MAHAKAMA YA HAKI ZA BINADAMU YA AFRIKA YAWANOA WAANDISHI WA HABARI ARUSHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-aArZtRFofys/VVuY9AjH1qI/AAAAAAAHYWA/I6TQ1bMpnHY/s72-c/unnamed%2B(13).jpg)
Mkuu wa Shirika la Maendeleo ya kimataifa la Ujerumani(GIZ)inayosaidia kujenga uwezo wa taasisi za Uongozi na Utawala bara la Afrika,Dk Iris Breutz akizungumza wakati wa semina ya siku nne ya kuwajengea uwezo waandishi wa habari kutoka nchi za Afrika Mashariki namna Mahakama ya Afrika na Haki za Binadamu(AfCPHR) inavyofanya kazi zake leo jijini Arusha,kushoto ni Jenerali Ulimwengu ambaye ni mwezeshaji na Mkuu wa Mawasiliano wa AfCPHR,Chatbar Sukhdev.
Mkuu wa Mawasiliano wa AfCPHR,Chatbar...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sdzCm2mQasc/VijHV3LT17I/AAAAAAAAE50/JAikOfuvPG8/s72-c/1.jpg)
MAHAKAMA YA HAKI ZA BINADAMU YAADHIMISHA SIKU YA HAKI ZA BINADAMU AFRIKA JIJINI ARUSHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-sdzCm2mQasc/VijHV3LT17I/AAAAAAAAE50/JAikOfuvPG8/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1jiUFRYnO2s/VijHclt6wII/AAAAAAAAE58/VpaB20eNO_8/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HwLSGqa5iPA/VijHzxQEmKI/AAAAAAAAE6E/QO2UWhpIRX8/s640/3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_4Ga2naCgL4/VOti5CrPMRI/AAAAAAAHFeA/9rVee6bGKVc/s72-c/unnamed%2B(5).jpg)
RAIS WA MAHAKAMA YA AFRIKA NA HAKI ZA BINADAMU AKUTANA MWAKILISHI WA FRANCOPHONIE ARUSHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-_4Ga2naCgL4/VOti5CrPMRI/AAAAAAAHFeA/9rVee6bGKVc/s1600/unnamed%2B(5).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-DqgrfPJ8-4g/VOti5NIkTDI/AAAAAAAHFeE/t3dS-Hwg1mw/s1600/unnamed%2B(6).jpg)
11 years ago
Dewji Blog11 Apr
Waandishi wa habari Singida wapata mafunzo ya haki za binadamu
Mwezeshaji wa mafunzo, Lilian Timbuka, akitoa mada yake kwenye mafunzo yanayohudhuriwa na waandishi wa habari mkoa wa Singida,yanayohusu maadili katika uandishi wa habari na kuripoti masuala yaliyo kwenye mazingira magumu.
Mwezeshaji Lilian Timbuka,akitoa mada yake wakati akifundisha waandishi wa habari mkoa wa Singida, juu ya maadili ya uandishi wa habari na kuripoti masuala yanayojitokeza kwenye mazingira magumu.Mafunzo hayo ya siku nne,yameandaliwa na kufadhiliwa na Baraza la habari...
9 years ago
Bongo509 Nov
Babu Seya akimbilia mahakama ya haki za binadamu ya Arusha
![babu+seya+px](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/babu-seya-px-300x194.jpg)
Mwanamuziki mkongwe nchini, Nguza Viking maarufu kama Babu Seya na mwanae, Johnson Nguza aka Papii Kocha, ameamua kwenda kutafuta msaada kwenye Mahakama ya Haki za Binadamu Afrika (AFCPHR) ya Arusha.
Wanamuziki hao wamekata rufaa dhidi ya adhabu waliyohukumiwa mwaka 2004 ya kutumikia kifungo cha maisha gerezani. Kupitia shauri lao lililowasilishwa mahakamani na kupewa namba 006/ 2015, wanaiomba Mahakama ya Afrika kutoa uamuzi kuwa haki zao zilivunjwa.
Kwa sababu hiyo wanaomba waachiwe...
10 years ago
MichuziKWIECO YATOA ELIMU YA HAKI ZA BINADAMU KWA WAANDISHI WA HABARI MKOANI KILIMANJARO...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bq9Z31SZDrU/VNPI0TLrYiI/AAAAAAAHCFY/c3_S1nyii8Y/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
RAIS WA UJERUMANI AVUTIWA NA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU
![](http://3.bp.blogspot.com/-bq9Z31SZDrU/VNPI0TLrYiI/AAAAAAAHCFY/c3_S1nyii8Y/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Y4lO13NhOjc/VNPI_aI47SI/AAAAAAAHCFg/cZ-SVUm_baM/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-otSyiaKNuIk/VNPJAz7MIaI/AAAAAAAHCFo/TRCC_kTmpf0/s1600/unnamed%2B(23).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ju8_ZAE8OwA/VA7LOIfuWsI/AAAAAAAGiNA/-HsCOn2iSHI/s72-c/Jaji-Augustino-Ramadhan.jpg)
JAJI AUGUSTINO RAMADHAN AWA RAISI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU
![](http://2.bp.blogspot.com/-ju8_ZAE8OwA/VA7LOIfuWsI/AAAAAAAGiNA/-HsCOn2iSHI/s1600/Jaji-Augustino-Ramadhan.jpg)
Mahakama ya Afrika ya haki za binadamu imemteua Jaji mkuu mstaafu wa Tanzania Agustino Ramadhan kuwa rais wa mahakama hiyo kwa kipindi cha miaka miwili uteuzi huounaanza mara moja baada ya aliyekuwa rais wa mahakama hiyo Sophia Akuffo wa Ghana kumaliza muda wake.
Jaji Ramadhani Mtanzania wa kwanza kushikilia kiti hicho tangia kuanzishwa kwa mahakama hiyo baada ya kupata kura 7 kwa kura nne dhidi ya mpinzania wake katika nafasi hiyo ya rais wa mahakama hiyo huku nafasi...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_SW3e-CatSM/VV7iRhY5WFI/AAAAAAAHY9M/40OxONPu2i8/s72-c/unnamed%2B%252837%2529.jpg)
MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU(AfCHPR) YASIKILIZA KESI YA WATUHUMIWA 10 WA UJAMBAZI MOSHI
![](http://1.bp.blogspot.com/-_SW3e-CatSM/VV7iRhY5WFI/AAAAAAAHY9M/40OxONPu2i8/s640/unnamed%2B%252837%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-aQvhUmdLOHM/VV7iREEthSI/AAAAAAAHY9I/jm92syS8vk0/s640/unnamed%2B%252838%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_zh7MRCdtQQ/VK1vdHbOngI/AAAAAAAG74A/38AZmlHZF1c/s72-c/unnamed%2B(34).jpg)
JK akutana na Rais wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu Ikulu jijini Dar es salaam leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-_zh7MRCdtQQ/VK1vdHbOngI/AAAAAAAG74A/38AZmlHZF1c/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tn8vYcWFthA/VK1vc1RCxiI/AAAAAAAG738/mvhlNEtNRzw/s1600/unnamed%2B(35).jpg)