Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jaji Maina: Tume iwabane viongozi wasio waadilifu

>Mwenyekiti mstaafu wa Tume ya Maadili ya Viongozi,  Jaji mstaafu William Maina, ameishauri tume hiyo kuomba ipewe nguvu zaidi ili iweze kuwachukulia hatua viongozi wanaokiuka maadili ya kazi zao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

UVCCM yaonya watumishi wa umma wasio waadilifu

UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), umewaonya watumishi wa umma wanaojiingiza kwenye siasa na kutumia nafasi zao kuwanyanyasa, kuwabughudhi na kuwadhalilisha wananchi wakati wakienda kutafuta huduma za kijamii na kiuchumi.

 

5 years ago

CCM Blog

HOTUBA YA MWENYEKITI WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI MHE. JAJI WA RUFAA (MST) SEMISTOCLES KAIJAGE KWENYE MKUTANO WA TUME NA VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA KATIKA UKUMBI WA MIKUTANO WA MWL. NYERERE TAREHE 23 MACHI, 2020







•           Mheshimiwa Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi,•           Waheshimiwa Wajumbe wa Tume,•           Mkurugenzi wa Uchaguzi,•           Msajili wa Vyama vya Siasa,•           Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa,•           Viongozi wa Vyama vya Siasa,•           Mwakilishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu,•           Inspekta Jenerali wa Polisi,•           Kamishna Mkuu wa Uhamiaji•           Watendaji wa Tume,•           Waandishi wa Habari,•           Mabibi na Mabwana
Bwana...

 

11 years ago

Mwananchi

Jaji Maina ‘alilia’ amani na haki

Vyombo vinavyohusika na utoaji wa haki nchini vimeshauriwa kushughulikia matatizo ya wananchi kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za maadili ili kuliepusha taifa na uvunjifu wa amani unaoweza kutokea kwa raia kunyimwa haki.

 

10 years ago

StarTV

Watanzania waaswa kuchagua viongozi waadilifu.

Na Immaculate Kilulya,

Dar es Salaam.

 

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe amesema umefika wakati wa watanzania kupiga vita vitendo vya kifisadi kwa kuchagua viongozi wazalendo na waadilifu kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

Amesema vitendo vya kifisadi pamoja na rushwa vinakwamisha maendeleo ya Tanzania hali inayosababisha uchumi wa nchi kukua wakati watanzania wakiendelea kubaki masikini.

Waziri Membe amesema hayo wakati wa uzinduzi wa maadhimisho ya...

 

10 years ago

Habarileo

Askofu Mkude aasa viongozi kuwa waadilifu

ASKOFU Telesphor Mkude wa Kanisa Katoliki Jimbo la MorogoroWATUMISHI wa umma wa ngazi mbalimbali waliopewa dhamana ya kuwatumikia wananchi wameombwa kuzisoma na kusikiliza kwa umakini hotuba mbalimbali za Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ili ziwaweke kwenye msingi wa kuwa na maadili mema, uadilifu na uwazi.

 

10 years ago

Michuzi

MAMA KIKWETE AWATAKA WANANCHI KUCHAGUA VIONGOZI WAADILIFU NA WENYE SIFA

Na Anna Nkinda – Lindi
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete amewataka wakazi wa Kata ya Ng’apa wilaya ya Lindi mjini kuchagua viongozi waadilifu na wenye sifa ambao watawaongoza wananchi kusimamia shughuli za maendeleo yao.
Mama Kikwete ambaye ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia wilaya ya Lindi mjini alitoa rai hiyo jana wakati akiongea na wananchi waliohudhuria mkutano wa kampeni ya uchaguzi wa Wenyeviti na Wajumbe wa Serikali za mitaa uliofanyika katika...

 

10 years ago

GPL

WANAFUNZI BORA KIDATO CHA NNE AWATAKA VIONGOZI WAWE WAKWELI, WAADILIFU

Nyakaho Marungu akiwa kwenye pozi. …Akiwa na binamu yake.
Mama mzazi wa Nyakaho, Celestina Maro (kushoto), …

 

10 years ago

Vijimambo

MWANAFUNZI BORA KIDATO CHA NNE AWATAKA VIONGOZI WAWE WAKWELI, WAADILIFU

Nyakaho Marungu akiwa kwenye pozi na rafiki yake Fauzia ambae wote wamemaliza kidato cha nne Baobab Secondary School.
Mama mzazi wa Nyakaho, Celestina Maro (kushoto)
MSICHANA Nyakaho Marungu (16) mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Baobab,iliyopo Mapinga Bagamoyo mkoani Pwani aliyeibuka mwanafunzi bora wa mtihani wa kidato cha nne mwaka 2014 nchini, amewataka viongozi nchini kuwa wakweli na waadilifu ili kuiletea nchi maendeleo na kutokumuudhi Mwenyezi Mungu.Akizungumza na GPL nyumbani kwao...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Viongozi wasio na maadili hawatufai’

Wakati baadhi ya wanasiasa wameanza kutangaza nia za kugombea urais kwenye uchaguzi mkuu mwakani, wananchi wametakiwa kutambua kuwa mtu asiye na maadili hafai kuwa kiongozi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani