Bibi harusi wa miaka 14 amuua mumewe kwa sumu kupinga kuolewa
Bi harusi wa miaka 14 nchini Nigeria ameshtakiwa kwa kuwaua watu wanne akiwemo mumewe wa miaka 35 baada ya kuweka sumu ya panya katika chakula alichoandaa kwa sherehe za harusi yake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili27 Nov
Bi harusi wa miaka 14 ampa sumu mumewe
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-H1clHA6zHAs/VOWS1gTUuOI/AAAAAAAAHkA/Ez6l2ZC7Qcw/s72-c/Indian-Wedding-Photos-151.jpg)
BWANA HARUSI AANGUKA KIFAFA KABLA YA HARUSI, ALIMFICHA MKEWE MTARAJIWA KAMA ANAANGUKA, MKE AAMUA KUOLEWA NA MWINGINE PAPO KWA PAPO
![](http://2.bp.blogspot.com/-H1clHA6zHAs/VOWS1gTUuOI/AAAAAAAAHkA/Ez6l2ZC7Qcw/s640/Indian-Wedding-Photos-151.jpg)
11 years ago
Habarileo28 Apr
Amuua mumewe kwa kumvuta korodani
POLISI mkoani Pwani inamshikilia mkazi wa Tarafa ya Vikindu Kata ya Kisemvule wilaya ya Mkuranga, Husna Iddi (16), kwa tuhuma za kusababisha kifo cha mumewe kwa kumvuta sehemu zake za siri.
10 years ago
Mwananchi21 Dec
Bibi amuua mjukuu wake kwa kumtupa nje ya basi kupitia dirishani
9 years ago
Mtanzania10 Nov
Bibi harusi amkimbia bwana harusi
NA UPENDO MOSHA, MOSHI
MWANAMKE aliyejulikana kwa jina la Doroth Msuya, mkazi wa Monduli mkoani Arusha, ametoweka muda mfupi kabla ya kufunga ndoa na Joseph Machange, mkazi wa Mwika, Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro.
Ndoa ya wawili hao ilitarajiwa kufungwa Jumamosi ya Novemba 7 katika Kanisa la Kinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini, Usharika wa Lole, Mwika.
Mchungaji mwenza wa usharika huo, Elikeseni Shao, alisema majira ya saa sita na nusu mchana wakati maandalizi...
11 years ago
Michuzi28 Jul
9 years ago
Mwananchi11 Nov
Bibi harusi aliyetoweka apatikana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jK7-NTyuxfAKZ51fEXXMh1y3IoC9Vcqo4WtVx9nvp*9D809QmTAKvPwf6eKnwd4IosDCyT8s4FKkA8rUVajJ3EeKwj-zQYW3/BACKIJUMAA.jpg)
SIKU MOJA KABLA YA NDOA BI HARUSI AGOMA KUOLEWA!
11 years ago
Mwananchi01 Jun
Mtoto wa miaka mitatu amuua mdogo wake kwa risasi