DPP awafutia kesi watuhumiwa viungo vya binadamu
WAHADHIRI wanne wa Chuo Kikuu cha Tiba cha IMTU, Mbezi Dar es Salaam, wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni wakikabiliwa na makosa mawili, likiwemo la kushindwa kufukia viroba 83...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DBD4PE5EidX80AttasUeZztlS3RVlHYL94k1w6SRsdCLXjoiLfo7f5Ur9dfwKVWE1wuCxGPsOtiYxqRvwE6-R3ekV2erCE9n/viungo.jpg?width=650)
VIUNGO VYA BINADAMU...
11 years ago
BBCSwahili07 Jun
Biashara ya viungo vya binadamu Brazil
11 years ago
BBCSwahili22 Jul
Viungo vya binadamu vyakutwa,Tanzania
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_SW3e-CatSM/VV7iRhY5WFI/AAAAAAAHY9M/40OxONPu2i8/s72-c/unnamed%2B%252837%2529.jpg)
MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU(AfCHPR) YASIKILIZA KESI YA WATUHUMIWA 10 WA UJAMBAZI MOSHI
![](http://1.bp.blogspot.com/-_SW3e-CatSM/VV7iRhY5WFI/AAAAAAAHY9M/40OxONPu2i8/s640/unnamed%2B%252837%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-aQvhUmdLOHM/VV7iREEthSI/AAAAAAAHY9I/jm92syS8vk0/s640/unnamed%2B%252838%2529.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima23 Jul
Madaktari wanaswa tukio la viungo vya binadamu
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watu nane wakiwemo madaktari wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Tiba na Teknolojia (IMTU), wakihusishwa na tukio la kupatikana kwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RxYDN27Lud9mZPiJiHE-tWy3cGjQiB7uR5RRG5JTF9wBrF5k2fd827tw-5NtgAh3pAV8KDS0fM8JoBMiAjbKxltxWrgHz*5c/breakingnews.gif)
VIUNGO VYA BINADAMU VYANASWA BUNJU, DAR
11 years ago
Mtanzania27 Jul
Kamati yaundwa kuchunguza viungo vya binadamu
![mabaki ya miili ya watu](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/mtanzania-220714.jpg)
Wananchi wakiangalia mifuko yenye viungo mbalimbali vya binadamu vilivyokutwa katika Bonde la Mweni Mpiji wilayani Kinondoni jijini Dar es Salaam jana. Picha ndogo kushoto ni polisi wakipakia viungo hivyo. Picha zote na Deus Mhagale
Adam Malinda na Grace Shitundu, Dar es Salaam
SERIKALI imeunda kamati ya watu 15 kuchunguza chanzo cha tukio lililofanywa na Chuo cha Kimataifa cha Tiba na Teknolojia (IMTU) la kutupwa mabaki ya viungo vya miili ya binadamu katika bonde la Mto Mpiji, lililopo...
11 years ago
Tanzania Daima27 Jul
Siri zazidi kuvuja viungo vya binadamu
SIKU moja baada ya serikali kufunga Hospitali ya Chuo cha Kimataifa cha Matibabu na Teknolojia (IMTU), kwa madai ya kuendeshwa kwa kukiuka taratibu za tiba, Tanzania Daima Jumapili limedokezwa hatua...
10 years ago
Mtanzania23 May
Sita wakamatwa kwa kuuza viungo vya binadamu
Na Paul Kayanda, Kahama
JESHI la Polisi Mkoa wa Shinyanga limewatia mbaroni watu sita wakiwa katika harakati za kuuza viungo vinavyosadikiwa kuwa vya binadamu mwenye ulemavu wa ngozi (albino).
Akizungumza na MTANZANIA Jumamosi jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Justus Kamugisha, alisema watuhumiwa hao walikamatwa Mei 20 mwaka huu saa saba mchana wakiwa katika nyumba ya kulala wageni iliyopo Mtaa wa Phantom, Kata ya Nyasubi wilayani hapa.
Alisema katika msako huo ulioendeshwa kwa...