Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Umri wa kuolewa Uhispania ni miaka 16

Uhispania imepandisha umri unaoruhusiwa kwa wasichana kuolewa hadi kumi na sita.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Umri wa kuolewa Uhispania ni miaka 16




Harusi uhispania
Uhispania imepandisha umri unaoruhusiwa kwa wasichana kuolewa hadi kumi na sita.Hadi sasa wasichana nchini humo wangeruhusiwa kuolewa wakiwa na miaka kumi na nne bora tu wapate ruhusa ya jaji.
Sheria hiyo mpya sasa inanuiwa kupunguza visa vya udhalilishaji wa watoto nchini humo.

 

10 years ago

KwanzaJamii

GRACA MACHEL: UMRI WA KUOLEWA MIAKA 18

Watanzania wameaswa kukitumia kipindi hiki cha kuundwa kwa Katiba mpya kuwa na kifungu kwenye katiba kinachoeleza umri wa ndoa kuwa miaka 18 na kuendelea, ili kuondoa tatizo la ndoa za utotoni. Wito huo ulitolewa jana jijini Dar es Salaam na mwanzilishi wa mfuko wa Graca Machel Trust, Grace Machel, alipokuwa akizundua kampeni ya kitaifa dhidi ya ndoa za utotoni inayoanzia katika wilaya ya Tarime mkoa wa Mara. Machel ambaye ni mjane marais wa kwanza wa Msumbiji na Afrika Kusini, Samora...

 

11 years ago

GPL

FAIDA 6 ZA KUOLEWA NA MUME ALIYEKUZIDI UMRI!

Mara nyingi wapo ambao hujikuta njia panda baada ya kudondoka kimapenzi kwa watu ambao wamewazidi umri au kinyume chake. Naamini wengi wamekuwa wakikumbana na mazingira haya na kuhisi itakuwa ni tatizo kwa msichana mwenye miaka 24 kuolewa na mwanaume mwenye miaka 40 na zaidi. Au unaweza kukuta mwanaume mwenye miaka 25 katokea kumpenda mwanamke mwenye miaka 30 lakini anaona kuingia naye kwenye ndoa ni shida. Kabla sijaenda mbele...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ndoa Uhispania sasa mpaka miaka 16

Serikali ya Uhispania imetangaza kuwa kuanzia leo Alhamisi raia wa chi hiyo watakubaliwa kufunga ndoa kisheria watakapotimiza umri wa miaka 16 badala ya miaka 14 ilivyokuwa awali

 

10 years ago

Vijimambo

Zari Hassan kufunga ndoa na Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, "Asema hakuna umri maalumu wa Kuoa au Kuolewa"!

WAKATI mama mzazi wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Sanura Kasim ‘Sandra’ akiwa nchini India kwa matibabu ya tatizo la kiafya linalodaiwa kuwa ni kupooza, hapa Bongo dalili za Diamond na mpenzi wake wa sasa, Zarinah Hassan ‘Zari’ au The Boss Lady kufunga ndoa zinanukia. Chanzo makini kimeliambia Ijumaa Wikienda kwamba, licha ya mama Diamond kupelekwa India Januari 27, mwaka huu na msafara wa watu wawili, nyuma, Zari alitua Bongo tangu Januari 30, mwaka huu lengo kubwa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Umri ni miaka 26 lakini umbile ni miaka 10

Kutana na Hyomyung Shin,raia wa Korea anayeugua ugonjwa nadra wa 'Highlander Syndrome' unaomzuia kuzeeka !

 

10 years ago

Mwananchi

Bibi harusi wa miaka 14 amuua mumewe kwa sumu kupinga kuolewa

Bi harusi wa miaka 14 nchini Nigeria ameshtakiwa kwa kuwaua watu wanne akiwemo mumewe wa miaka 35 baada ya kuweka sumu ya panya katika chakula alichoandaa kwa sherehe za harusi yake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Dj mwenye umri wa miaka 3

Wachezaji densi Afrika Kusini walipigwa na butwaa walipogundua DJ aliyekuwa akiporomosha densi alikuwa mtoto wa miaka 3

 

11 years ago

Mwananchi

Mugabe atimiza umri wa miaka 90

Rais mkongwe wa Zimbabwe, Robert Mugabe ambaye ameiongoza nchi hiyo tangu mwaka 1980, ametimiza miaka 90.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani