Breaking news : Amani vitambulisho 172 vya mpiga kura vyakamatwa kituoni
https://www.facebook.com/voiceofzanzibar?fref=ts Afisa wa Tume juma chum YADAI watu wafungue kesi ya malalamiko mahakamani Mtu mmoja akamatwa na vitambulisho haramu ambae ni katibu wa CCM wa tawi akivigawa kwa watu tume wanasema wapewe wenyewe wapige kura kisha […]
The post Breaking news : Amani vitambulisho 172 vya mpiga kura vyakamatwa kituoni appeared first on Mzalendo.net.
Mzalendo Zanzibar
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ekxGjDgOlME/U81UQo1ub4I/AAAAAAAF4fE/VfmH8acmyuA/s72-c/63a4c18aba35870d3d4177324b654bae.jpg)
Breaking newzzzz: viungo vya binadamu vyakamatwa dar es salaam leo (kunradhi kwa picha za kuogofya)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ekxGjDgOlME/U81UQo1ub4I/AAAAAAAF4fE/VfmH8acmyuA/s1600/63a4c18aba35870d3d4177324b654bae.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fkuQTL4reZw/U81UQ-vyvEI/AAAAAAAF4fM/71P7Op0aU7M/s1600/ad41c51ed504857ec7b80c1988a66e05.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-N0gk4-Ix2f0/U81UQwBNruI/AAAAAAAF4fI/5pk7pAIUTXY/s1600/bcd5e1d9f3f7eb4b7fd2d6d0073ffa09.jpg)
11 years ago
Habarileo20 Jun
Vitambulisho vya kura kutolewa upya
VITAMBULISHO vya kupiga kura nchini, vitatolewa upya kwa wananchi wote, ikiwa ni sehemu ya mchakato wa kuboresha daftari la kudumu la wapigakura. Mchakato huo wa kutoa vitambulisho upya, utakaotekelezwa Septemba mwaka huu, utagharimu Sh bilioni 293 .
10 years ago
Mwananchi28 Jul
Adakwa na vitambulisho zaidi ya 40 vya kura
11 years ago
CloudsFM20 Jun
VITAMBULISHO VYA KUPIGIA KURA KUTOLEWA UPYA
VITAMBULISHO vya kupiga kura nchini, vitatolewa upya kwa wananchi wote, ikiwa ni sehemu ya mchakato wa kuboresha daftari la kudumu la wapigakura. Mchakato huo wa kutoa vitambulisho upya, utakaotekelezwa Septemba mwaka huu, utagharimu Sh bilioni 293 .
Tofauti na vitambulisho vya awali vya karatasi vilivyotolewa kwa mara ya kwanza mwaka 2004, vipya vitakuwa vya plastiki. Vimebadilishwa kutokana na matumizi ya teknolojia mpya katika uandikishaji.
Teknolojia itakayotumika ni ya Biometric Voter...
10 years ago
Dewji Blog25 Jul
CHADEMA kuwashughulikia wanaokusanya vitambulisho vya kura
Mjumbe wa Kamati kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, akiongea na wanachama na wananchi kwa ujumla kwenye mkutano wa kuwatambulisha watia nia ya kugombea nafasi za ubunge na udiwani katika jimbo la Singida magharibi,mkutano uliofanyika katika Kijiji cha Puma,tarafa ya Ihanja
Baadhi ya watia nia ya udiwani na ubunge katika jimbo la Singida magharibi wakisakata ngoma za asili baada ya kumpokea mgeni rasmi katika mkutano huo.
Na Jumbe Ismailly,Ikungi
CHAMA...
9 years ago
Mwananchi21 Sep
NEC kuwasaidia waliopoteza vitambulisho vya kupigia kura
11 years ago
Mwananchi25 Jun
MAONI: Mradi ‘Vitambulisho vya Kura’ unatia shaka
10 years ago
Habarileo18 Aug
NEC: Vitambulisho vya uraia havitatumika kupiga kura
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesisitiza kuwa vitambulisho vya taifa vinavyotolewa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), havitatumika kupiga kura katika uchaguzi mkuu, isipokuwa kadi zitakazotolewa na tume hiyo.
10 years ago
Habarileo18 Aug
NIDA: Vitambulisho vya uraia havitatumika kupiga kura
MAMLAKA ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imesisitiza vitambulisho vya uraia, havitatumika kupiga kura katika uchaguzi mkuu, isipokuwa kadi zitakazotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).