Minala ana umri wa miaka 17-Lazio
Klabu ya Lazio imepinga madai kuwa nyota wake Joseph Minali ana umri wa miaka 41 na kusema kuwa ana miaka 17 pekee
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili30 May
Lazio; Minala ana miaka 17 sio 42
Uchunguzi wa shirikisho la soka la Italia umebaini Joseph Minala ana umri wa miaka 17 sio 42..
11 years ago
Mwananchi22 Jan
Ana umri wa miaka 12, aolewa kwa ng’ombe 15
>Wamasai ni miongoni wa jamii chache duniani, ambazo zimefanikiwa hadi sasa kudumisha mila zake. Katika mila za jamii hii, zipo ambazo zinapaswa kuendelezwa na nyingine zinapaswa kupigwa marufuku.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DBD4PE5EidXXO9HjhEydwEC71S6b0FMggq5P3goueaY*74ploD4U56ELJTd34cJxRlhYiMp1tZ2vobOJql5Eb0x1G4KUBclO/yatima.jpg?width=650)
YATIMA AOTA NYAMA YA AJABU ANA UMRI WA MIAKA 16 KILA ANAYEMLEA HUFARIKI DUNIA
STORI: MAKONGORO OGING’
Kwa kweli duniani kuna mateso, lakini ya mtoto huyu yatima ni makali na maisha yake yapo hatarini kama hatawahi kupata matibabu. Fuatilia mkasa wake hapa chini ambao naamini utakuhuzunisha.
Kijana Twaha Sultan (16) ambaye ni yatima mkazi wa Kipawa Karakata, Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam akisimulia mkasa wake alikuwa na haya ya kusema: Kijana Twaha Sultan akiwa na maumivu makali. ...
10 years ago
BBCSwahili13 Apr
Bibi,umri wa 65,ana mimba ya pacha wanne
Mwanamke mwenye umri wa miaka 65 mama ya watoto 13 sasa anamimba ya pacha wanne
10 years ago
Habarileo07 Sep
Mchungaji afa na miaka 114, mjane ana miaka 30
MCHUNGAJI Samuel Sadela (114), wa Kanisa la Gospel Apostolic huko Nigeria aliyehubiri kwa miaka 82 amefariki dunia na kuacha mjane mwenye umri wa miaka 30 aitwaye Christina aliyemuoa miaka saba iliyopita.
9 years ago
BBCSwahili14 Aug
Umri ni miaka 26 lakini umbile ni miaka 10
Kutana na Hyomyung Shin,raia wa Korea anayeugua ugonjwa nadra wa 'Highlander Syndrome' unaomzuia kuzeeka !
10 years ago
BBCSwahili22 May
Dj mwenye umri wa miaka 3
Wachezaji densi Afrika Kusini walipigwa na butwaa walipogundua DJ aliyekuwa akiporomosha densi alikuwa mtoto wa miaka 3
10 years ago
Vijimambo16 Jul
Umri wa kuolewa Uhispania ni miaka 16
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/06/13/150613175620_sp_swedish_royal_wedding_640x360_afp_nocredit.jpg)
Harusi uhispania
Uhispania imepandisha umri unaoruhusiwa kwa wasichana kuolewa hadi kumi na sita.Hadi sasa wasichana nchini humo wangeruhusiwa kuolewa wakiwa na miaka kumi na nne bora tu wapate ruhusa ya jaji.
Sheria hiyo mpya sasa inanuiwa kupunguza visa vya udhalilishaji wa watoto nchini humo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania