Jinsi matajiri wanavyotajirika zaidi, na masikini wanavyokuwa fukara zaidi
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili19 Jan
Matajiri kumiliki mali zaidi
Shirika la kimataifa la misaada nchini Uingereza, Oxfam, limeonya kwamba kufikia mwaka ujao, matajiri ambao ni asilimia moja ya idadi ya watu duniani, watamiliki mali zaidi kuliko asilimia 99 iliyosalia ya watu.
11 years ago
Mwananchi26 Jun
Tasaf kuzinufaisha zaidi kaya masikini
Watanzania waishio kwenye kaya masikini watanufaika na ruzuku inayotolewa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf) baada ya tathmini iliyofanywa katika awamu tatu za mwanzo zilizohusisha baadhi ya wilaya nchini, kuonyesha mafanikio makubwa.
11 years ago
BBCSwahili20 May
Rais masikini zaidi duniani. Unamfahamu?
Sifa kwa wanasiasa kokote duniani ni nadra, hasa kwenye mitandao ya kijamii, lakini Rais wa Uruguay amekuwa akimiminiwa sifa tele
10 years ago
BBCSwahili07 Nov
Rais masikini zaidi apewa dola milioni 1
Rais wa Uruguay Jose Mujika anasema kuwa amepewa dola millioni 1 ili kuuza gari lake aina ya Volkswagen.
10 years ago
Bongo508 Oct
Richest African Presidents 2014: Orodha ya Marais 9 matajiri zaidi wa Kiafrika
Mtandao wa Richestlifestyle.com umetoa orodha yake ya Marais na Wafalme 9 matajiri zaidi wa kiafrica 2014 (Richest African Presidents 2014). Anayeongoza kwenye nafasi ya kwanza ni Rais wa Angola, Jose Eduardo dos Santos mwenye utajiri unaofikia $20 Billion. Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ndiye Rais pekee wa Afrika mashariki kwenye orodha hiyo akiwa kwenye nafasi […]
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3QWN5yhdbadHvp9hCX5iPyVcJpj8GioE-dZzk*-wWFnUNuWfL8JNlcpD*SFLJef62zGP3vWZtlaOw6pkeYkr*vDtZbcbd4bL/gas.jpg?width=650)
WANANCHI WANAAMINI GESI IMELETA NEEMA TANZANIA JAPO WANA WASIWASI KUWA SERIKALI, MATAJIRI WATAFAIDIKA ZAIDI
Juni 3, 2014, Dar es Salaam: Wananchi wanne kati ya watano wanaamini kuwa mafuta na gesi yatawanufaisha wao, watoto wao na nchi yao kwa ujumla. Wakati huo huo, wananchi wanne kati ya kumi (37%) wanaamini kuwa viongozi wa Serikali na matajiri ndio wataofaidika zaidi. Pia, zaidi ya nusu (55%)Â wangependa baadhi ya mapato ya mafuta na gesi wapewe wananchi moja kwa moja kama fedha taslimu. Matokeo haya yametolewa na Twaweza katika...
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
Wafugaji: Tunalala matajiri, tunaamka masikini
“UPO usemi usemao waweza kulala masikini ukaamkatajiri, lakini sisi wafugaji tulilala matajiri na tukaamka masikini,”. Kauli hiyo inatolewa na wafugaji wa kijiji cha Mapili, Tarafa ya Inyonga, Wilaya ya Mlele...
10 years ago
Mwananchi16 Jun
Matajiri hulala muda mfupi kuliko masikini?
Wewe ni mtu wa kulala sana? Saa moja usiku upo kitandani, unaamka saa nne asubuhi. Inawezekana ukaendelea kulalamika na kuwanyooshea wengine kidole kwamba ni ‘wachawi’ wanaozuia mafanikio yako, huku wao wakivuna mafanikio.
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://1.bp.blogspot.com/-aLVGSiQTWZY/U8_Q00DKr6I/AAAAAAAABbA/yDo8EjruWjo/s72-c/bi.jpg)
Sumaye: Kuna tishio la matajiri na masikini kutoelewana
NA MWANDISHI WETU
WAZIRI Mkuu mstaafu Frederick Sumaye, amesema kuna tishio la kutokea kutoelewana baina ya matajiri na masikini nchini.
Amesema hali hiyo inaweza kusababisha vurugu nchini kama hatua hazitachukuliwa mapema ili kunusuru hali hiyo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-aLVGSiQTWZY/U8_Q00DKr6I/AAAAAAAABbA/yDo8EjruWjo/s1600/bi.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania