Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Matajiri kumiliki mali zaidi

Shirika la kimataifa la misaada nchini Uingereza, Oxfam, limeonya kwamba kufikia mwaka ujao, matajiri ambao ni asilimia moja ya idadi ya watu duniani, watamiliki mali zaidi kuliko asilimia 99 iliyosalia ya watu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

TABCO: Mwanamke ana haki kumiliki mali

UMILIKI wa mali zinazotokana na mirathi ni jambo muhimu linalotakiwa kutiliwa maanani na jamii yote pasipo kujali jinsia. Serikali nayo inatakiwa lazima iwajibike kikamilifu katika hili, juu ya kuhakikisha haki...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Jaji Kaganda: Hatukatazi viongozi kumiliki mali

NI jasiri, mwenye uelewa mpana, mwanamama aliyeshika nyadhifa mbalimbali na uongozi bila kutetereka. Namzungumzia Kamishina wa Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji mstaafu, Salome Kaganda, ambaye mara baada ya kuapishwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Mwanamke ana haki ya kumiliki mali kisheria

Ukimuelimisha mwanamke umeielimisha jamii. Ni wakati wa kuondokana na mfumo dume. Mwanamke akiwezeshwa anaweza. Mwanamke ndiye mlezi wa familia.

 

9 years ago

Michuzi

MHE. RIDHIWAN KIKWETE AVUNJA UKIMYA, AZUNGUMZIA MAKONTENA NA MALI ANAZODAIWA KUMILIKI..

 Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwan J. Kikwete.
Ndugu zangu waandishi wa habari, nimeamua kuwaita ili kuzungumza nanyi kuhusu baadhi ya mambo yaliyokuwa yanasemwa katika vyombo vya habari kuhusu mimi.
Awali ya yote napenda kusema kuwa habari hizo ni UONGO mtupu, ni mambo yanayozushwa na waandishi wa habari hizo kwa nia ya kuchafua jina langu kwa sababu wanazozijua wanaoandika. UKWELI ni kwamba haya ni mambo yenye kufanywa kwa nia na dhamira mbaya dhidi yangu na hata familia yangu.
Hivi...

 

5 years ago

BBCSwahili

Matajiri wasioweza kueleza chanzo cha utajiri wao mali zao kuchukuliwa

Zimbambwe imesema watu ambao hawawezi kuelezea utajiri wao ulitoka wapi mali zao ziko katika hatari ya kuchukuliwa hata ikiwa mahakama itawaondolea madai ya kuhusika na ufisadi.

 

10 years ago

Bongo5

Richest African Presidents 2014: Orodha ya Marais 9 matajiri zaidi wa Kiafrika

Mtandao wa Richestlifestyle.com umetoa orodha yake ya Marais na Wafalme 9 matajiri zaidi wa kiafrica 2014 (Richest African Presidents 2014). Anayeongoza kwenye nafasi ya kwanza ni Rais wa Angola, Jose Eduardo dos Santos mwenye utajiri unaofikia $20 Billion. Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ndiye Rais pekee wa Afrika mashariki kwenye orodha hiyo akiwa kwenye nafasi […]

 

11 years ago

GPL

WANANCHI WANAAMINI GESI IMELETA NEEMA TANZANIA JAPO WANA WASIWASI KUWA SERIKALI, MATAJIRI WATAFAIDIKA ZAIDI

Juni 3, 2014, Dar es Salaam: Wananchi wanne kati ya watano wanaamini kuwa mafuta na gesi yatawanufaisha wao, watoto wao na nchi yao kwa ujumla. Wakati huo huo, wananchi wanne kati ya kumi (37%) wanaamini kuwa viongozi wa Serikali na matajiri ndio wataofaidika zaidi. Pia, zaidi ya nusu (55%)  wangependa baadhi ya mapato ya mafuta na gesi wapewe wananchi moja kwa moja kama fedha taslimu. Matokeo haya yametolewa na Twaweza katika...

 

11 years ago

Mwananchi

Utu ni zaidi ya fedha na mali zako

Juzi, nilikutana na mama mmoja aliyewahi kuwa mwenye nyumba wetu miaka ya nyuma wakati ningali binti mdogo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani