GRACA MACHEL: UMRI WA KUOLEWA MIAKA 18
Watanzania wameaswa kukitumia kipindi hiki cha kuundwa kwa Katiba mpya kuwa na kifungu kwenye katiba kinachoeleza umri wa ndoa kuwa miaka 18 na kuendelea, ili kuondoa tatizo la ndoa za utotoni. Wito huo ulitolewa jana jijini Dar es Salaam na mwanzilishi wa mfuko wa Graca Machel Trust, Grace Machel, alipokuwa akizundua kampeni ya kitaifa dhidi ya ndoa za utotoni inayoanzia katika wilaya ya Tarime mkoa wa Mara. Machel ambaye ni mjane marais wa kwanza wa Msumbiji na Afrika Kusini, Samora...
KwanzaJamii
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili15 Jul
Umri wa kuolewa Uhispania ni miaka 16
10 years ago
Vijimambo16 Jul
Umri wa kuolewa Uhispania ni miaka 16

Harusi uhispania
Uhispania imepandisha umri unaoruhusiwa kwa wasichana kuolewa hadi kumi na sita.Hadi sasa wasichana nchini humo wangeruhusiwa kuolewa wakiwa na miaka kumi na nne bora tu wapate ruhusa ya jaji.
Sheria hiyo mpya sasa inanuiwa kupunguza visa vya udhalilishaji wa watoto nchini humo.
10 years ago
Mtanzania26 Jan
Graca Machel ateta na Waziri Simba
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
MJANE wa aliyekuwa Rais wa Afrika ya Kusini, Graca Machel yuko nchini katika ziara fupi kusaidia kumaliza tatizo la ndoa za utotoni kupitia programu na miradi mbalimbali atakayoifadhili ili kuwawezesha watoto wa kike kupata elimu hatimaye kujikomboa na umaskini.
Katika ziara yake mama Machel, amekutana na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba, ambapo alitumia fursa hiyo kuipongeza Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Maendeleo ya...
11 years ago
AllAfrica.Com27 Aug
Graca Machel Snubs Child Marriages
IPPmedia
AllAfrica.com
TANZANIA was on Tuesday asked to take the continental lead in the struggle against child marriage as the country did in its fight against colonialism across Southern Africa. Launching the National Ending Child Marriage Campaign, "Child Marriage- Free ...
Former S. Africa first lady Graca Machel leads campaign against child marriagesIPPmedia
all 2
9 years ago
BBC13 Nov
Graca Machel meets Chibok parents
11 years ago
AllAfrica.Com10 Oct
Will Graca Machel Campaign Eliminate FGM in Tarime?
AllAfrica.com
Former South African First Lady Graca Machel, speaks during the launch of End Child Marriage campaign in Dar es Salaam last August. She is flanked by two girls, Pili Mohere and Happiness Rhobi. (File photo). ACTIVISTS in the Child Marriage Free Zone ...
10 years ago
Mwananchi25 Jan
Graca Machel ataka watoto wa kike walindwe Tarime
10 years ago
Michuzi.jpg)
Graca Machel, Waziri Kairuki walia na ndoa za utotoni
.jpg)
.jpg)
11 years ago
IPPmedia27 Aug
Former S. Africa first lady Graca Machel leads campaign against child marriages
IPPmedia
IPPmedia
Graca Machel, reacts before two female children, Pili Mohere (L) and Happiness Rhobi at the launch of a National Ending Child Marriage Campaign at JNICC in Dar es Salaam yesterday. Graca Machel, Nelson Mandela's widow and founder of the Graca ...