wa mashindano ya Airtel Rising Stars mkoani morogoro
Bendera atilia mkazo soka la vijana.Mkuu wa mkoa wa Morogoro Joel Bendera, atilia mkazo soka la vijana na kuwataka viongozi wa mpira wa miguu mkoa wa Morogoro na chama cha mpira wa miguu Tanzania kutilia mkazo program za vijana.
Kocha wa zamani wa timu ya Taifa – Taifa Stars atoa...
10 years ago
MichuziAirtel wakabidhi jezi kwa timu zitakazoshiriki michuano ya Airtel Rising Stars
10 years ago
GPLAIRTEL WAKABIDHI JEZI KWA TIMU ZITAKAZOSHIRIKI MICHUANO YA AIRTEL RISING STARS
Mwenyekiti kamati ya soka la vijana katika Shirikisho la Soka Tanzania (TFF),Ayubu Njenza (kushoto) akimkabidhi vifaa vya michezo katibu wa chama cha mpira wa miguu Wilaya ya Kinondoni,Isaac Mazwile kwaajili ya mashindano ya vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel Rising Stars, inayoanza tarehe 24 Julai mkoani Mbeya. katikati ni Afisa Uhusiano Airtel,Jane Matinde. Makabidhiano hayo yalifanyika jana jijini Dar-es-Salaam. ...
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/IMG_0869.jpg?width=650)
AIRTEL RISING STARS MBEYA
Ofisa Elimu wa Jiji la Mbeya Protas Mpogole akimkabidhi nahodha wa timu ya Mbaspo Academy Biva Stiven baada ya timu yake kuibuka bingwa wa michuano ya Airtel Rising Star, jana jijini Mbeya. Wachezaji wa timu ya Mbaspo Academy wakishangilia baada ya kuwa mabingwa katika michuano ya vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel Rising Stars. Michuano hiyo ilimalizika jana jijini Mbeya.… ...
11 years ago
GPLAIRTEL YAENDESHA SEMINA ELEKEZI KWA VIONGOZI WA SOKA KWA AJILI YA KUJIANDAA NA MICHUANO YA AIRTEL RISING STARS 2014
Meneja Matukio wa Airtel Tanzania Rebeca Mauma akizungumza wakati wa semina elekezi ya Airtel Rising Stars iliyofanyika kwenye uwanja wa Taifa, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Baadhi ya washiriki wa semina elekezi ya Airtel Rising Stars wakifuatilia kwa makini moja ya mada zilizowasilishwa kwenye semina hiyo iliyofanyika uwanja wa Taifa, Dar es Salaam mwishoni mwa… ...
10 years ago
MichuziTFF yaweka msisitizo Airtel Rising Stars
![](http://3.bp.blogspot.com/-X_hbK4d9TXo/VZzpnFRzp3I/AAAAAAAHnr4/klyMQCkvrOA/s640/Picture%2B2.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-O9Ebn5YrYnY/VdGxDEZIDDI/AAAAAAAHxwA/epLm7gfrZ4w/s72-c/IMG-20150815-WA0052.jpg)
NYAMAGANA DC AFUNGUA AIRTEL RISING STARS MWANZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-O9Ebn5YrYnY/VdGxDEZIDDI/AAAAAAAHxwA/epLm7gfrZ4w/s640/IMG-20150815-WA0052.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wxym_Yo2N9Q/VdGxDakFlUI/AAAAAAAHxv4/Ul3v8QyvLkY/s640/IMG-20150815-WA0053.jpg)
MKUU wa Wilaya ya Nyamagana Baraka Konisaga jana Jumapili (Agosti 15) alifungua mashindano ya Airtel Rising Stars mkoa wa Mwanza na kuwambia vijana kuwa wanalo jukumu la kubadilisha matokeo ya timu za Tanzania hasa katika mashindano ya kimataifa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania