Jaji Maina ‘alilia’ amani na haki
Vyombo vinavyohusika na utoaji wa haki nchini vimeshauriwa kushughulikia matatizo ya wananchi kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za maadili ili kuliepusha taifa na uvunjifu wa amani unaoweza kutokea kwa raia kunyimwa haki.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi03 Aug
Jaji Maina: Tume iwabane viongozi wasio waadilifu
11 years ago
Mwananchi01 Apr
Dk. Gama alilia haki ya dini kwa watoto wa kike
11 years ago
Mwananchi20 Mar
Lipumba alilia haki za binadamu kwenye katiba mpya
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-k9VaLQL_XnA/XtlI-tokMPI/AAAAAAALspA/PA1UYlDOs_kK07YGKk92raUmgI81WSr4wCLcBGAsYHQ/s72-c/1-6.jpg)
Wizara ya Katiba na Sheria na Tume ya Haki za Binadamu zina Wajibu wa kulinda haki za wananchi-Jaji Mstaafu Mwaimu
![](https://1.bp.blogspot.com/-k9VaLQL_XnA/XtlI-tokMPI/AAAAAAALspA/PA1UYlDOs_kK07YGKk92raUmgI81WSr4wCLcBGAsYHQ/s640/1-6.jpg)
Waziri wa Katiba na Sheria wa Zanzibari, Mhe.Khamis Juma Mwalim, akifafanua jambo kwa wajumbe na wageni wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala bora (hawapo pichani) wakiongozwa na Mwenyekiti wa tume hiyo, Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu (kushoto) wakati wa kikao kifupi kilichofanyika ofisini kwake baada ya kutembelewa na ugeni huo loe Juni 4, 2020 Mjini...
11 years ago
Tanzania Daima22 Mar
Rais Kikwete hakuitendea haki tume ya Jaji Warioba
KILE kilichokuwa kikipiganiwa na Mwenyekiti wa Kudumu wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, hadi kuvunja kanuni za Bunge hilo, kimedhihirika jana. Bado tunakumbuka jinsi Sitta alivyovunja kanuni kwa makusudi...
10 years ago
Habarileo24 Nov
Jaji Ramadhani ataka Afrika kuzingatia haki za binadamu
RAIS wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu (AfCHPR) Jaji Augustino Ramadhani amezitaka nchi za Afrika kuzingatia zaidi masuala ya haki za binadamu kama kweli zinataka kupiga hatua za kiuchumi na kidemokrasia.
10 years ago
Dewji Blog23 Mar
Jaji Agustino Ramadhani ahutubia mkutano wa Haki za Binadamu
Raisi wa Mahakama ya Afrika ya Haki za binadamu Jaji Agustino Ramadhani, akihutubia mkutano wa Haki za binadamu uliofanyika jana jijini Arusha wenye lengo la kuimarisha haki za binadamu na kushirikisha taasisi binafsi na za serikali katika kuisaidia Mahakama hiyo .Picha na Mahmoud Ahmad – Arusha).
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ju8_ZAE8OwA/VA7LOIfuWsI/AAAAAAAGiNA/-HsCOn2iSHI/s72-c/Jaji-Augustino-Ramadhan.jpg)
JAJI AUGUSTINO RAMADHAN AWA RAISI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU
![](http://2.bp.blogspot.com/-ju8_ZAE8OwA/VA7LOIfuWsI/AAAAAAAGiNA/-HsCOn2iSHI/s1600/Jaji-Augustino-Ramadhan.jpg)
Mahakama ya Afrika ya haki za binadamu imemteua Jaji mkuu mstaafu wa Tanzania Agustino Ramadhan kuwa rais wa mahakama hiyo kwa kipindi cha miaka miwili uteuzi huounaanza mara moja baada ya aliyekuwa rais wa mahakama hiyo Sophia Akuffo wa Ghana kumaliza muda wake.
Jaji Ramadhani Mtanzania wa kwanza kushikilia kiti hicho tangia kuanzishwa kwa mahakama hiyo baada ya kupata kura 7 kwa kura nne dhidi ya mpinzania wake katika nafasi hiyo ya rais wa mahakama hiyo huku nafasi...