VIUNGO VYA BINADAMU VYANASWA BUNJU, DAR
![](http://api.ning.com:80/files/RxYDN27Lud9mZPiJiHE-tWy3cGjQiB7uR5RRG5JTF9wBrF5k2fd827tw-5NtgAh3pAV8KDS0fM8JoBMiAjbKxltxWrgHz*5c/breakingnews.gif)
JESHI la Polisi Wilaya ya Kinondoni jijini Dar limekamata viungo mbalimbali vya binadamu vilivyowekwa kwenye mifuko ya plastiki na kuhifadhiwa katika machimbo ya kokoto ya Bunju nje kidogo ya jiji la Dar es salaam. Taarifa za tukio hilo zimethibitishwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Camilius Wambura.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q9JKAyO9-k44TxNBni6gD46YwTwFgXgOyyvK5KGUfuv40crmSf6Veumc-w*8wPtrPQaIJktRy9epghOghYdOxEks3lVg1N1W/FRONTAMANI.jpg?width=650)
MAZITO 10 YAIBUKA: VIUNGO VYA BINADAMU KUNASWA DAR!
11 years ago
GPLWATU 8 MBARONI KWA KUTUPA VIUNGO VYA BINADAMU DAR
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lTP417SjPDw/U85G9D6ritI/AAAAAAAF4rw/kpsWVlRalEI/s72-c/1.jpg)
NEWZ ALERT:WATU NANE WAKAMATWA KWA TUKIO LA VIUNGO VYA BINADAMU JIJINI DAR.
![](http://1.bp.blogspot.com/-lTP417SjPDw/U85G9D6ritI/AAAAAAAF4rw/kpsWVlRalEI/s1600/1.jpg)
Kamanda Kova amesema kuwa jopo la Wataalamu saba limeundwa kuchunguza tukio hilo na amethibitisha kuwa viungo vile vilikuwa ni vya maiti,ambavyo hutumika na...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ekxGjDgOlME/U81UQo1ub4I/AAAAAAAF4fE/VfmH8acmyuA/s72-c/63a4c18aba35870d3d4177324b654bae.jpg)
Breaking newzzzz: viungo vya binadamu vyakamatwa dar es salaam leo (kunradhi kwa picha za kuogofya)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ekxGjDgOlME/U81UQo1ub4I/AAAAAAAF4fE/VfmH8acmyuA/s1600/63a4c18aba35870d3d4177324b654bae.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fkuQTL4reZw/U81UQ-vyvEI/AAAAAAAF4fM/71P7Op0aU7M/s1600/ad41c51ed504857ec7b80c1988a66e05.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-N0gk4-Ix2f0/U81UQwBNruI/AAAAAAAF4fI/5pk7pAIUTXY/s1600/bcd5e1d9f3f7eb4b7fd2d6d0073ffa09.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DBD4PE5EidX80AttasUeZztlS3RVlHYL94k1w6SRsdCLXjoiLfo7f5Ur9dfwKVWE1wuCxGPsOtiYxqRvwE6-R3ekV2erCE9n/viungo.jpg?width=650)
VIUNGO VYA BINADAMU...
11 years ago
BBCSwahili07 Jun
Biashara ya viungo vya binadamu Brazil
11 years ago
BBCSwahili22 Jul
Viungo vya binadamu vyakutwa,Tanzania
11 years ago
Mtanzania27 Jul
Kamati yaundwa kuchunguza viungo vya binadamu
![mabaki ya miili ya watu](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/mtanzania-220714.jpg)
Wananchi wakiangalia mifuko yenye viungo mbalimbali vya binadamu vilivyokutwa katika Bonde la Mweni Mpiji wilayani Kinondoni jijini Dar es Salaam jana. Picha ndogo kushoto ni polisi wakipakia viungo hivyo. Picha zote na Deus Mhagale
Adam Malinda na Grace Shitundu, Dar es Salaam
SERIKALI imeunda kamati ya watu 15 kuchunguza chanzo cha tukio lililofanywa na Chuo cha Kimataifa cha Tiba na Teknolojia (IMTU) la kutupwa mabaki ya viungo vya miili ya binadamu katika bonde la Mto Mpiji, lililopo...
11 years ago
Tanzania Daima23 Jul
Madaktari wanaswa tukio la viungo vya binadamu
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watu nane wakiwemo madaktari wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Tiba na Teknolojia (IMTU), wakihusishwa na tukio la kupatikana kwa...