MASHINDANO YA SANAA, KUCHORA KWA WATOTO NA VIJANA KATI YA UMRI WA MIAKA 7 HADI 15
![](http://api.ning.com:80/files/at5DaH0Gs6k6iP7EtmtIVlOoCs62jrX*rRk2iWXNSSLFf-8uhGS0P-zgIV*XFWSgKNbT8T40YltDlQjh41IQsPZVHR7SsDMM/WorldBank.jpg?width=650)
Amsha ubunifu wako! Benki ya Dunia inawakaribisha watoto wa shule wa Kitanzania ambao ni wabunifu wenye umri kati ya miaka 7 hadi 15 kushiriki katika mashindano ya sanaa / kuchora, ambapo mchoro utakaoshinda utatumika kupamba jalada la mbele la Ripoti muhimu ya Benki ya Dunia kuhusu Tanzania. Kaulimbiu ya shindano hili ni ‘Kazi kwa Watanzania Wote.’ Ni nani anaweza kuingia shindano hili? Shindano liko wazi kwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SArOyutHoIk/VYK8AxA-B0I/AAAAAAAHg8E/GkCU6ETr81A/s72-c/unnamed%2B%252853%2529.jpg)
msimu wa tano wa mashindano ya soka kwa vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel Rising Stars wazinduliwa leo
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hh59aELnj78/Xmev5gpWX6I/AAAAAAALieo/MmErO7IBbE0FAuuqKW8txIcRa3P7uFIZACLcBGAsYHQ/s72-c/1960604_RPC-1.jpg)
WATOTO WENYE UMRI WA MIAKA MITANO HADI 12 RAIA WA ETHIOPIA WAKUTWA WAMEHIFADHIWA KWENYE NYUMBA YA MTU BINAFSI MKOANI ARUSHA ...POLISI WATOA NENO
![](https://1.bp.blogspot.com/-hh59aELnj78/Xmev5gpWX6I/AAAAAAALieo/MmErO7IBbE0FAuuqKW8txIcRa3P7uFIZACLcBGAsYHQ/s400/1960604_RPC-1.jpg)
JESHI la Polisi Mkoa wa Arusha linawashikilia watoto sita raia wa Ethiopia akiwemo mwenye umri wa miaka mitano baada ya kukuta wamehifadhiwa kwenye nyumba ya mtu binafsi eneo la Ngureso katika Halmashauri ya Jiji la Arusha.
Akizungumzia tukio hilo leo Kamanda wa Polisi omkoani hapa Jonathan Shanna amesema kuwa watoto hao wenye umri wa miaka mitano hadi 12 waligundulika Februari 20 mwaka huu kuhifadhiwa nyumbani kwa Amina Ally na Mohammed Mahamudu mkazi wa Ngusero...
10 years ago
Dewji Blog05 Mar
Wananchi watakiwa kujitokeza kwenye kambi ya kupima Afya bila malipo kwa watoto wenye umri chini ya miaka 5
Mkurugenzi Mtendaji wa Kliniki ya kimataifa ya afya ya uzazi kwa baba, mama, mtoto na vijana (AMM), Dk Ali Mzige (katikati) akizungumza na wandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya Kambi ya kupima afya bila malipo kwa watoto wadogo, itakayofanyika Jumapili ya Machi 8 mwaka huu. Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa umoja wa jamii ya watu kutoka India Bengali waliopo hapa Tanzania, BANGO SANGHO, Amit Nandy na kulia ni mwakilishi wa shule ya Kibugumu, Mwalimu Mzamili Ally.
Na Andrew Chale modewji...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/DSCN9215.jpg)
WANANCHI WATAKIWA KUJITOKEZA KWENYE KAMBI YA KUPIMA AFYA BILA MALIPO KWA WATOTO WENYE UMRI CHINI YA MIAKA 5
5 years ago
BBCSwahili20 Feb
Amanda McCracken: Mwanamke aliyekuwa na wapenzi wengi lakini akasalia bikra hadi umri wa miaka 41
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lQiEpsWVXLo/U5rwhTOyItI/AAAAAAAFqWY/o2bJCwrsy8E/s72-c/download.jpg)
TFF YAINGILIA KATI KUOKOA MASHINDANO YA VIJANA UKANDA WA MAZIWA MAKUU.
![](http://3.bp.blogspot.com/-lQiEpsWVXLo/U5rwhTOyItI/AAAAAAAFqWY/o2bJCwrsy8E/s1600/download.jpg)
Mashindano hayo ya wazi hufanyika kila mwaka mkoani Arusha mwaka huu yatafanyika jijini dar es salaam na...
9 years ago
StarTV29 Nov
Watoto 9,000 wenye umri zaidi ya miaka 11 warejeshwa shule kupitia Mradi Wa Tasaf
Wanawake wa Wilaya ya Chato wameamua kubadilika baada ya kuwezeshwa na Mradi wa TASAF kwa kuwarudisha watoto 9,000 wenye zaidi ya miaka 11 katika shule sitini ambao walikuwa hawasomi na wengine kuacha shule kutokana na umbali na kukosa uwezo wa kuwanunulia vifaa mbalimbali vya shule.
Pamoja na kuwaanzisha shule sitiri bado baadhi ya wanawake wamekuwa wakinyang’anywa fedha wanazopatiwa na waume zao na kuwafanya baadhi yao kushindwa kutimiza lengo la kuhakikisha watoto wanasoma na kupelekwa...
10 years ago
MichuziWATOTO WENYE UMRI CHINI YA MIAKA MITANO KUSAJILIWA NA KUPEWA VYETI BURE MKOANI MWANZA
Mkuu wa wilaya hiyo akimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe Magesa Stanslaus Mulongo kama Mgeni rasmi katika Uzinduzi huo ametoa wito kwa wananchi kujitokeza kwa wingi katika...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-BFE_pHrSCeY/XplS4gxrsWI/AAAAAAAAyIo/foDoAoe2WMMhSUK6Xnwbo3_PkBQykuyuQCLcBGAsYHQ/s72-c/2-20-768x433.jpg)
KATAVI: UBAKAJI WATOTO WA CHINI YA MWAKA HADI MIAKA MINNE UNAHUSISHWA NA IMANI ZA KISHIRIKINA
![](https://1.bp.blogspot.com/-BFE_pHrSCeY/XplS4gxrsWI/AAAAAAAAyIo/foDoAoe2WMMhSUK6Xnwbo3_PkBQykuyuQCLcBGAsYHQ/s400/2-20-768x433.jpg)
Akizungumzia matukio hayo Afande Clara Ndamukyana wa kitengo cha Dawati la Jinsia mkoa wa Katavi amesema hali hiyo inasababishwa na waganga wa jadi wanaowadanganya wateja wao
“Baadhi ya watuhumiwa waliokamatwa wanasema waganga waliwaeleza kuwa wakipata mabinti ambao...