Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Amanda McCracken: Mwanamke aliyekuwa na wapenzi wengi lakini akasalia bikra hadi umri wa miaka 41

Mwaka 2013, mwandishi wa Marekani Amanda McCracken alichapisha taarifa katika gazeti la New York times ambayo ilisambaa. Ilikuwa na jina la Je ubikra wangu unaweza kuishi?.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Umri ni miaka 26 lakini umbile ni miaka 10

Kutana na Hyomyung Shin,raia wa Korea anayeugua ugonjwa nadra wa 'Highlander Syndrome' unaomzuia kuzeeka !

 

11 years ago

GPL

MASHINDANO YA SANAA, KUCHORA KWA WATOTO NA VIJANA KATI YA UMRI WA MIAKA 7 HADI 15

Amsha ubunifu wako!
Benki ya Dunia inawakaribisha watoto wa shule wa Kitanzania ambao ni wabunifu wenye umri kati ya miaka 7 hadi 15 kushiriki katika mashindano ya sanaa / kuchora, ambapo mchoro utakaoshinda utatumika kupamba jalada la mbele la Ripoti muhimu ya Benki ya Dunia kuhusu Tanzania. Kaulimbiu ya shindano hili ni ‘Kazi kwa Watanzania Wote.’
Ni nani anaweza kuingia shindano hili?
Shindano liko wazi kwa...

 

5 years ago

Michuzi

WATOTO WENYE UMRI WA MIAKA MITANO HADI 12 RAIA WA ETHIOPIA WAKUTWA WAMEHIFADHIWA KWENYE NYUMBA YA MTU BINAFSI MKOANI ARUSHA ...POLISI WATOA NENO

Na Woinde Shizza,Arusha


JESHI  la Polisi Mkoa wa Arusha linawashikilia watoto sita raia  wa Ethiopia akiwemo mwenye umri wa miaka mitano baada ya kukuta wamehifadhiwa kwenye nyumba ya mtu binafsi eneo la Ngureso katika Halmashauri ya Jiji la Arusha.

Akizungumzia tukio hilo leo Kamanda wa Polisi omkoani hapa Jonathan Shanna amesema kuwa watoto hao wenye umri wa miaka mitano hadi 12 waligundulika  Februari 20  mwaka huu  kuhifadhiwa nyumbani kwa Amina Ally na Mohammed Mahamudu mkazi wa Ngusero...

 

10 years ago

Bongo5

‘Nitabaki bikra hadi nitakapoolewa’ — J’odie wa kuchi kuchi

Muimbaji wa Nigeria, Joy Odiete maarufu kwa jina la J’odie aliyehit na wimbo wake ‘Kuchi Kuchi’, ameweka wazi kuwa yeye bado hajachakachuliwa ni bikra, na yupo tayari kusubiri hadi pale atakaposema ‘I do’ kwa yule atakayekuwa mume wake. J’odie ambaye amekulia kwenye familia ya dini amesema hayo katika mahojiano aliyofanyiwa hivi karibuni na Saturday Sun. […]

 

11 years ago

Dewji Blog

Wananchi wengi wanaamini kuwa gesi imeleta neema nchini Tanzania, lakini wengi wana wasiwasi kuwa Serikali na matajiri watafaidika zaidi

mabomba ya gesi

Mabomba ya kusafirisha gesi kutoka Mtwara kwenda Dar es Salaam.

Wananchi wanne kati ya watano wanaamini kuwa mafuta na gesi yatawanufaisha wao, watoto wao na nchi yao kwa ujumla. Wakati huo huo, wananchi wanne kati ya kumi (37%) wanaamini kuwa viongozi wa Serikali na matajiri ndio wataofaidika zaidi. Pia, zaidi ya nusu (55%)  wangependa baadhi ya mapato ya mafuta na gesi wapewe wananchi moja kwa moja kama fedha taslimu.

Matokeo haya yametolewa na Twaweza katika muhtasari wa utafiti wenye...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Umri wa mimba hadi kujifungua

MARA moja kwa kila mwezi tutakuwa tunamsikiliza mjamzito aliyejifungua hivi karibuni tukijaribu kujifunza kwake kuhusu ujauzito. Katika makala ya leo tunamsikiliza Mama Mariam kuanzia alipokuwa na ujauzitio wa miezi sita...

 

10 years ago

Vijimambo

LEO NDO’ UNAJUA KUWA HAKUFAI, ANA WAPENZI WENGI?-2

Mpenzi msomaji wangu, wiki hii nitaimalizia makala haya niliyoanza wiki iliyopita ili niweze kuanza mada nyingine.
Ninachokizungumzia kwenye makala haya ni ile tabia ya baadhi ya watu kuwatangazia wapenzi wao wa zamani mambo mabaya ili kuwachafulia katika mahusiano yao yajayo.

Wanaofanya hivyo wapo wengi sana huko mtaani. Unaweza kukuta wameishi kwa miaka mingi wakitamkiana kila aina ya maneno matamu ya kimahaba, kuitana majina mazuri lakini walipokuja kuachana mpenzi amegeuka kuwa fala. Hii...

 

11 years ago

GPL

MLELA KUOA MWANAMKE ALIYEMZIDI UMRI

Na Gladness Mallya
STAA wa filamu Bongo, Yusuf Mlela ametoa kioja cha aina yake baada ya kufunguka kuwa akifika hatua ya kuingia kwenye ndoa anataka mwanamke atakayemzidi umri. Yusuf Mlela. Tofauti na vijana wengine ambao wanapenda kuoa wake wadogo kwao, Mlela alisema anaamini mwanamke akimzidi umri ndoa itadumu na maisha yao yatakuwa mazuri kwani atakuwa tayari ameshakomaa kiakili na atakuwa na uwezo mkubwa wa kuiendesha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani