Wananchi wengi wanaamini kuwa gesi imeleta neema nchini Tanzania, lakini wengi wana wasiwasi kuwa Serikali na matajiri watafaidika zaidi
Mabomba ya kusafirisha gesi kutoka Mtwara kwenda Dar es Salaam.
Wananchi wanne kati ya watano wanaamini kuwa mafuta na gesi yatawanufaisha wao, watoto wao na nchi yao kwa ujumla. Wakati huo huo, wananchi wanne kati ya kumi (37%) wanaamini kuwa viongozi wa Serikali na matajiri ndio wataofaidika zaidi. Pia, zaidi ya nusu (55%) wangependa baadhi ya mapato ya mafuta na gesi wapewe wananchi moja kwa moja kama fedha taslimu.
Matokeo haya yametolewa na Twaweza katika muhtasari wa utafiti wenye...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3QWN5yhdbadHvp9hCX5iPyVcJpj8GioE-dZzk*-wWFnUNuWfL8JNlcpD*SFLJef62zGP3vWZtlaOw6pkeYkr*vDtZbcbd4bL/gas.jpg?width=650)
WANANCHI WANAAMINI GESI IMELETA NEEMA TANZANIA JAPO WANA WASIWASI KUWA SERIKALI, MATAJIRI WATAFAIDIKA ZAIDI
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-dXJPhE6sioY/U4197Y2904I/AAAAAAAFnVk/Lk2zILe4ToM/s72-c/4f2dEngineers-work-on-the-pipeline.jpg)
Wananchi wengi wanaamini kuwa gesi imeleta neema nchini Tanzania
![](http://2.bp.blogspot.com/-dXJPhE6sioY/U4197Y2904I/AAAAAAAFnVk/Lk2zILe4ToM/s1600/4f2dEngineers-work-on-the-pipeline.jpg)
Wananchi wanne kati ya watano wanaamini kuwa mafuta na gesi yatawanufaisha wao, watoto wao na nchi yao kwa ujumla. Wakati huo huo, wananchi wanne kati ya kumi (37%) wanaamini kuwa viongozi wa Serikali na matajiri ndio wataofaidika zaidi. Pia, zaidi ya nusu (55%) wangependa baadhi ya mapato ya mafuta na gesi wapewe wananchi moja kwa moja kama fedha taslimu.
Matokeo haya yametolewa na Twaweza katika muhtasari wa utafiti wenye jina la Kusimamia Maliasili: Wananchi wanasemaje? Utafiti huu...
11 years ago
Bongo531 Jul
Diamond na Wema wanaongoza kwa kuwa na followers wengi Instagram, wafahamu wengi 9
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
TCAA yatamanisha wengi kuwa marubani
USAFIRI wa anga ni miongoni mwa sekta muhimu kwenye ukuaji wa uchumi wa nchi yoyote duniani. Kwa kuliona hilo, Serikali ya Tanzania ilianzisha Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA) kwa...
10 years ago
Mwananchi17 Jun
Uzuri na ubaya wa CCM kuwa na watangazania wengi
10 years ago
Mwananchi28 Aug
Kuwa na watoto wengi huchangia umasikini-Utafiti
5 years ago
CCM Blog20 May
TRUMP ASEMA MAREKANI KUWA NA WAGONJWA WENGI NI HESHIMA
![Trump at a cabinet meeting](https://ichef.bbci.co.uk/news/660/cpsprodpb/10209/production/_112375066_gettyimages-1225867223.jpg)
10 years ago
Bongo Movies24 Jan
Davina Akiri Kuwa Waigizaji Wengi wa Kike Wanajiuza!!!
Muigizaji mkongwe wa filamu na moja kati ya waasisi wa Kaone Sanaa Group, Halima Yahya ‘Davina’ amekiri kuwa ndani ya tasnia yao, kuna waigizaji wengi wa kike wanajiuza kwa maslahi yao binafsi.
Akipiga stori na paparazi wa GPL, Davina alisema wasanii wanaofanya hivyo ni wale wasio na nia ya dhati, wapo kwenye tasnia kwa ajili ya kuuza sura na kujinadi kwa mapedeshee.
“Tatizo ni kwamba wasanii tumekutana kila mmoja ana tabia zake na ni ngumu kujua undani wa mtu kwa kumtazama mara moja,...
10 years ago
Mwananchi01 Mar
MZEE YUSUPH: Nasikia raha kuwa na wake wengi