NEC: Vitambulisho vya uraia havitatumika kupiga kura
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesisitiza kuwa vitambulisho vya taifa vinavyotolewa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), havitatumika kupiga kura katika uchaguzi mkuu, isipokuwa kadi zitakazotolewa na tume hiyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo18 Aug
NIDA: Vitambulisho vya uraia havitatumika kupiga kura
MAMLAKA ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imesisitiza vitambulisho vya uraia, havitatumika kupiga kura katika uchaguzi mkuu, isipokuwa kadi zitakazotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
9 years ago
Mwananchi21 Sep
NEC kuwasaidia waliopoteza vitambulisho vya kupigia kura
10 years ago
Mwananchi05 Feb
Vitambulisho vya uraia kuondoa usajili feki
9 years ago
Mzalendo Zanzibar23 Oct
Sauti:Elimu ya uraia (kupiga kura uchaguzi)
Sikiliza repoti ya Salma Said:
The post Sauti:Elimu ya uraia (kupiga kura uchaguzi) appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Tanzania Daima05 Jan
Kenya, Uganda, Rwanda wakamilisha vitambulisho vya uraia
WANANCHI wa mataifa ya Rwanda, Uganda na Kenya wamepokea kwa shangwe kuanza kwa mpango wa kutumika kwa vitambulisho vya uraia kama cheti cha kuwaruhusu kuvuka mipaka na kuingia miongoni mwa...
9 years ago
Mtanzania01 Oct
Waliopoteza vitambulisho watapiga kura — NEC
NA JONAS MUSHI, DAR ES SAALAM
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema waliopoteza vitambulisho vya kupigia kura wataweza kupiga kura endapo watakuwa na taarifa ya polisi na majina yao kuwamo katika daftari la mpiga kura.
Hayo yalielezwa Dar es Salaam jana na Kamishna wa NEC, Mary Stelalongwe alipotoa ufafanuzi kuhusu watu wanaozunguka mitaani kuandika namba za vitambulisho vya wapiga kura.
Alionya kuwa kufanya hivyo ni kosa ingawa alisema NEC haina taarifa rasmi ya matukio hayo.
Wakati...
5 years ago
MichuziNIDA YAHAKIKI UPYA MAOMBI YA VITAMBULISHO VYA TAIFA YENYE CHANGAMOTO ZA URAIA
Kwa mujibu wa Afisa Habari Mkuu wa NIDA Geofrey Tengeneza, NIDA kwa kushirikiana na Idara ya Uhamiaji, Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya na Mikoa,...
10 years ago
Habarileo28 May
NEC yaachiwa uamuzi siku ya kupiga kura
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeachiwa jukumu la kuamua siku ya kufanyika Uchaguzi Mkuu baada ya wabunge kutaka uchaguzi usiwe unafanyika katika siku za kuabudu ambazo ni Ijumaa, Jumamosi na Jumapili.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aMLkUWs6eSOLnXni7i2WH-r1nK46l2QNXgfdoQ-rqe4U0*zOSbVCS91GW0xpAoPBDsl3Mmm73eFrNTWfxciUVXN9nbLUTMIB/LUBUVA.jpg)
NEC; ALIYETIMIZA MASHARTI ASIZUIWE KUPIGA KURA