Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Breaking newzzzz: viungo vya binadamu vyakamatwa dar es salaam leo (kunradhi kwa picha za kuogofya)

 Gari likiwa limebeba mifuko yenye viuongo hivyo, ambapo Jeshi la Polisi wilaya ya Kinondoni limesema kuwa limeanza uchunguzi wa kina baada ya kukakamata viungo mbalimbali vinavyodhaniwa kuwa ni vya binadamu katika  mifuko ya plastiki katika machimbo ya kokoto sehemu za Mbweni Mpiji, Magohe, nje kidogo ya jiji la Dar es salaam. Sehemu ya mifuko ya plastiki iliyokutwa na viungo hivyo ambavyo inasemekana ni pamoja na mikono, miguu, ngozi na sehemu nyingine za miili

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WATU 8 MBARONI KWA KUTUPA VIUNGO VYA BINADAMU DAR

Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova akitoa taarifa kwa wanahabari. JESHI la Polisi Kanda Maalum la Dar es Salaam linawashikilia watu nane na kuwahoji kuhusu tukio la kupatikana kwa viungo vya binadamu vilivyogundulika katika maeneo ya bonde la Mbweni Mpiji, Bunju B Julai 21, mwaka huu ambapo mifuko ya plastiki ipatayo 85 yenye mabaki ya viungo vya binadamu iligundulika. Polisi walipata taarifa za...

 

11 years ago

Michuzi

NEWZ ALERT:WATU NANE WAKAMATWA KWA TUKIO LA VIUNGO VYA BINADAMU JIJINI DAR.

  Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar Es Salaam,Suleiman Kova akizungumza na Vyombo vya habari mbalimbali mapema leo, makao makuu ya jeshi la polisi jijini Dar kuhusiana na sakata la viungo vya binadamu vilivyokamatwa jana INGIA HAPA KUONA TUKIO HILO.Kamanda Kova amesema kuwa watu wanane wamekamatwa kuhusiana na tukio hilo.

Kamanda Kova amesema kuwa jopo la Wataalamu saba limeundwa kuchunguza tukio hilo na amethibitisha kuwa viungo vile vilikuwa ni vya maiti,ambavyo hutumika na...

 

11 years ago

GPL

VIUNGO VYA BINADAMU VYANASWA BUNJU, DAR

JESHI la Polisi Wilaya ya Kinondoni jijini Dar limekamata viungo mbalimbali vya binadamu vilivyowekwa kwenye mifuko ya plastiki na kuhifadhiwa katika machimbo ya kokoto ya Bunju nje kidogo ya jiji la Dar es salaam. Taarifa za tukio hilo zimethibitishwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Camilius Wambura.…

 

11 years ago

GPL

MAZITO 10 YAIBUKA: VIUNGO VYA BINADAMU KUNASWA DAR!

Lile sekeseke la viungo vya binadamu kukutwa kwenye dampo jijini Dar es Salaam limechukua sura mpya huku mambo mazito 10 yakiibuliwa na gazeti makini na lenye heshima kubwa, Amani.Wingu zito lenye viulizo vingi lilitanda Bunju B, Kinondoni jijini Dar, usiku wa Julai 21, mwaka huu baada ya watu kubainika kwa mifuko maalum ya Rambo ikiwa na viungo mbalimbali vya miili ya binadamu vikiwa vimekauka. Kamanda wa Polisi, Kanda...

 

10 years ago

Mtanzania

Sita wakamatwa kwa kuuza viungo vya binadamu

kamugishaNa Paul Kayanda, Kahama
JESHI la Polisi Mkoa wa Shinyanga limewatia mbaroni watu sita wakiwa katika harakati za kuuza viungo vinavyosadikiwa kuwa vya binadamu mwenye ulemavu wa ngozi (albino).

Akizungumza na MTANZANIA Jumamosi jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Justus Kamugisha, alisema watuhumiwa hao walikamatwa Mei 20 mwaka huu saa saba mchana wakiwa katika nyumba ya kulala wageni iliyopo Mtaa wa Phantom, Kata ya Nyasubi wilayani hapa.

Alisema katika msako huo ulioendeshwa kwa...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Breaking news : Amani vitambulisho 172 vya mpiga kura vyakamatwa kituoni

https://www.facebook.com/voiceofzanzibar?fref=ts Afisa wa Tume juma chum YADAI watu wafungue kesi ya malalamiko mahakamani Mtu mmoja akamatwa na vitambulisho haramu ambae ni katibu wa CCM wa tawi akivigawa kwa watu tume wanasema wapewe wenyewe wapige kura kisha […]

The post Breaking news : Amani vitambulisho 172 vya mpiga kura vyakamatwa kituoni appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NEWZZZZ: MASHINE ZA ATM ZAATHIRIWA NA VIRUSI VYA TYUPKIN

Na Yusuph KileoAina hii Malware inayojulikana kama Tyupkin yaleta maafa katika mashine za ATM. Tyupkin imekua ikisambazwa na kundi la wahalifu mtandao kutokea ulaya mashariki na kusababisha pesa nyingi kuweza kutoka kupitia ATM mashine ambapo tayari wataalam wa usalama mitandao kutoka Kaspersky Lab wakishirikiana karibu na polisi wasio na mipaka “Interpol” wameshaanzisha oparesheni ya pamoja kutafuta chanzo na ugunduzi katika mashine 50 umebainika hadi sasa.Uchunguzi wa kina umeonyesha...

 

11 years ago

Bongo Movies

11 years ago

GPL

VIUNGO VYA BINADAMU...

Stori: Haruni Sanchawa na Makongoro Oging’
SAKATA  la kutupwa kwa viungo vya binadamu  lililofanywa na Chuo Kikuu cha Tiba cha Kimataifa cha IMTU kilichopo Mbezi jijini Dar,  linadaiwa kuikumba Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) baada ya tanuru linalotumika kuteketeza viungo vya binadamu kuharibika kwa miezi sita sasa. Fuvu la kichwa cha binadamu. Uchunguzi uliofanywa na timu ya Uwazi kwa muda wa siku kadhaa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani