Umri ni miaka 26 lakini umbile ni miaka 10
Kutana na Hyomyung Shin,raia wa Korea anayeugua ugonjwa nadra wa 'Highlander Syndrome' unaomzuia kuzeeka !
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili20 Feb
Amanda McCracken: Mwanamke aliyekuwa na wapenzi wengi lakini akasalia bikra hadi umri wa miaka 41
Mwaka 2013, mwandishi wa Marekani Amanda McCracken alichapisha taarifa katika gazeti la New York times ambayo ilisambaa. Ilikuwa na jina la Je ubikra wangu unaweza kuishi?.
10 years ago
BBCSwahili22 May
Dj mwenye umri wa miaka 3
Wachezaji densi Afrika Kusini walipigwa na butwaa walipogundua DJ aliyekuwa akiporomosha densi alikuwa mtoto wa miaka 3
11 years ago
Mwananchi22 Feb
Mugabe atimiza umri wa miaka 90
Rais mkongwe wa Zimbabwe, Robert Mugabe ambaye ameiongoza nchi hiyo tangu mwaka 1980, ametimiza miaka 90.
10 years ago
BBCSwahili15 Jul
Umri wa kuolewa Uhispania ni miaka 16
Uhispania imepandisha umri unaoruhusiwa kwa wasichana kuolewa hadi kumi na sita.
10 years ago
Vijimambo16 Jul
Umri wa kuolewa Uhispania ni miaka 16
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/06/13/150613175620_sp_swedish_royal_wedding_640x360_afp_nocredit.jpg)
Harusi uhispania
Uhispania imepandisha umri unaoruhusiwa kwa wasichana kuolewa hadi kumi na sita.Hadi sasa wasichana nchini humo wangeruhusiwa kuolewa wakiwa na miaka kumi na nne bora tu wapate ruhusa ya jaji.
Sheria hiyo mpya sasa inanuiwa kupunguza visa vya udhalilishaji wa watoto nchini humo.
10 years ago
KwanzaJamii27 Aug
GRACA MACHEL: UMRI WA KUOLEWA MIAKA 18
Watanzania wameaswa kukitumia kipindi hiki cha kuundwa kwa Katiba mpya kuwa na kifungu kwenye katiba kinachoeleza umri wa ndoa kuwa miaka 18 na kuendelea, ili kuondoa tatizo la ndoa za utotoni.
Wito huo ulitolewa jana jijini Dar es Salaam na mwanzilishi wa mfuko wa Graca Machel Trust, Grace Machel, alipokuwa akizundua kampeni ya kitaifa dhidi ya ndoa za utotoni inayoanzia katika wilaya ya Tarime mkoa wa Mara.
Machel ambaye ni mjane marais wa kwanza wa Msumbiji na Afrika Kusini, Samora...
11 years ago
BBCSwahili14 Feb
Minala ana umri wa miaka 17-Lazio
Klabu ya Lazio imepinga madai kuwa nyota wake Joseph Minali ana umri wa miaka 41 na kusema kuwa ana miaka 17 pekee
11 years ago
Mwananchi22 Jan
Ana umri wa miaka 12, aolewa kwa ng’ombe 15
>Wamasai ni miongoni wa jamii chache duniani, ambazo zimefanikiwa hadi sasa kudumisha mila zake. Katika mila za jamii hii, zipo ambazo zinapaswa kuendelezwa na nyingine zinapaswa kupigwa marufuku.
10 years ago
Mwananchi20 Sep
Bibi Pelagia mwenye umri wa miaka 101
Kutokana na mfumo wa maisha tunayoishi, vyakula tunavyokula na mabadiliko ya tabia, maisha ya mwanadamu kuishi duniani ni mafupi sana ukilinganishwa na maisha ya zamani walivyoishi wazazi wetu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania