Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Former S. Africa first lady Graca Machel leads campaign against child marriages


IPPmedia
Former S. Africa first lady Graca Machel leads campaign against child marriages
IPPmedia
Graca Machel, reacts before two female children, Pili Mohere (L) and Happiness Rhobi at the launch of a National Ending Child Marriage Campaign at JNICC in Dar es Salaam yesterday. Graca Machel, Nelson Mandela's widow and founder of the Graca ...

IPPmedia

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

AllAfrica.Com

Graca Machel Snubs Child Marriages


IPPmedia
Graca Machel Snubs Child Marriages
AllAfrica.com
TANZANIA was on Tuesday asked to take the continental lead in the struggle against child marriage as the country did in its fight against colonialism across Southern Africa. Launching the National Ending Child Marriage Campaign, "Child Marriage- Free ...
Former S. Africa first lady Graca Machel leads campaign against child marriagesIPPmedia

all 2

 

10 years ago

AllAfrica.Com

Will Graca Machel Campaign Eliminate FGM in Tarime?


Will Graca Machel Campaign Eliminate FGM in Tarime?
AllAfrica.com
Former South African First Lady Graca Machel, speaks during the launch of End Child Marriage campaign in Dar es Salaam last August. She is flanked by two girls, Pili Mohere and Happiness Rhobi. (File photo). ACTIVISTS in the Child Marriage Free Zone ...

 

9 years ago

TheCitizen

Child marriages set to soar in Africa: UNICEF

 Child marriages in Africa are set to more than double by 2050 unless urgent steps are taken, UNICEF warned Thursday as delegates met in Zambia to discuss how to halt the practice.

 

10 years ago

KwanzaJamii

GRACA MACHEL: UMRI WA KUOLEWA MIAKA 18

Watanzania wameaswa kukitumia kipindi hiki cha kuundwa kwa Katiba mpya kuwa na kifungu kwenye katiba kinachoeleza umri wa ndoa kuwa miaka 18 na kuendelea, ili kuondoa tatizo la ndoa za utotoni. Wito huo ulitolewa jana jijini Dar es Salaam na mwanzilishi wa mfuko wa Graca Machel Trust, Grace Machel, alipokuwa akizundua kampeni ya kitaifa dhidi ya ndoa za utotoni inayoanzia katika wilaya ya Tarime mkoa wa Mara. Machel ambaye ni mjane marais wa kwanza wa Msumbiji na Afrika Kusini, Samora...

 

9 years ago

BBC

Graca Machel meets Chibok parents

Nelson Mandela's widow Graca Machel is meeting some of the parents of the 219 Chibok girls abducted by Nigeria's Islamist Boko Haram militants last year.

 

10 years ago

Mtanzania

Graca Machel ateta na Waziri Simba

IMG_00071Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
MJANE wa aliyekuwa Rais wa Afrika ya Kusini, Graca Machel yuko nchini katika ziara fupi kusaidia kumaliza tatizo la ndoa za utotoni kupitia programu na miradi mbalimbali atakayoifadhili ili kuwawezesha watoto wa kike kupata elimu hatimaye kujikomboa na umaskini.

Katika ziara yake mama Machel, amekutana na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba, ambapo alitumia fursa hiyo kuipongeza Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Maendeleo ya...

 

10 years ago

Michuzi

Graca Machel, Waziri Kairuki walia na ndoa za utotoni

 Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Angellah Jasmine Kairuki akisalimiana na Mke wa Rais wa zamani wa Afrika Kusini na mwanaharakai wa haki za wanawake na watoto Bi. Graca Machel jijini Dar es Salaam jana (Jumatano, Januari 21, 2014). Wengine ni wadau kutoka Wizara ya Katiba na Sheria, Wizara ya Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto, Shirika la Umoja wa Mataifa Linaloshughulikia Idadi ya Watu Duniani (UNFPA)Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Angellah Jasmine Kairuki (kushoto) akiongea...

 

10 years ago

Mwananchi

Graca Machel ataka watoto wa kike walindwe Tarime

Mke wa rais wa kwanza wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, Mama Graca Machel ameitaka jamii kuondokana na suala la ukatili wa kijinsia ukiwamo ukeketaji, ndoa na mimba za utotoni kwa lengo la kumlinda mtoto wa kike na kumpa nafasi ya kutimiza ndoto zake.

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI CHIKAWE AKUTANA NA MWANAHARAKATI WA KIMATAIFA WA HAKI ZA WANAWAKE NA WATOTO, GRACA MACHEL JIJINI DAR LEO

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe amekutana na Mwanaharakati wa Kimataifa wa haki za wanawake na watoto, Graca Machel na kujadili masuala mbalimbali ya haki za wanawake na watoto katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam leo.
Katika mazungumzo yao, Waziri Chikawe alimwambia mke huyo wa Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, juhudi zake za kuingiza katika Katiba Mpya kifungu cha kuzuia mtoto wa chini ya miaka 18 asioe wala asiolewe.
Hata hivyo, Mama Machel...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani