Vitambulisho vya uraia kuondoa usajili feki
Imeelezwa kuwa vitambulisho vya uraia vitakuwa suluhisho la usajili feki wa laini za simu katika maeneo mbalimbali nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima05 Jan
Kenya, Uganda, Rwanda wakamilisha vitambulisho vya uraia
WANANCHI wa mataifa ya Rwanda, Uganda na Kenya wamepokea kwa shangwe kuanza kwa mpango wa kutumika kwa vitambulisho vya uraia kama cheti cha kuwaruhusu kuvuka mipaka na kuingia miongoni mwa...
11 years ago
Habarileo18 Aug
NEC: Vitambulisho vya uraia havitatumika kupiga kura
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesisitiza kuwa vitambulisho vya taifa vinavyotolewa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), havitatumika kupiga kura katika uchaguzi mkuu, isipokuwa kadi zitakazotolewa na tume hiyo.
11 years ago
Habarileo18 Aug
NIDA: Vitambulisho vya uraia havitatumika kupiga kura
MAMLAKA ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imesisitiza vitambulisho vya uraia, havitatumika kupiga kura katika uchaguzi mkuu, isipokuwa kadi zitakazotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
5 years ago
MichuziNIDA YAHAKIKI UPYA MAOMBI YA VITAMBULISHO VYA TAIFA YENYE CHANGAMOTO ZA URAIA
Kwa mujibu wa Afisa Habari Mkuu wa NIDA Geofrey Tengeneza, NIDA kwa kushirikiana na Idara ya Uhamiaji, Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya na Mikoa,...
11 years ago
Michuzi
Usajili Vitambulisho vya Taifa waanza Pemba

11 years ago
Michuzi.jpg)
Usajili Vitambulisho vya Taifa wabishahodi Ruvuma
11 years ago
Michuzi
Usajili Vitambulisho vya Taifa wazinduliwa Morogoro

Usajili na Utambuzi wa watu katika mkoa wa Morogoro umezinduliwa rasmi Septemba 20, 2014 na Mkuu wa Mkoa wa huo, Joel Bendera katika ukumbi wa mikutano wa Manispaa ya Morogoro.
Akizindua zoezi hilo aliwasisitiza wakuu wa wilaya, wakurugenzi wa mamlaka za Serikali za Mitaa, makatibu tawala wilaya na viongozi wote kufikia ngazi ya kijiji na mtaa kuhakikisha kwamba wanashiriki kikamilifu katika kufanikisha usajili wa watu katika mkoa wake.
Alisema viongozi...
11 years ago
Michuzi07 Jul
11 years ago
Michuzi.jpg)
USAJILI WA MAOMBI YA VITAMBULISHO VYA TAIFA WAANZA MKOA WA MOROGORO
.jpg)