MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU(AfCHPR) YASIKILIZA KESI YA WATUHUMIWA 10 WA UJAMBAZI MOSHI
![](http://1.bp.blogspot.com/-_SW3e-CatSM/VV7iRhY5WFI/AAAAAAAHY9M/40OxONPu2i8/s72-c/unnamed%2B%252837%2529.jpg)
Majaji wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu (AfCHPR) wakiingia Mahakamani kusikiliza kesi ujambazi iliyofunguliwa dhidi ya watuhumiwa 10 raia wa Kenya walioufanya mwaka 2006 mkoani Kilimanjaro.
Rais wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu (AfCHPR), Jaji Augustino Ramadhani akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jijini Arusha na kutoa wito kwa nchi zaidi kutoa tamko kwa Mahakama hiyo ili wananchi na asasi za kiraia kuitumia Mahakama hiyo, nchi saba pekee ikiwemo Tanzania...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sdzCm2mQasc/VijHV3LT17I/AAAAAAAAE50/JAikOfuvPG8/s72-c/1.jpg)
MAHAKAMA YA HAKI ZA BINADAMU YAADHIMISHA SIKU YA HAKI ZA BINADAMU AFRIKA JIJINI ARUSHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-sdzCm2mQasc/VijHV3LT17I/AAAAAAAAE50/JAikOfuvPG8/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1jiUFRYnO2s/VijHclt6wII/AAAAAAAAE58/VpaB20eNO_8/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HwLSGqa5iPA/VijHzxQEmKI/AAAAAAAAE6E/QO2UWhpIRX8/s640/3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bq9Z31SZDrU/VNPI0TLrYiI/AAAAAAAHCFY/c3_S1nyii8Y/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
RAIS WA UJERUMANI AVUTIWA NA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU
![](http://3.bp.blogspot.com/-bq9Z31SZDrU/VNPI0TLrYiI/AAAAAAAHCFY/c3_S1nyii8Y/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Y4lO13NhOjc/VNPI_aI47SI/AAAAAAAHCFg/cZ-SVUm_baM/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-otSyiaKNuIk/VNPJAz7MIaI/AAAAAAAHCFo/TRCC_kTmpf0/s1600/unnamed%2B(23).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-aArZtRFofys/VVuY9AjH1qI/AAAAAAAHYWA/I6TQ1bMpnHY/s72-c/unnamed%2B(13).jpg)
MAHAKAMA YA HAKI ZA BINADAMU YA AFRIKA YAWANOA WAANDISHI WA HABARI ARUSHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-aArZtRFofys/VVuY9AjH1qI/AAAAAAAHYWA/I6TQ1bMpnHY/s640/unnamed%2B(13).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-IOe56IaryeM/VVuY9UusPpI/AAAAAAAHYWI/b1SCorGtr5g/s640/unnamed%2B(14).jpg)
9 years ago
StarTV12 Nov
KESI YA UGAIDI: Mahakama ya rufaa yasikiliza rufani ya kiongozi wa Uamsho.
Mahakama ya Rufaa ya Tanzania imesikiliza Rufaa iliyofunguliwa na Wakili wa Kiongozi wa Jumuiya ya Taasisi ya Kiislam ya uamsho na Mihadhara Zanzibar, Sheikh Farid Ahmed na wenzake dhidi ya uamuzi wa mahakama kuu kuwa mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ina uwezo wa kusikiliza kesi yao.
Wakati rufaa hiyo ikiwasilishwa Mahakama ya Rufaa, Upande wa Serikali ukaandika kusudio la kutaka kukata rufaa kupinga kusikilizwa kwa kesi hiyo kwamba shauri limewasilishwa kabla ya muda.
Kwa kuwa Kesi hiyo...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_4Ga2naCgL4/VOti5CrPMRI/AAAAAAAHFeA/9rVee6bGKVc/s72-c/unnamed%2B(5).jpg)
RAIS WA MAHAKAMA YA AFRIKA NA HAKI ZA BINADAMU AKUTANA MWAKILISHI WA FRANCOPHONIE ARUSHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-_4Ga2naCgL4/VOti5CrPMRI/AAAAAAAHFeA/9rVee6bGKVc/s1600/unnamed%2B(5).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-DqgrfPJ8-4g/VOti5NIkTDI/AAAAAAAHFeE/t3dS-Hwg1mw/s1600/unnamed%2B(6).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ju8_ZAE8OwA/VA7LOIfuWsI/AAAAAAAGiNA/-HsCOn2iSHI/s72-c/Jaji-Augustino-Ramadhan.jpg)
JAJI AUGUSTINO RAMADHAN AWA RAISI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU
![](http://2.bp.blogspot.com/-ju8_ZAE8OwA/VA7LOIfuWsI/AAAAAAAGiNA/-HsCOn2iSHI/s1600/Jaji-Augustino-Ramadhan.jpg)
Mahakama ya Afrika ya haki za binadamu imemteua Jaji mkuu mstaafu wa Tanzania Agustino Ramadhan kuwa rais wa mahakama hiyo kwa kipindi cha miaka miwili uteuzi huounaanza mara moja baada ya aliyekuwa rais wa mahakama hiyo Sophia Akuffo wa Ghana kumaliza muda wake.
Jaji Ramadhani Mtanzania wa kwanza kushikilia kiti hicho tangia kuanzishwa kwa mahakama hiyo baada ya kupata kura 7 kwa kura nne dhidi ya mpinzania wake katika nafasi hiyo ya rais wa mahakama hiyo huku nafasi...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_zh7MRCdtQQ/VK1vdHbOngI/AAAAAAAG74A/38AZmlHZF1c/s72-c/unnamed%2B(34).jpg)
JK akutana na Rais wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu Ikulu jijini Dar es salaam leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-_zh7MRCdtQQ/VK1vdHbOngI/AAAAAAAG74A/38AZmlHZF1c/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tn8vYcWFthA/VK1vc1RCxiI/AAAAAAAG738/mvhlNEtNRzw/s1600/unnamed%2B(35).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-urc-CtGTM7Y/VWL0Mwtpn_I/AAAAAAAHZp0/M3-O-zX1TXY/s72-c/1.jpg)
JAJI AUGUSTINO RAMADHANI AHIMIZA AFRIKA KUHESHIMU HAKI ZA BINADAMU,AZITAKA NCHI ZAIDI KUTOA TAMKO LA KUITAMBUA MAHAKAMA HIYO
![](http://3.bp.blogspot.com/-urc-CtGTM7Y/VWL0Mwtpn_I/AAAAAAAHZp0/M3-O-zX1TXY/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-6aop770R9-g/VWL0P1aEJmI/AAAAAAAHZqA/tq6Z2vp2IPM/s640/3.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima29 Jul
DPP awafutia kesi watuhumiwa viungo vya binadamu
WAHADHIRI wanne wa Chuo Kikuu cha Tiba cha IMTU, Mbezi Dar es Salaam, wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni wakikabiliwa na makosa mawili, likiwemo la kushindwa kufukia viroba 83...