Graca Machel ateta na Waziri Simba
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
MJANE wa aliyekuwa Rais wa Afrika ya Kusini, Graca Machel yuko nchini katika ziara fupi kusaidia kumaliza tatizo la ndoa za utotoni kupitia programu na miradi mbalimbali atakayoifadhili ili kuwawezesha watoto wa kike kupata elimu hatimaye kujikomboa na umaskini.
Katika ziara yake mama Machel, amekutana na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba, ambapo alitumia fursa hiyo kuipongeza Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Maendeleo ya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1Voc_wEx7aI/VMDWcMvWXEI/AAAAAAAG-6A/osxyzH95mSU/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
Graca Machel, Waziri Kairuki walia na ndoa za utotoni
![](http://3.bp.blogspot.com/-1Voc_wEx7aI/VMDWcMvWXEI/AAAAAAAG-6A/osxyzH95mSU/s1600/unnamed%2B(6).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7lGtPtqIMFs/VMDWczp-ADI/AAAAAAAG-6E/vXv5lg2XkM4/s1600/unnamed%2B(5).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HUNjGgWv-Kw/U_3EVM3nVxI/AAAAAAAGCo4/fhs3AMFel2c/s72-c/unnamed%2B(95).jpg)
WAZIRI CHIKAWE AKUTANA NA MWANAHARAKATI WA KIMATAIFA WA HAKI ZA WANAWAKE NA WATOTO, GRACA MACHEL JIJINI DAR LEO
Katika mazungumzo yao, Waziri Chikawe alimwambia mke huyo wa Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, juhudi zake za kuingiza katika Katiba Mpya kifungu cha kuzuia mtoto wa chini ya miaka 18 asioe wala asiolewe.
Hata hivyo, Mama Machel...
10 years ago
KwanzaJamii27 Aug
GRACA MACHEL: UMRI WA KUOLEWA MIAKA 18
10 years ago
AllAfrica.Com27 Aug
Graca Machel Snubs Child Marriages
IPPmedia
AllAfrica.com
TANZANIA was on Tuesday asked to take the continental lead in the struggle against child marriage as the country did in its fight against colonialism across Southern Africa. Launching the National Ending Child Marriage Campaign, "Child Marriage- Free ...
Former S. Africa first lady Graca Machel leads campaign against child marriagesIPPmedia
all 2
9 years ago
BBC13 Nov
Graca Machel meets Chibok parents
10 years ago
AllAfrica.Com10 Oct
Will Graca Machel Campaign Eliminate FGM in Tarime?
AllAfrica.com
Former South African First Lady Graca Machel, speaks during the launch of End Child Marriage campaign in Dar es Salaam last August. She is flanked by two girls, Pili Mohere and Happiness Rhobi. (File photo). ACTIVISTS in the Child Marriage Free Zone ...
10 years ago
Mwananchi25 Jan
Graca Machel ataka watoto wa kike walindwe Tarime
10 years ago
IPPmedia27 Aug
Former S. Africa first lady Graca Machel leads campaign against child marriages
IPPmedia
IPPmedia
Graca Machel, reacts before two female children, Pili Mohere (L) and Happiness Rhobi at the launch of a National Ending Child Marriage Campaign at JNICC in Dar es Salaam yesterday. Graca Machel, Nelson Mandela's widow and founder of the Graca ...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QScNtz4l6lY/VMMyuWIVVGI/AAAAAAACyXE/Qt5Y5_xecqI/s72-c/New%2BPicture.png)
MAMA GRACIA MACHEL AKUTANA NA WAZIRI WA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO, MHE. SOPHIA M. SIMBA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-QScNtz4l6lY/VMMyuWIVVGI/AAAAAAACyXE/Qt5Y5_xecqI/s1600/New%2BPicture.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-nrT8ABhzPdc/VMMzRiS4EMI/AAAAAAACyXM/_r1e2WYLNxI/s1600/New%2BPicture%2B(2).png)
Waziri wa maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Mhe. Sophia Simba (katikati) akisisitiza jambo wakati wa kikao chake na aliyekuwa Rais wa Afrika ya Kusini Bi.Gracia Machel (wa kwanza kushoto) aliyefika Wizarani hapo kujadili program...