Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jaji Kaganda: Hatukatazi viongozi kumiliki mali

NI jasiri, mwenye uelewa mpana, mwanamama aliyeshika nyadhifa mbalimbali na uongozi bila kutetereka. Namzungumzia Kamishina wa Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji mstaafu, Salome Kaganda, ambaye mara baada ya kuapishwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Matajiri kumiliki mali zaidi

Shirika la kimataifa la misaada nchini Uingereza, Oxfam, limeonya kwamba kufikia mwaka ujao, matajiri ambao ni asilimia moja ya idadi ya watu duniani, watamiliki mali zaidi kuliko asilimia 99 iliyosalia ya watu.

 

10 years ago

Mwananchi

Mwanamke ana haki ya kumiliki mali kisheria

Ukimuelimisha mwanamke umeielimisha jamii. Ni wakati wa kuondokana na mfumo dume. Mwanamke akiwezeshwa anaweza. Mwanamke ndiye mlezi wa familia.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TABCO: Mwanamke ana haki kumiliki mali

UMILIKI wa mali zinazotokana na mirathi ni jambo muhimu linalotakiwa kutiliwa maanani na jamii yote pasipo kujali jinsia. Serikali nayo inatakiwa lazima iwajibike kikamilifu katika hili, juu ya kuhakikisha haki...

 

9 years ago

Michuzi

MHE. RIDHIWAN KIKWETE AVUNJA UKIMYA, AZUNGUMZIA MAKONTENA NA MALI ANAZODAIWA KUMILIKI..

 Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwan J. Kikwete.
Ndugu zangu waandishi wa habari, nimeamua kuwaita ili kuzungumza nanyi kuhusu baadhi ya mambo yaliyokuwa yanasemwa katika vyombo vya habari kuhusu mimi.
Awali ya yote napenda kusema kuwa habari hizo ni UONGO mtupu, ni mambo yanayozushwa na waandishi wa habari hizo kwa nia ya kuchafua jina langu kwa sababu wanazozijua wanaoandika. UKWELI ni kwamba haya ni mambo yenye kufanywa kwa nia na dhamira mbaya dhidi yangu na hata familia yangu.
Hivi...

 

10 years ago

Mwananchi

Jaji Lubuva awavaa viongozi wa kisiasa

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva amewashukia viongozi wa kisiasa, akiwataka kuacha kutumia nafasi zao kuingilia mchakato wa uandikishaji wa Daftari la Wapiga Kura kwa kutumia vifaa vya kielektroniki vya Biometric Voters Registration (BVR), kwani zinaweza kuleta machafuko makubwa nchini.

 

10 years ago

Vijimambo

Viongozi ACT sasa kutangaza mali zao.

Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe (pichani) na Katibu Mkuu, Samson Mwigamba, wameweka hadharani mali, maslahi na madeni, ambazo zitawekwa wazi kwenye vyombo vya habari, mitandao ya kijamii na tovuti ya chama ili wananchi wasome.

Akihutubia mamia ya wananchi wakati wa uzinduzi wa chama hicho, Zitto alianza kwa kuweka hadharani mali zake mbele ya mwanasheria wa chama na kudai kwa undani zitawekwa kwenye mtandao ili kila mwananchi ajisomee.

Kabla ya kusaini fomu hiyo, Zitto...

 

10 years ago

Mwananchi

Mrwanda: Sikutaka longolongo na mali kauli za viongozi wa Simba

 Mshambuliaji mpya wa Yanga, Danny Mrwanda amesema kilichomfanya asisajiliwe na Simba ni usajili wa “mali kauli”, wakati anachoangalia kwa sasa ni fedha.

 

11 years ago

Mwananchi

Jaji Maina: Tume iwabane viongozi wasio waadilifu

>Mwenyekiti mstaafu wa Tume ya Maadili ya Viongozi,  Jaji mstaafu William Maina, ameishauri tume hiyo kuomba ipewe nguvu zaidi ili iweze kuwachukulia hatua viongozi wanaokiuka maadili ya kazi zao.

 

10 years ago

Mwananchi

Viongozi wa wasitumie mali za umma katika kampeni Uchaguzi 2015

Moja kati ya shughuli zinazotarajiwa kufanywa na Bunge letu la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania la mwezi ujao, ni kuifanyia marekebisho Katiba inayotumika sasa ya mwaka 1977.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani