Jaji Kaganda: Hatukatazi viongozi kumiliki mali
NI jasiri, mwenye uelewa mpana, mwanamama aliyeshika nyadhifa mbalimbali na uongozi bila kutetereka. Namzungumzia Kamishina wa Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji mstaafu, Salome Kaganda, ambaye mara baada ya kuapishwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili19 Jan
Matajiri kumiliki mali zaidi
Shirika la kimataifa la misaada nchini Uingereza, Oxfam, limeonya kwamba kufikia mwaka ujao, matajiri ambao ni asilimia moja ya idadi ya watu duniani, watamiliki mali zaidi kuliko asilimia 99 iliyosalia ya watu.
10 years ago
Mwananchi04 Dec
Mwanamke ana haki ya kumiliki mali kisheria
Ukimuelimisha mwanamke umeielimisha jamii. Ni wakati wa kuondokana na mfumo dume. Mwanamke akiwezeshwa anaweza. Mwanamke ndiye mlezi wa familia.
11 years ago
Tanzania Daima08 Mar
TABCO: Mwanamke ana haki kumiliki mali
UMILIKI wa mali zinazotokana na mirathi ni jambo muhimu linalotakiwa kutiliwa maanani na jamii yote pasipo kujali jinsia. Serikali nayo inatakiwa lazima iwajibike kikamilifu katika hili, juu ya kuhakikisha haki...
9 years ago
MichuziMHE. RIDHIWAN KIKWETE AVUNJA UKIMYA, AZUNGUMZIA MAKONTENA NA MALI ANAZODAIWA KUMILIKI..
Ndugu zangu waandishi wa habari, nimeamua kuwaita ili kuzungumza nanyi kuhusu baadhi ya mambo yaliyokuwa yanasemwa katika vyombo vya habari kuhusu mimi.
Awali ya yote napenda kusema kuwa habari hizo ni UONGO mtupu, ni mambo yanayozushwa na waandishi wa habari hizo kwa nia ya kuchafua jina langu kwa sababu wanazozijua wanaoandika. UKWELI ni kwamba haya ni mambo yenye kufanywa kwa nia na dhamira mbaya dhidi yangu na hata familia yangu.
Hivi...
10 years ago
Mwananchi21 Feb
Jaji Lubuva awavaa viongozi wa kisiasa
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva amewashukia viongozi wa kisiasa, akiwataka kuacha kutumia nafasi zao kuingilia mchakato wa uandikishaji wa Daftari la Wapiga Kura kwa kutumia vifaa vya kielektroniki vya Biometric Voters Registration (BVR), kwani zinaweza kuleta machafuko makubwa nchini.
10 years ago
Vijimambo30 Mar
Viongozi ACT sasa kutangaza mali zao.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Zitto--30march2015.jpg)
Akihutubia mamia ya wananchi wakati wa uzinduzi wa chama hicho, Zitto alianza kwa kuweka hadharani mali zake mbele ya mwanasheria wa chama na kudai kwa undani zitawekwa kwenye mtandao ili kila mwananchi ajisomee.
Kabla ya kusaini fomu hiyo, Zitto...
10 years ago
Mwananchi11 Dec
Mrwanda: Sikutaka longolongo na mali kauli za viongozi wa Simba
 Mshambuliaji mpya wa Yanga, Danny Mrwanda amesema kilichomfanya asisajiliwe na Simba ni usajili wa “mali kauliâ€, wakati anachoangalia kwa sasa ni fedha.
11 years ago
Mwananchi03 Aug
Jaji Maina: Tume iwabane viongozi wasio waadilifu
>Mwenyekiti mstaafu wa Tume ya Maadili ya Viongozi, Jaji mstaafu William Maina, ameishauri tume hiyo kuomba ipewe nguvu zaidi ili iweze kuwachukulia hatua viongozi wanaokiuka maadili ya kazi zao.
10 years ago
Mwananchi29 Oct
Viongozi wa wasitumie mali za umma katika kampeni Uchaguzi 2015
Moja kati ya shughuli zinazotarajiwa kufanywa na Bunge letu la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania la mwezi ujao, ni kuifanyia marekebisho Katiba inayotumika sasa ya mwaka 1977.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania