TFF YAINGILIA KATI KUOKOA MASHINDANO YA VIJANA UKANDA WA MAZIWA MAKUU.
![](http://3.bp.blogspot.com/-lQiEpsWVXLo/U5rwhTOyItI/AAAAAAAFqWY/o2bJCwrsy8E/s72-c/download.jpg)
Na Bertha Mollel – Arusha.
Shirikisho la kandada nchini Tanzania (TFF) limeingilia kati kuokoa mashindano ya vijana ukanda wa maziwa makuu ambayo yalikuwa hatihati kufanyika na sasa yataendeshwa kwa kushirikiana na waratibu wa mashindano hayo Rollingstone Sports academy ya mjini Arusha chini ya mwamvuli wa mtandao wa taasisi za za soka la vijana afrika mashariki na kati ECAYFA.
Mashindano hayo ya wazi hufanyika kila mwaka mkoani Arusha mwaka huu yatafanyika jijini dar es salaam na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1Q3gBdHqSWo/VLzXQar7vVI/AAAAAAAG-TQ/3TW12B_t5Wc/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
10 years ago
Vijimambo19 Mar
JENGO REFU NCHI UKANDA WA MAZIWA MAKUU NA LA NNE KWA UREFU AFRIKA
9 years ago
MichuziBalozi Mulamula afungua Mkutano wa Asasi za Kiraia wa Nchi za Ukanda wa Maziwa Makuu
9 years ago
Dewji Blog15 Dec
Balozi Mulamula: Asasi za Kiraia zina mchango mkubwa katika Amani ukanda wa Maziwa Makuu
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CFHKBfCwZDo/VjF5KUwzZJI/AAAAAAAIDTs/WzwALMNBtlc/s72-c/unnamed%2B%252844%2529.jpg)
Ujumbe kutoka nchi za maziwa makuu wamtembelea katibu mkuu Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-CFHKBfCwZDo/VjF5KUwzZJI/AAAAAAAIDTs/WzwALMNBtlc/s640/unnamed%2B%252844%2529.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/at5DaH0Gs6k6iP7EtmtIVlOoCs62jrX*rRk2iWXNSSLFf-8uhGS0P-zgIV*XFWSgKNbT8T40YltDlQjh41IQsPZVHR7SsDMM/WorldBank.jpg?width=650)
MASHINDANO YA SANAA, KUCHORA KWA WATOTO NA VIJANA KATI YA UMRI WA MIAKA 7 HADI 15
9 years ago
Mtanzania29 Oct
Marekani yaingilia kati Zanzibar
*Ni baada ya matokeo kufutwa, wataka tamko liondolewe
*Makamishna wa ZEC wataka kuzichapa kavukavu
NA SARAH MOSSI, ZANZIBAR
SAA chache baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), kutangaza kufutwa kwa matokeo ya uchaguzi wa rais, wawakilishi na madiwani visiwani Zanzibar jana, Serikali ya Marekani imeingilia kati na kutaka tamko hilo liondolewe.
Serikali ya Marekani imesema imeshtushwa sana na tamko la Mwenyekiti wa ZEC, Jecha Salim Jecha, kufuta matokeo ya uchaguzi wa...
9 years ago
Mwananchi14 Nov
Tuico yaingilia kati mgomo wa Urafiki
10 years ago
BBCSwahili28 Aug
Urusi yaingilia kati vita ya Ukraine.