Mtoto wa miaka mitatu amuua mdogo wake kwa risasi
Payson Ariz, mtoto wa kiume wa miaka mitatu amemuua mdogo wake wa kiume mwenye umri wa mwaka mmoja na nusu kwa kumpiga risasi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies12 Sep
Riyama Afunguka ya Moyoni Mtoto Wake Kufiakiasha Miaka Mitatu
Alhamdulilah Asante MUNGU kwa kila kitu Asante Kwa zawadi ya Fatma hakika furaha yangu haiwezi kusemeka ni faraja ni tumaini ni kila kitu kwangu Asante kunifanya niitwe mama wewe kwangu ni muangaza uliojaa tumaini la pekee @fetydamwan na muomba mola anijalie uhai na uzima Afya njema na nguvu hekma na busara nikulee vyema mama nikusomeshe ili uje kunilea siku za usoni ukawe mtoto wa kheri unijue mimi mama na ukawajue kina mama wote ukawapende kama unavo ipenda na ukawaheshimu NAKUPENDA...
11 years ago
Mwananchi25 Apr
Yajue malezi kwa mtoto chini ya miaka mitatu
10 years ago
CloudsFM16 Jan
MBUNGE MACHEMLI AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA TUHUMA ZA KUTOMLIPA MSHAHARA MFANYAKAZI WAKE KWA MIAKA MITATU.
Machemuli amefunguliwa shauri la madai katika mahakama hiyo na kupewa nakala ya kuitwa yenye Na MCA/MZ/UK/524/2014 katika mahakama hiyo baada ya kufunguliwa kesi na Rehema Hamis (Mhudumu) kwa madai ya kutomlipa mshahara wake kwa miezi 35 ikiwa ni kiasi cha Sh milioni 3,680,000 alizotakiwa...
10 years ago
Habarileo15 Aug
Jela miaka 30 kwa kumnajisi mdogo wake
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Nzega, imemhukumu mkazi wa wilaya hiyo, Jumanne Masanja (23), kwenda jela miaka 30 kwa kosa la kunajisi mdogo wake wa kike mwenye umri wa miaka 13.
11 years ago
Mwananchi06 Jun
Tajiri adaiwa kumng’ata, kumchoma pasi mtumishi wake kwa miaka mitatu
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Kutana na Dj Mdogo mwenye umri wa miaka mitatu Afrika Kusini…(+Video)
Dj Arch Jnr ndiye Dj mdogo mwenye umri wa miaka mitatu ambaye makazi yake yapo Afrika Kusini kipaji chake kinawashangasha watu wengi kwa kucheza muziki wa aina tofauti akiwa kama DJ. Mtoto huyo alianza kuchukua headlines kabla ya kushinda kwenye shindano la S.A Got Talent 2015 baada ya kuwashinda washiriki sita kwenye fainali zilizofanyika Nov […]
The post Kutana na Dj Mdogo mwenye umri wa miaka mitatu Afrika Kusini…(+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Bongo514 Sep
AY akutana na mdogo wake kwa mara kwanza baada ya miaka 16
11 years ago
CloudsFM18 Jul
Kijana amuua mtoto wa miaka 9 na ‘kutafuna ubongo’
Moshi. Mkazi mmoja wa Moshi amemuua mwanafunzi wa darasa la 3 kule Samanga leo na kisha 'kula ubongo' wa mtoto huyo katika tukio la kutisha lililostua wakazi wa mji huu.
Kijana huyu aliyefahamika kwa jina la Lawrence Mramba, 20, alimshambulia mtoto huyo mwenye umri wa miaka 9 kwa panga wakati akienda shule mnamo saa 1 asubuhi Ijumaa, akampasua kichwa na kisha akaanza kutafuna ‘vipande vya ubongo wake.’
Mara baada ya kitendo hicho cha kushtusha, Mramba, aliyeonekana kuwa na matatizo ya...
11 years ago
Mwananchi19 Jul
YATISHA: Kijana afyatuka, amuua mtoto wa miaka 9 na ‘kutafuna ubongo’