Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WANANCHI WANAAMINI GESI IMELETA NEEMA TANZANIA JAPO WANA WASIWASI KUWA SERIKALI, MATAJIRI WATAFAIDIKA ZAIDI

Juni 3, 2014, Dar es Salaam: Wananchi wanne kati ya watano wanaamini kuwa mafuta na gesi yatawanufaisha wao, watoto wao na nchi yao kwa ujumla. Wakati huo huo, wananchi wanne kati ya kumi (37%) wanaamini kuwa viongozi wa Serikali na matajiri ndio wataofaidika zaidi. Pia, zaidi ya nusu (55%)  wangependa baadhi ya mapato ya mafuta na gesi wapewe wananchi moja kwa moja kama fedha taslimu. Matokeo haya yametolewa na Twaweza katika...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Wananchi wengi wanaamini kuwa gesi imeleta neema nchini Tanzania, lakini wengi wana wasiwasi kuwa Serikali na matajiri watafaidika zaidi

mabomba ya gesi

Mabomba ya kusafirisha gesi kutoka Mtwara kwenda Dar es Salaam.

Wananchi wanne kati ya watano wanaamini kuwa mafuta na gesi yatawanufaisha wao, watoto wao na nchi yao kwa ujumla. Wakati huo huo, wananchi wanne kati ya kumi (37%) wanaamini kuwa viongozi wa Serikali na matajiri ndio wataofaidika zaidi. Pia, zaidi ya nusu (55%)  wangependa baadhi ya mapato ya mafuta na gesi wapewe wananchi moja kwa moja kama fedha taslimu.

Matokeo haya yametolewa na Twaweza katika muhtasari wa utafiti wenye...

 

11 years ago

Michuzi

Wananchi wengi wanaamini kuwa gesi imeleta neema nchini Tanzania


 Wananchi wanne kati ya watano wanaamini kuwa mafuta na gesi yatawanufaisha wao, watoto wao na nchi yao kwa ujumla. Wakati huo huo, wananchi wanne kati ya kumi (37%) wanaamini kuwa viongozi wa Serikali na matajiri ndio wataofaidika zaidi. Pia, zaidi ya nusu (55%)  wangependa baadhi ya mapato ya mafuta na gesi wapewe wananchi moja kwa moja kama fedha taslimu.

Matokeo haya yametolewa na Twaweza katika muhtasari wa utafiti wenye jina la Kusimamia Maliasili: Wananchi wanasemaje? Utafiti huu...

 

11 years ago

Mwananchi

Watanzania wanaamini gesi, mafuta vitawanufaisha

Utafiti uliofanywa na Taasisi ya Twaweza unaonyesha kuwa watu wengi wanaamini kuwa mafuta na gesi ni rasilimali zitakazowanufaisha wao na nchi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vy corona: Tanzania yasema hakuna haja ya kuwa na wasiwasi

Serikali ya Tanzania imekana madai kwamba taifa hilo linajikokota katika vita dhidi ya virusi vya corona

 

9 years ago

BBCSwahili

Utafiti: Watanzania wana wasiwasi kuhusu mashambulizi

Matokeo ya utafiti yaliyotolewa leo yanaonyesha wengi wana wasiwasi juu ya vitisho vya mashambulio dhidi ya Tanzania siku zijazo.

 

11 years ago

Bongo5

Tunda Man adai kuwa na mipango ya kugombea ubunge, japo si 2015

Inaonekana wasanii wengi nchini wanapenda kuingia mjengoni. Baada ya Shilole kutangaza nia ya kugombea ubunge wa Igunda, Tundaman amesema ana nia ya kuja kugombea ubunge wa Kinondoni. Akizungumza na Bongo5 Tunda Man amesema ni kweli yupo kwenye mipango hiyo ila sio mapema kutokana kwakuwa bado anahitaji kujiendeleza kielimu zaidi. “Iddi ni kama baba yangu siwezi […]

 

10 years ago

Habarileo

Neema ya gesi sasa ni dhahiri

RAIS Jakaya Kikwete jana alizindua miundombinu ya kuchakata na kusafirisha gesi asilia kutoka Mtwara na Songo Songo hadi Dar es Salaam kupitia Somanga.

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YA AWAMU YA TANO IMELETA MAENDELEO PWANI- MHANDISI NDIKILO

Na Zainab Nyamka, Michuzi Tv

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo amesema ndani ya miaka mitano chini ya serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Dkt John Pombe Magufuli imepata maendeleo makubwa sana.

Ndikilo amesema, toka kupata kwa Uhuru mji wa Kisarawe haujawahi kupata maji safi na kupitia Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam  DAWASA wamefanikisha kukamilika kwa mradi huo.

Mradi wa maji wa Kisarawe umeuzindulia leo na Rais Dkt John Pombe Magufuli, tunafurahi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani