WAZIRI CHIKAWE AKUTANA NA MWANAHARAKATI WA KIMATAIFA WA HAKI ZA WANAWAKE NA WATOTO, GRACA MACHEL JIJINI DAR LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-HUNjGgWv-Kw/U_3EVM3nVxI/AAAAAAAGCo4/fhs3AMFel2c/s72-c/unnamed%2B(95).jpg)
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe amekutana na Mwanaharakati wa Kimataifa wa haki za wanawake na watoto, Graca Machel na kujadili masuala mbalimbali ya haki za wanawake na watoto katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam leo.
Katika mazungumzo yao, Waziri Chikawe alimwambia mke huyo wa Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, juhudi zake za kuingiza katika Katiba Mpya kifungu cha kuzuia mtoto wa chini ya miaka 18 asioe wala asiolewe.
Hata hivyo, Mama Machel...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziWAZIRI CHIKAWE AKUTANA NA MWAKILISHI MKUU WA KANDA ICRC OFISINI KWAKE JIJINI DAR LEO
10 years ago
MichuziSAFARI NGUMU YA MWANAHARAKATI FATUMA MISANGO MPIGANIA HAKI ZA WANAWAKE, WATOTO SONGEA
“Mimi naitwa Fatuma Misango, ni Mratibu wa kituo cha wasaidizi wa sheria ...
10 years ago
Mwananchi25 Jan
Graca Machel ataka watoto wa kike walindwe Tarime
10 years ago
Mtanzania26 Jan
Graca Machel ateta na Waziri Simba
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
MJANE wa aliyekuwa Rais wa Afrika ya Kusini, Graca Machel yuko nchini katika ziara fupi kusaidia kumaliza tatizo la ndoa za utotoni kupitia programu na miradi mbalimbali atakayoifadhili ili kuwawezesha watoto wa kike kupata elimu hatimaye kujikomboa na umaskini.
Katika ziara yake mama Machel, amekutana na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba, ambapo alitumia fursa hiyo kuipongeza Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Maendeleo ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qfxcFy-VeZA/VMH1OltD3JI/AAAAAAAG_IQ/gTcVB-uhpRI/s72-c/Untitled1.png)
MAMA GRACIA MACHEL AKUTANA NA WAZIRI WA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO
Katika ziara yake mama Machel, amekutana na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Mhe. Sophia Simba ambapo, alitumia fursa hiyo kuipongeza Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1Voc_wEx7aI/VMDWcMvWXEI/AAAAAAAG-6A/osxyzH95mSU/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
Graca Machel, Waziri Kairuki walia na ndoa za utotoni
![](http://3.bp.blogspot.com/-1Voc_wEx7aI/VMDWcMvWXEI/AAAAAAAG-6A/osxyzH95mSU/s1600/unnamed%2B(6).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7lGtPtqIMFs/VMDWczp-ADI/AAAAAAAG-6E/vXv5lg2XkM4/s1600/unnamed%2B(5).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tKoRcQH4Iw0/VMH9V7JuruI/AAAAAAAG_I8/ldFoUiUB5O8/s72-c/unnamed%2B(43).jpg)
MKUU WA SHIRIKA LA KIMATAIFA LA UHAMIAJI (IOM) NCHINI AMTEMBELEA WAZIRI CHIKAWE OFISINI KWAKE DAR LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-tKoRcQH4Iw0/VMH9V7JuruI/AAAAAAAG_I8/ldFoUiUB5O8/s1600/unnamed%2B(43).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-crs0O2xumAc/VMH9W9dmkUI/AAAAAAAG_JE/vjbWroLdqIc/s1600/unnamed%2B(44).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QScNtz4l6lY/VMMyuWIVVGI/AAAAAAACyXE/Qt5Y5_xecqI/s72-c/New%2BPicture.png)
MAMA GRACIA MACHEL AKUTANA NA WAZIRI WA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO, MHE. SOPHIA M. SIMBA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-QScNtz4l6lY/VMMyuWIVVGI/AAAAAAACyXE/Qt5Y5_xecqI/s1600/New%2BPicture.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-nrT8ABhzPdc/VMMzRiS4EMI/AAAAAAACyXM/_r1e2WYLNxI/s1600/New%2BPicture%2B(2).png)
Waziri wa maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Mhe. Sophia Simba (katikati) akisisitiza jambo wakati wa kikao chake na aliyekuwa Rais wa Afrika ya Kusini Bi.Gracia Machel (wa kwanza kushoto) aliyefika Wizarani hapo kujadili program...
10 years ago
MichuziMAMA SALMA KIKWETE AKUTANA NA MAMA GRACA MACHEL KWENYE OFISI ZA WAMA