Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JAJI AUGUSTINO RAMADHAN AWA RAISI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU

Na Mahmoud Ahmad,Arusha
Mahakama ya Afrika ya haki za binadamu imemteua Jaji mkuu mstaafu wa Tanzania Agustino Ramadhan kuwa rais wa mahakama hiyo kwa kipindi cha miaka miwili uteuzi huounaanza mara moja baada ya aliyekuwa rais wa mahakama hiyo Sophia Akuffo wa Ghana kumaliza muda wake.
Jaji Ramadhani Mtanzania wa kwanza kushikilia kiti hicho tangia kuanzishwa kwa mahakama hiyo baada ya kupata kura 7 kwa kura nne dhidi ya mpinzania wake katika nafasi hiyo ya rais wa mahakama hiyo huku nafasi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

JAJI AUGUSTINO RAMADHANI AHIMIZA AFRIKA KUHESHIMU HAKI ZA BINADAMU,AZITAKA NCHI ZAIDI KUTOA TAMKO LA KUITAMBUA MAHAKAMA HIYO

Rais wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu(AfCPHR)yenye makao yake jijini Arusha,Jaji Mstaafu wa Tanzania,Augustino Ramadhani(katikati)akizungumza katika hafla ya chakula cha jioni kilichondaliwa na taasisi ya Pan African Lawyers Union(PALU)kushoto ni Afisa Mtendaji Mkuu wa PALU,Donald Deya na kulia ni Mkuu wa mawasiliano wa AfCPHR,Sukhdev Chatbar.Baadhi ya maafisa wa AfCPHR,PALU na waandishi wa habari wakifatilia hafla hiyo. 4.Mwandishi wa habari wa siku nyingi ambaye alikua mwezeshaji...

 

9 years ago

Michuzi

MAHAKAMA YA HAKI ZA BINADAMU YAADHIMISHA SIKU YA HAKI ZA BINADAMU AFRIKA JIJINI ARUSHA

Wanafunzi wa Shule ya Msingi Mariado na walimu iliyopo Usa River ,wilaya ya Arumeru mkoa wa Arusha wakiwa katika picha ya pamoja waliposhiriki maadhimisho ya Siku ya Haki za Binadamu barani Afrika katika Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu iliyofanyika Oktoba 21 na kudai haki za wenye ulemavu wa ngozi(Ualibino) kulindwa kama wananchi wengine
Mwanafunzi Kelvin wa shule ya Mariado akiimba wimbo Umoja wa Afrika(AU)ambao ni maalumu wakati wa shughuli za umoja huo zinapofanyika.
Kamishna wa Tume...

 

10 years ago

Habarileo

Jaji Ramadhani ataka Afrika kuzingatia haki za binadamu

RAIS wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu (AfCHPR) Jaji Augustino Ramadhani amezitaka nchi za Afrika kuzingatia zaidi masuala ya haki za binadamu kama kweli zinataka kupiga hatua za kiuchumi na kidemokrasia.

 

10 years ago

Michuzi

RAIS WA UJERUMANI AVUTIWA NA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU

 Rais wa Mahakama ya Afrika ya  Haki za Binadamu(AfCHPR)Jaji Augustino Ramadhani akitoa hotuba yake fupi mbele ya Rais wa Shirikisho la Ujerumani,Mheshimiwa Joachim Gauck leo jijini Arusha. Rais wa shirikisho la Ujerumani,Joachim Gauck akizungumza na wafanyakazi wa  Mahakama ya Afrika ya  Haki za Binadamu(AfCHPR)
Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani,Philipo Sanka Marmo(katikati)akibadilishana mawazo na Afisa Habari Mwandamizi wa Mahakama ya  Afrika ya  Haki za Binadamu(AfCHPR) Bw. Sukhdev...

 

10 years ago

Michuzi

MAHAKAMA YA HAKI ZA BINADAMU YA AFRIKA YAWANOA WAANDISHI WA HABARI ARUSHA

 Mkuu wa Shirika la Maendeleo ya kimataifa la Ujerumani(GIZ)inayosaidia kujenga uwezo wa taasisi za Uongozi na Utawala bara la Afrika,Dk Iris Breutz akizungumza wakati wa semina ya siku nne ya kuwajengea uwezo waandishi wa habari kutoka nchi za Afrika Mashariki namna Mahakama ya Afrika na Haki za Binadamu(AfCPHR) inavyofanya kazi zake leo jijini Arusha,kushoto ni Jenerali Ulimwengu ambaye ni mwezeshaji na Mkuu wa Mawasiliano wa AfCPHR,Chatbar Sukhdev. Mkuu wa Mawasiliano wa AfCPHR,Chatbar...

 

10 years ago

Michuzi

RAIS WA MAHAKAMA YA AFRIKA NA HAKI ZA BINADAMU AKUTANA MWAKILISHI WA FRANCOPHONIE ARUSHA

Rais wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu(AfCHPR)Jaji Augustino Ramadhani(kushoto) akiwa kwenye mazungumzo na Naibu Mwakilishi Mkazi wa taasisi ya kimataifa “La Francophonie” katika Umoja wa Afrika(AU)yenye makao yake Addis Ababa,Ethiopia,Cecile Folchini kwenye ofisi za Mahakama ya Afrika jijini Arusha leo. Rais wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu(AfCHPR)Jaji Augustino Ramadhani(wa pili kulia)akiwa katika picha ya pamoja na Naibu Mwakilishi Mkazi wa taasisi ya kimataifa “La...

 

10 years ago

Michuzi

MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU(AfCHPR) YASIKILIZA KESI YA WATUHUMIWA 10 WA UJAMBAZI MOSHI

Majaji wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu (AfCHPR) wakiingia Mahakamani kusikiliza kesi ujambazi iliyofunguliwa dhidi ya watuhumiwa 10 raia wa Kenya walioufanya mwaka 2006 mkoani Kilimanjaro. Rais wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu (AfCHPR), Jaji Augustino Ramadhani akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jijini Arusha na kutoa wito kwa nchi zaidi kutoa tamko kwa Mahakama hiyo ili wananchi na asasi za kiraia kuitumia Mahakama hiyo, nchi saba pekee ikiwemo Tanzania...

 

10 years ago

Michuzi

JK akutana na Rais wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu Ikulu jijini Dar es salaam leo

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Rais wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu Jaji Augustino  Ramadhani wakati jaji huyo alipomtembelea na kufanya naye mazungumzo Ikulu jijini Dar es  Salaam leo. Picha na Freddy Maro

 

5 years ago

Michuzi

Wizara ya Katiba na Sheria na Tume ya Haki za Binadamu zina Wajibu wa kulinda haki za wananchi-Jaji Mstaafu Mwaimu



Waziri wa Katiba na Sheria wa Zanzibari, Mhe.Khamis Juma Mwalim, akifafanua jambo kwa wajumbe na wageni wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala bora (hawapo pichani) wakiongozwa na Mwenyekiti wa tume hiyo, Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu (kushoto) wakati wa kikao kifupi kilichofanyika ofisini kwake baada ya kutembelewa na ugeni huo loe Juni 4, 2020 Mjini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani