WATU 8 MBARONI KWA KUTUPA VIUNGO VYA BINADAMU DAR
Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova akitoa taarifa kwa wanahabari. JESHI la Polisi Kanda Maalum la Dar es Salaam linawashikilia watu nane na kuwahoji kuhusu tukio la kupatikana kwa viungo vya binadamu vilivyogundulika katika maeneo ya bonde la Mbweni Mpiji, Bunju B Julai 21, mwaka huu ambapo mifuko ya plastiki ipatayo 85 yenye mabaki ya viungo vya binadamu iligundulika. Polisi walipata taarifa za...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lTP417SjPDw/U85G9D6ritI/AAAAAAAF4rw/kpsWVlRalEI/s72-c/1.jpg)
NEWZ ALERT:WATU NANE WAKAMATWA KWA TUKIO LA VIUNGO VYA BINADAMU JIJINI DAR.
![](http://1.bp.blogspot.com/-lTP417SjPDw/U85G9D6ritI/AAAAAAAF4rw/kpsWVlRalEI/s1600/1.jpg)
Kamanda Kova amesema kuwa jopo la Wataalamu saba limeundwa kuchunguza tukio hilo na amethibitisha kuwa viungo vile vilikuwa ni vya maiti,ambavyo hutumika na...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ekxGjDgOlME/U81UQo1ub4I/AAAAAAAF4fE/VfmH8acmyuA/s72-c/63a4c18aba35870d3d4177324b654bae.jpg)
Breaking newzzzz: viungo vya binadamu vyakamatwa dar es salaam leo (kunradhi kwa picha za kuogofya)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ekxGjDgOlME/U81UQo1ub4I/AAAAAAAF4fE/VfmH8acmyuA/s1600/63a4c18aba35870d3d4177324b654bae.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fkuQTL4reZw/U81UQ-vyvEI/AAAAAAAF4fM/71P7Op0aU7M/s1600/ad41c51ed504857ec7b80c1988a66e05.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-N0gk4-Ix2f0/U81UQwBNruI/AAAAAAAF4fI/5pk7pAIUTXY/s1600/bcd5e1d9f3f7eb4b7fd2d6d0073ffa09.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RxYDN27Lud9mZPiJiHE-tWy3cGjQiB7uR5RRG5JTF9wBrF5k2fd827tw-5NtgAh3pAV8KDS0fM8JoBMiAjbKxltxWrgHz*5c/breakingnews.gif)
VIUNGO VYA BINADAMU VYANASWA BUNJU, DAR
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q9JKAyO9-k44TxNBni6gD46YwTwFgXgOyyvK5KGUfuv40crmSf6Veumc-w*8wPtrPQaIJktRy9epghOghYdOxEks3lVg1N1W/FRONTAMANI.jpg?width=650)
MAZITO 10 YAIBUKA: VIUNGO VYA BINADAMU KUNASWA DAR!
10 years ago
Mtanzania23 May
Sita wakamatwa kwa kuuza viungo vya binadamu
Na Paul Kayanda, Kahama
JESHI la Polisi Mkoa wa Shinyanga limewatia mbaroni watu sita wakiwa katika harakati za kuuza viungo vinavyosadikiwa kuwa vya binadamu mwenye ulemavu wa ngozi (albino).
Akizungumza na MTANZANIA Jumamosi jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Justus Kamugisha, alisema watuhumiwa hao walikamatwa Mei 20 mwaka huu saa saba mchana wakiwa katika nyumba ya kulala wageni iliyopo Mtaa wa Phantom, Kata ya Nyasubi wilayani hapa.
Alisema katika msako huo ulioendeshwa kwa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hEGkr3BeAhU/U85UqUTHEEI/AAAAAAAF4sg/NnQGo7T4kH0/s72-c/3.jpg)
KAMANDA KOVA AKUTANA NA WANAHABARI KUZUNGUMZIA SWALA NA VIUNGO LA VIUNGO VYA WATU VILIVYOTUPWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-hEGkr3BeAhU/U85UqUTHEEI/AAAAAAAF4sg/NnQGo7T4kH0/s1600/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vmL4Qkuabp0/U85UspcLKZI/AAAAAAAF4sk/YNr2OLdZ_8w/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-PoWCh_oG1SQ/U85Usj92MDI/AAAAAAAF4so/vt2MAtsvjYQ/s1600/2.jpg)
Chini ni Taarifa Rasmi iliyotolewa leo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DBD4PE5EidX80AttasUeZztlS3RVlHYL94k1w6SRsdCLXjoiLfo7f5Ur9dfwKVWE1wuCxGPsOtiYxqRvwE6-R3ekV2erCE9n/viungo.jpg?width=650)
VIUNGO VYA BINADAMU...
11 years ago
BBCSwahili07 Jun
Biashara ya viungo vya binadamu Brazil
11 years ago
BBCSwahili22 Jul
Viungo vya binadamu vyakutwa,Tanzania